Wasafiri wa kesho

maji ya gundu

JF-Expert Member
Joined
Oct 7, 2018
Posts
3,070
Reaction score
4,698
Huu uzi ni special kwa ajili ya wanaosafiri wiki hili,tukutane hapa tupeane moyo na kuombeana mema

Maana kwa hali ya madereva wa mabasi ya mikoani hasa wa New force inabidi tu tukikabidhi kwa Mungu

Nianze mimi kesho nna safari ya kutoka Moro kwenda Iringa ata msipo niombea nitafika salama

Wasafiri wezangu tiririkeni tupeane moyo

I hope mu wazima wa afya

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nimeshangaa kuona ndege ya Ethiopia ilodondoka hamna MHAYA hata mmoja?!?!?!!

Kweli Magu nyokkkorikoko

Sent from Huawei Mate X
 
Nafikiri kama kungelikuwa na Malaika anayepokea rushwa basi Malaika mtoa roho angeliongoza.

By the way Malaika mtoa roho anatembea na kapu la kuhifadhia roho anazozitoa ili afanye kazi yake kwa urahisi kabisa. Usisafiri kesho.

Utanishukuru baadae.
 
Nafikiri kama kungelikuwa na Malaika anayepokea rushwa basi Malaika mtoa roho angeliongoza.

By the way Malaika mtoa roho anatembea na kapu la kuhifadhia roho anazozitoa ili afanye kazi yake kwa urahisi kabisa. Usisafiri kesho.

Utanishukuru baadae.
toa sababu mkuu kwanini nisisafiri kesho

umenitisha kiasi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Juzi natoka dsm to dom almanusura tupate ajali jirani na njia ya kuingia nanenane...madereva wamekuwa wa****e sana.
 
Lipangwalo na Mungu halipanguki. Kuna siku bus lilikua linatoka Dar kuelekea mkoani. kutokana na uchovu wa safari,karibu abiria wote walikua usingizini. Wakati dereva akiendelea kuendesha bus, ghafla kuna lorry lilijitokeza hivyo dereva wa bus ikabidi atumie akili ya ziada kulikwepa lile lorry. Wakati huo siti ya pembeni mwa kiti cha dereva kulikua kuna mdada alikua macho akishuhudia tukio hilo linavyokuja hivyo aliamua kujirusha kupitia dirishani kwa kuhofia kufa ambapo ktk kutua ardhini,abiria yule alibamiza kichwa kwenye jiwe kubwa na kufariki papo hapo. Ktk jitihada za kulikwepa lorry lile,bus lilipinduka na hakuna yeyote aliyefariki zaidi ya yule abiria aliyejirusha mwenyewe dirishani. Hapa inaonesha kwamba kama imeandikwa siku flani utakufa,basi huna ujanja wa kukwepa usife

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…