KERO Wasafirishaji wa abiria jijini Tanga badilikeni

KERO Wasafirishaji wa abiria jijini Tanga badilikeni

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua

RIGHT MARKER

Senior Member
Joined
Apr 30, 2018
Posts
129
Reaction score
473
• Mhadhara (80)✍️

Kule jijini Tanga (tena katikati ya jiji) ifikapo kuanzia saa tatu na nusu (21:30 Hrs) usiku hakuna usafiri wa daladala, bodaboda, wala bajaj licha ya kuwa abiria wanakuwepo.

Tanga ni jiji zuri sana lakini linadorora kwasababu ya uvivu kutoka kwa wenyeji. Ukichelewa kufika Tanga mjini usiku kama usipowakuta wale wasambaa wa kutoka Lushoto na Mashewa ambao wanaendesha baiskeli jijini Tanga walahi utatembea kwa miguu mpaka nyumbani kwako.

Vijana wa Tanga punguzeni uvivu, sasa hivi bandari yenu ya Tanga imeboreshwa, hivyo kupark vyombo vyenu vya usafirishaji (daladala, taksi, bajaj & pikipiki) saa tatu usiku ni uvivu ambao unakwamisha maendeleo yenu.

RIGHT MARKER
Dar es salaam

images (2).jpeg
 
Tanga maduka yafunguliwa saa 4 Tanga ukienda dukani kama kitu kiko mbali muuzaji anakwambia njoo badae sahivi nachoka....

Ukiamka saa 12 uwahi mjini utaambiwa we mwana mbona una kiranga wawahi wapi usiku wote huu mwishowe ukutane na majini.
 
  • Kicheko
Reactions: rr4
So watani zangu Wasambaa ndio wako sharp Tanga yote?
 
Tanga maduka yafunguliwa saa 4 Tanga ukienda dukani kama kitu kiko mbali muuzaji anakwambia njoo badae sahivi nachoka....

Ukiamka saa 12 uwahi mjini utaambiwa we mwana mbona una kiranga wawahi wapi usiku wote huu mwishowe ukutane na majini.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sent from my Infinix X669 using JamiiForums mobile app
 
Tanga maduka yafunguliwa saa 4 Tanga ukienda dukani kama kitu kiko mbali muuzaji anakwambia njoo badae sahivi nachoka....

Ukiamka saa 12 uwahi mjini utaambiwa we mwana mbona una kiranga wawahi wapi usiku wote huu mwishowe ukutane na majini.
We mndele😅😅😅
 
Back
Top Bottom