Wasafi yalambwa rungu jingine, Zuchu asababisha kupewa onyo kali na kutakiwa kuomba radhi pia kipindi chawekwa chini ya uangalizi

Wasafi yalambwa rungu jingine, Zuchu asababisha kupewa onyo kali na kutakiwa kuomba radhi pia kipindi chawekwa chini ya uangalizi

Replica

JF-Expert Member
Joined
Aug 28, 2017
Posts
1,681
Reaction score
8,887
Wasafi wakiwa bado na kidonda cha Nabii Shilla kuudhihaki ukristo na kupigwa faini, TCRA bado wanawalia timing na leo wametakiwa kuomba radhi kutokana na interview ya Zuchu kutumia 'lugha chafu ya matusi ya nguoni isiyo na staha' kwenye kipindi cha 'Refresh'. Pia kipindi hicho kimewekwa chini ya uangalizi.

Katika utetezi wake, Zuchu amesema ana mikataba inayomzuia kutumia lugha chafu na kudai inawezekana katika matamshi yake hakufungua mdomo wake vizuri na lafudhi yake ya kizanzibari alitamka neno mtambo vibaya na kusababisha tafsiri yenye utata.

PIA, SOMA=> Zuchu nimekusikia vizuri ama?
 
Radio inaongozwa na STD seven aliyebahatika kupata hela na hataki kuweka uongozi wenye weledi na awaache wafanye kazi yao unatarajia nini?

Ningekuwa Yule kijana kwa sababu ameshajenga empire angetafuta kozi ndogondogo za management na leadership awe anaattend hata za wiki tatu tatu zitamsaidia kusimamia vema biashara zake.

Biashara anazofanya kwa sasa zinahitaji ajue ABCD za uongozi na utawala.
 
Kwa jinsi watu wanavyocoment unaweza ukahamasika kujua ni neno gani, ila nimesikiliza clip nzima kwa kurudia rudia na Sijaona hilo tusi lilipo..

Au nyinyi ni watu wazima mlioamua kufanya utani?
 
Back
Top Bottom