fundinaizer
JF-Expert Member
- Dec 15, 2016
- 1,758
- 2,713
Hivi mkuu kuzungusha mikoani kumbe wanalipwa laki3 per show?Huyu jamaa n fala... hajui hawa mamawingu watamtumia baadae watamtupa kama bigiji... amuulize ruby, konki, jay dee na wengine kibao wako wapi, yaani laki tatu tu inamfanya anyee kambi?
Wanalipwa mil 3 unazani kwa hiyo pesa ni nani angeweza kumudu hata ya kodi ya pangoHivi mkuu kuzungusha mikoani kumbe wanalipwa laki3 per show?
Wanalipwa mil 3 unazani kwa hiyo pesa ni nani angeweza kumudu hata ya kodi ya pangoHivi mkuu kuzungusha mikoani kumbe wanalipwa laki3 per show?
[emoji23] [emoji23] clip mbona imezagaa Twitter huko watu wanaponda Sana hata Instagram pia ipoBado natafuta hiyo clip ya fid q akiwasema wasafi ndio nitie neno.. Maana haingii akilini maneno kama hayo tulitegemea yatoke kwa luludiva sio ngosha.
acha kuzushia watu broo! fid q sio mtoto kama wewe labda unataka kumlisha maneno!
shukrani
shukrani
naomba na kale katusi kalikopelekea akaomba msamaha! kama hautojali.
duuh umegeuka kua babutale mkuu?#nunuasabuniutoupele