chiembe
JF-Expert Member
- May 16, 2015
- 16,859
- 28,112
Nashauri kundi la Diamond Platnumz-Wasafi wamuondolee nyazfa zote ndugu Paul Makonda. Hana msaada wowote na anaweza kuanza kuomba posho maana sasa ni jobless anakaa vijiweni tu
Nashauri nafasi za Makonda apewe Mkuu wa Mkoa wa sasa bwana Kunenge,wasipofanya hivyo, itaonekana wanmpinga ndugu Kunenge.
Sasa hivi Makonda hawezi kumuagiza Mambosasa au taasisi yoyote, mtu wa hivi ni mzigo kwa Wasafi
Nashauri nafasi za Makonda apewe Mkuu wa Mkoa wa sasa bwana Kunenge,wasipofanya hivyo, itaonekana wanmpinga ndugu Kunenge.
Sasa hivi Makonda hawezi kumuagiza Mambosasa au taasisi yoyote, mtu wa hivi ni mzigo kwa Wasafi