Wasaidizi wa Magufuli walimuogopa hadi kushindwa kumsaidia, Je Wasaidizi wa Samia wanamsaidia kwa kumweleza ukweli au nao wanamuogopa? Tumsaidie au..?

Wasaidizi wa Magufuli walimuogopa hadi kushindwa kumsaidia, Je Wasaidizi wa Samia wanamsaidia kwa kumweleza ukweli au nao wanamuogopa? Tumsaidie au..?

Wanabodi,
Hii ni makala ya Kwa Maslahi ya Taifa, kwenye Nipashe ya leo
View attachment 3047637
Utambulisho
Japo mnanitambua kama mwana jf mwenzenu, kwenye mada very serious kama ubatili wa Katiba na ubatili wa sheria, naomba kujitambulisha tena na tena kuwa mimi sio tuu ni member wa jf ambaye ni mwandishi wa habari na mtangazaji wa kujitegemea kwa kujitolea, mimi pia ni mwanasheria na Wakili wa kujitegemea pia kwa kujitolea, ila uwakili wangu, nimeamua kujikita katika utoaji wa elimu kwa umma ya katiba, sheria na haki
View: https://youtu.be/ZJIKhnZCf04?si=BlJB95S62juYBqum
Hivyo mimi sio wakili msomi wa kwenda mahakamani, mimi ni wakili mtangazaji muelimishaji umma.

Kama kawa, kila nipatapo fursa, huja na makala elimishi za kwa maslahi ya taifa, ambazo huwa na maswali yakifuatiwa na hoja, kisha majibu utayaweka mwenyewe, swali la leo ni kuhusu badhi ya wasaidizi wa Rais Samia kama wanamsaidia au wananuogopa hivyo they are just good for nothing?.
Swali lenyewe ni hili.
"Wasaidizi wa JPM walimuogopa hadi kushindwa kumsaidia, Je wasaidizi wa Rais Samia wanamsaidia kwa kumweleza ukweli au nao pia wanamuogopa?. Vipi sisi wananchi wa kawaida tukiwemo sisi wana jf, tumsaidie au...?"

Naomba kutolea mfano wasaidizi wa JPM, walikuwa wanamuogopa sana hadi kushindwa kumsaidia!.

Marais wetu sio wanasheria, hivyo kwenye hoja za kikatiba, kisheria, kiutaratibu na kikanuni, wanawategemea wanasheria kuwaongoza kwa kumwambia ukweli. Wasaidizi wa JPM walimuogopa,
matokeo yake, walimuacha hadi aliikanyaga Katiba katika baadhi ya maamuzi yake, ikiwemo kupiga marufuku mikutano ya Siasa. Kwa vile Rais sio mwanasheria, anapofanya jambo lolote kinyume cha Katiba na kinyume cha sheria, ni wajibu wa wasaidizi wake sheria kumweleza kuwa hili ni kinyume cha Katiba na kinyume cha sheria.

Wakati JPM akipiga marufuku mikutano ya Siasa, alifanya hivyo kwa nia njema, bila yeye kujua ni kinyume na katiba, wasaidizi wake sheria walipaswa kumsaidia. Sisi huku mitaani kwanza tuliamini ana washauri wazuri na wanamsaidia Naamini Rais Magufuli ana washauri wazuri na anashauriwa vizuri tuu! , Ila... kisha tuka note baadhi ya mambo ni ndivyo sivyo, hivyo tukawashauri Wasaidizi wa Rais, Please Msaidieni Rais Wetu Kwenye Public . Msimuachie Kila Kitu Peke Yake! . tukamshauri AG, AG, Mshauri Mh.Rais Atoe Maagizo kwa Presidential Decrees Kuyapa Nguvu ya Kisheria

Siku ile pale Ikulu, nilipouliza swali hili
View: https://youtu.be/Ta0URHvUlko?si=NM2_ru-wuMLXu5oN
Ilitarajiwa wasaidizi wake sheria kujitokeza na kusaidia kumjibia boss wao, lakini walijikausha as if hajaulizwa kitu, na kitu alichojibu ndilo jibu la swali aliloulizwa!, sio kila anachofanya Rais ni kitu sahihi, wasaidizi wapo wanapaswa kumsaidia Rais wetu to do the right thing and do it right!.

Hili la kupiga marufuku mikutano ya Siasa limeendelea hadi alipoingia Rais Samia, akalirekebisha, kwanza tulimshukuru Rais Samia Asante Rais kuruhusu mikutano, tunakuomba uruhusu haki nyingine ambayo imeporwa ya Watanzania wote kuchagua na kuchaguliwa ila hatukuishia kushukuru tuu, bali pia tulitoa angalizo Anayekuja pasi na hodi, huondoka pasi kuaga. Kuzuiwa bila kifungu, kuruhusu bila Kifungu. Ni hisani ya Rais Samia. Haki kuhisaniwa hadi lini?

Je sasa, wasaidizi wa Rais Samia, nao pia pia wanamuogopa kama wasaidizi wa JPM hadi kushindwa kumsaidia?.

Rais Samia mara baada ya kuingia madarakani, alianza vizuri kwa kuondoa makando kando ya mtangulizi wake, hivyo kutupa matumaini makubwa, kuwa everything is going to change for the better.
Mimi ni miongoni mwa waandishi tulioandika makala mfululizo kumshauri hili na lile, na baadhi ya makala hizo ni hizi

Baada ya Rais Samia kuunda kikosi kazi, sio tuu tulimpongeza sana, bali pia tulitoa maangalizo

Tunajiuliza hivi hawa wasaidizi wa rais sheria wanamsaidia Rais wetu?.
Mfano "Jee Rais Samia anajua kuwa Katiba yetu ina ubatili fulani, uliochomekewa kiubatili hivyo kuifanya Tanzania kuwa na katiba Batili?. Je anajua kuwa hii sheria mpya ya uchaguzi aliyosaini hivi karibuni ni sheria batili inayokwenda kinyume cha Katiba ya JMT ya Mwaka 1977?. Jee anajua ubatili huu unadhulumu haki ya Mtanzania kuchagua na kuchaguliwa?. Jee anajua kila dhulma ya haki, huwa ina consequences?.

Hili shurti la wanasiasa kudhaminiwa na chama cha siasa, ili kugombea uongozi ni shurti batili liko kinyume na katiba ya JMT ya mwaka 1977, na limechomekewa kiubatili ndani ya katiba yetu.

Kufuatia ubatili huu, unamaanisha katiba yetu ina ubatili, na sheria mpya ya uchaguzi ni sheria batili, Serikali imetunga muswada batili, Bunge letu likatunga Sheria Batili, na Rais akaisaini hiyo Sheria batili kuanza kutumika, kwanini serikali yetu itunge muswada wa sheria batili?, kwanini Bunge letu tukufu litunge sheria batili?, kwa nini rais wetu asainishwe sheria batili wakati wasaidizi wa rais sheria wapo?.

Swali ni Je Rais Rais Samia, anajua kuwa hii sheria mpya ya uchaguzi aliyoisaini juzi juzi, kwa jicho la kisheria ni sheria batili?.

Japo Rais wa Tanzania, ana kinga ya kikatiba ya kutokushitakiwa kwa makosa yoyote atakayotenda akiwa madarakani katika utekelezaji wa majukumu yake ya urais, ila ibara ya 56A imesema specific kuwa kinga hiyo ya rais kutokushitakiwa, inahusu makosa mengine yote, ila haihusu Rais anapovunja katiba ya JMT, anashitakiwa kwa mujibu wa ibara ya 56A.

The only excuse ya rais kusaini sheria batili kuanza kutumika, ni kwa vile Rais wetu sio mwanasheria, hivyo hategemewi kuujua ubatili wa Katiba, ila kwa vile anawasaidizi wake sheria, wakiongozwa na Waziri wa sheria na Mwanasheria Mkuu wa Serikali, hawa ni manguli wa sheria, wabobezi na wabobevu ambao wanaujua kabisa ubatili wa sheria hiyo, na ubatili wa Katiba, lakini hawajamweleza Rais Samia kuhusu ubatili huu kwa excuse kuwa ubatili huu umefanywa na awamu zilizotangulia, Rais Samia kaingia kaukuta, hivyo wakamtungia tuu sheria batili kwasababu sheria ikiyokuwepo nayo ni batili lakini ilikuwa inatumika!.

Kuna kanuni ya the doctrine of separation of powers between mihimili inayokwenda na kitu kinachoitwa checks and balance inayoitaka kila mhimili kuwa kiranja wa mhimili mwenzake usikiuke mamlaka yake wala usikiuke katiba.

Ibara ya 64 (5) ya Katiba imetamka wazi kuwa katiba ndio sheria mama, sheria nyingine yoyote itakayo kinzana na katiba, sheria hiyo itakuwa ni batili. Anayebatilisha sheria batili sio Mahakama, ni katiba yenyewe, jukumu la Mahakama ni kuithibisha tuu huo ubatili na kutangaza kuwa ni batili, tangu siku Mahakama Kuu ya Tanzania ilipouthitisha ubatili huu na kuutangaza, kuanzia hapo ubatili huo unakuwa umeisha batilishika hapo hapo kuanzia saa hiyo.

Licha ya Mahakama Kuu ya Tanzania kuutangaza ubatili huu na kuubatilisha, lakini Serikali ya awamu ya Sita, bado imetunga muswada wa sheria wenye ubatili ule ule, na Bunge letu, likaupokea muswada huo batili na kuutungia sheria hali iliyowafanya wabunge wetu makini kugeuka kama sio makini, checks and balance inatoka wapi?!.

Bunge letu chini mwalimu wangu wa sheria pale UDSM, mwanasheria mbobezi na mbobevu, Dr. Tulia Akson, alipaswa kulitumia Bunge kuicheki Serikali kuwa haiwezi kututungia muswada batili, na Bunge lina mamlaka ya kuuondoa ubatili huo na kutunga sheria safi isiyo na ubatili, lakini Bunge letu, likatunga Sheria Batili na kumpelekea Rais Samia kuisaini!, jee Rais Samia anajua kuwa amesainishwa sheria batili?.

Kwavile Rais Samia anawaamini sana wasaidizi wake, wamemtungia muswada batili na Bunge likitunga Sheria batili, Rais Samia yeye amesaini with very clear conscious kuwa anasaini sheria halali bila wasaidizi wake kumweleza ukweli kuwa sheria hiyo ni batili, hivyo kwenye hili la ubatili wa sheria mpya ya uchaguzi, Rais Samia hana kosa kabisa, wenye makosa ni Serikali kutunga muswada batili na Bunge kutunga sheria batili!.

Swali la kujiuliza ni baada ya kelele zote hizi kuhusu ubatili wa Katiba yetu na ubatili wa sheria zetu, jee Rais Samia amezisikia?.

Naona maandalizi ya uchaguzi wa serikali za mitaa kwa sheria batili yanaendelea, na mwakani tunakwenda kwenye uchaguzi mkuu na katiba batili na sheria batili!.

Kwa vile Mungu ni haki, no one knows for sure kwanini yule aliitwa na kuondoshwa mapema, usikute na hii dhulma ya haki za Watanzania, zimechangia, naendelea kumsisitiza Mama yetu, if there is anything she can do to help out the situation Watanzania kurejeshewa haki zao, Mama Please do!, utabarikiwa, tutabarikiwa na Tanzania itabarikiwa!.

Naamini kabisa kuna siku iso jina, kilio hiki cha haki kitasikika!.

Nawahi kanisani misa ya pili, nikitoka, naongeza nyama na kuifupisha hii mada ili wale wa miteremko wateremke na wale wapanda milima wapande.

Mungu Mbariki Rais Samia, jicho ona lake liione hii dhulma kubwa ya haki ya Mtanzania kuchagua na kuchaguliwa airejeshe.

Mungu Ibariki Tanzania

Jumapili Njema

Paskali

Mkuu Pasco salaam. Samia haogopwi na wasaidizi wake. Ila wamegundua ukimpelekea habari anazotaka kusikia na si zile anazotakiwa kusikia unakuwa Kipenzi chake. Mke wa jirani yangu Mhasibu wa halmashauri tajiri Fulani Kwa hela ya Umma ulikuwa ukimpelekea habari yoyote kuhusu mumewe kutembea na wanawake wengine hukosi 20k Hadi 50k. Vijana wa Bodaboda walivyogundua hivyo wakafanya kuwa Shamba la Bibi. Siku moja Boda akamuona jamaa hotelini kakaa meza moja na mwanamke na mwanaume wanakula akampelekea shem Taarifa chap. Mama akatema mzigo na kukimbilia eneo la tukio. Alipofika akaanzisha vangi la kutosha, kumbe kapotoshwa wale ni wakaguzi toka Kwa CAG.
 
Nchi ya sauti moja. Mshauriwa anapokuwa ndio maharishi mkuu basi mmekwisha. Hao ndio maraisi wetu na jk alisema ccm haitamfia mkononi. Jpm ndio kabisa ni yeye tu alijua kila kitu pamoja na mazuri yake alikataa ush a uri alikuwa magazine na katili , mwizi wa kura (nape kayathibitisha). Mama kaingia humohumo YOTE HAYO NI KUILINDA CCM ishinde kwa njia yeyote.
 
Wanabodi,
Hii ni makala ya Kwa Maslahi ya Taifa, kwenye Nipashe ya leo
View attachment 3047637
Utambulisho
Japo mnanitambua kama mwana jf mwenzenu, kwenye mada very serious kama ubatili wa Katiba na ubatili wa sheria, naomba kujitambulisha tena na tena kuwa mimi sio tuu ni member wa jf ambaye ni mwandishi wa habari na mtangazaji wa kujitegemea kwa kujitolea, mimi pia ni mwanasheria na Wakili wa kujitegemea pia kwa kujitolea, ila uwakili wangu, nimeamua kujikita katika utoaji wa elimu kwa umma ya katiba, sheria na haki
View: https://youtu.be/ZJIKhnZCf04?si=BlJB95S62juYBqum
Hivyo mimi sio wakili msomi wa kwenda mahakamani, mimi ni wakili mtangazaji muelimishaji umma.

Kama kawa, kila nipatapo fursa, huja na makala elimishi za kwa maslahi ya taifa, ambazo huwa na maswali yakifuatiwa na hoja, kisha majibu utayaweka mwenyewe, swali la leo ni kuhusu badhi ya wasaidizi wa Rais Samia kama wanamsaidia au wananuogopa hivyo they are just good for nothing?.
Swali lenyewe ni hili.
"Wasaidizi wa JPM walimuogopa hadi kushindwa kumsaidia, Je wasaidizi wa Rais Samia wanamsaidia kwa kumweleza ukweli au nao pia wanamuogopa?. Vipi sisi wananchi wa kawaida tukiwemo sisi wana jf, tumsaidie au...?"

Naomba kutolea mfano wasaidizi wa JPM, walikuwa wanamuogopa sana hadi kushindwa kumsaidia!.

Marais wetu sio wanasheria, hivyo kwenye hoja za kikatiba, kisheria, kiutaratibu na kikanuni, wanawategemea wanasheria kuwaongoza kwa kumwambia ukweli. Wasaidizi wa JPM walimuogopa,
matokeo yake, walimuacha hadi aliikanyaga Katiba katika baadhi ya maamuzi yake, ikiwemo kupiga marufuku mikutano ya Siasa. Kwa vile Rais sio mwanasheria, anapofanya jambo lolote kinyume cha Katiba na kinyume cha sheria, ni wajibu wa wasaidizi wake sheria kumweleza kuwa hili ni kinyume cha Katiba na kinyume cha sheria.

Wakati JPM akipiga marufuku mikutano ya Siasa, alifanya hivyo kwa nia njema, bila yeye kujua ni kinyume na katiba, wasaidizi wake sheria walipaswa kumsaidia. Sisi huku mitaani kwanza tuliamini ana washauri wazuri na wanamsaidia Naamini Rais Magufuli ana washauri wazuri na anashauriwa vizuri tuu! , Ila... kisha tuka note baadhi ya mambo ni ndivyo sivyo, hivyo tukawashauri Wasaidizi wa Rais, Please Msaidieni Rais Wetu Kwenye Public . Msimuachie Kila Kitu Peke Yake! . tukamshauri AG, AG, Mshauri Mh.Rais Atoe Maagizo kwa Presidential Decrees Kuyapa Nguvu ya Kisheria

Siku ile pale Ikulu, nilipouliza swali hili
View: https://youtu.be/Ta0URHvUlko?si=NM2_ru-wuMLXu5oN
Ilitarajiwa wasaidizi wake sheria kujitokeza na kusaidia kumjibia boss wao, lakini walijikausha as if hajaulizwa kitu, na kitu alichojibu ndilo jibu la swali aliloulizwa!, sio kila anachofanya Rais ni kitu sahihi, wasaidizi wapo wanapaswa kumsaidia Rais wetu to do the right thing and do it right!.

Hili la kupiga marufuku mikutano ya Siasa limeendelea hadi alipoingia Rais Samia, akalirekebisha, kwanza tulimshukuru Rais Samia Asante Rais kuruhusu mikutano, tunakuomba uruhusu haki nyingine ambayo imeporwa ya Watanzania wote kuchagua na kuchaguliwa ila hatukuishia kushukuru tuu, bali pia tulitoa angalizo Anayekuja pasi na hodi, huondoka pasi kuaga. Kuzuiwa bila kifungu, kuruhusu bila Kifungu. Ni hisani ya Rais Samia. Haki kuhisaniwa hadi lini?

Je sasa, wasaidizi wa Rais Samia, nao pia pia wanamuogopa kama wasaidizi wa JPM hadi kushindwa kumsaidia?.

Rais Samia mara baada ya kuingia madarakani, alianza vizuri kwa kuondoa makando kando ya mtangulizi wake, hivyo kutupa matumaini makubwa, kuwa everything is going to change for the better.
Mimi ni miongoni mwa waandishi tulioandika makala mfululizo kumshauri hili na lile, na baadhi ya makala hizo ni hizi

Baada ya Rais Samia kuunda kikosi kazi, sio tuu tulimpongeza sana, bali pia tulitoa maangalizo

Tunajiuliza hivi hawa wasaidizi wa rais sheria wanamsaidia Rais wetu?.
Mfano "Jee Rais Samia anajua kuwa Katiba yetu ina ubatili fulani, uliochomekewa kiubatili hivyo kuifanya Tanzania kuwa na katiba Batili?. Je anajua kuwa hii sheria mpya ya uchaguzi aliyosaini hivi karibuni ni sheria batili inayokwenda kinyume cha Katiba ya JMT ya Mwaka 1977?. Jee anajua ubatili huu unadhulumu haki ya Mtanzania kuchagua na kuchaguliwa?. Jee anajua kila dhulma ya haki, huwa ina consequences?.

Hili shurti la wanasiasa kudhaminiwa na chama cha siasa, ili kugombea uongozi ni shurti batili liko kinyume na katiba ya JMT ya mwaka 1977, na limechomekewa kiubatili ndani ya katiba yetu.

Kufuatia ubatili huu, unamaanisha katiba yetu ina ubatili, na sheria mpya ya uchaguzi ni sheria batili, Serikali imetunga muswada batili, Bunge letu likatunga Sheria Batili, na Rais akaisaini hiyo Sheria batili kuanza kutumika, kwanini serikali yetu itunge muswada wa sheria batili?, kwanini Bunge letu tukufu litunge sheria batili?, kwa nini rais wetu asainishwe sheria batili wakati wasaidizi wa rais sheria wapo?.

Swali ni Je Rais Rais Samia, anajua kuwa hii sheria mpya ya uchaguzi aliyoisaini juzi juzi, kwa jicho la kisheria ni sheria batili?.

Japo Rais wa Tanzania, ana kinga ya kikatiba ya kutokushitakiwa kwa makosa yoyote atakayotenda akiwa madarakani katika utekelezaji wa majukumu yake ya urais, ila ibara ya 56A imesema specific kuwa kinga hiyo ya rais kutokushitakiwa, inahusu makosa mengine yote, ila haihusu Rais anapovunja katiba ya JMT, anashitakiwa kwa mujibu wa ibara ya 56A.

The only excuse ya rais kusaini sheria batili kuanza kutumika, ni kwa vile Rais wetu sio mwanasheria, hivyo hategemewi kuujua ubatili wa Katiba, ila kwa vile anawasaidizi wake sheria, wakiongozwa na Waziri wa sheria na Mwanasheria Mkuu wa Serikali, hawa ni manguli wa sheria, wabobezi na wabobevu ambao wanaujua kabisa ubatili wa sheria hiyo, na ubatili wa Katiba, lakini hawajamweleza Rais Samia kuhusu ubatili huu kwa excuse kuwa ubatili huu umefanywa na awamu zilizotangulia, Rais Samia kaingia kaukuta, hivyo wakamtungia tuu sheria batili kwasababu sheria ikiyokuwepo nayo ni batili lakini ilikuwa inatumika!.

Kuna kanuni ya the doctrine of separation of powers between mihimili inayokwenda na kitu kinachoitwa checks and balance inayoitaka kila mhimili kuwa kiranja wa mhimili mwenzake usikiuke mamlaka yake wala usikiuke katiba.

Ibara ya 64 (5) ya Katiba imetamka wazi kuwa katiba ndio sheria mama, sheria nyingine yoyote itakayo kinzana na katiba, sheria hiyo itakuwa ni batili. Anayebatilisha sheria batili sio Mahakama, ni katiba yenyewe, jukumu la Mahakama ni kuithibisha tuu huo ubatili na kutangaza kuwa ni batili, tangu siku Mahakama Kuu ya Tanzania ilipouthitisha ubatili huu na kuutangaza, kuanzia hapo ubatili huo unakuwa umeisha batilishika hapo hapo kuanzia saa hiyo.

Licha ya Mahakama Kuu ya Tanzania kuutangaza ubatili huu na kuubatilisha, lakini Serikali ya awamu ya Sita, bado imetunga muswada wa sheria wenye ubatili ule ule, na Bunge letu, likaupokea muswada huo batili na kuutungia sheria hali iliyowafanya wabunge wetu makini kugeuka kama sio makini, checks and balance inatoka wapi?!.

Bunge letu chini mwalimu wangu wa sheria pale UDSM, mwanasheria mbobezi na mbobevu, Dr. Tulia Akson, alipaswa kulitumia Bunge kuicheki Serikali kuwa haiwezi kututungia muswada batili, na Bunge lina mamlaka ya kuuondoa ubatili huo na kutunga sheria safi isiyo na ubatili, lakini Bunge letu, likatunga Sheria Batili na kumpelekea Rais Samia kuisaini!, jee Rais Samia anajua kuwa amesainishwa sheria batili?.

Kwavile Rais Samia anawaamini sana wasaidizi wake, wamemtungia muswada batili na Bunge likitunga Sheria batili, Rais Samia yeye amesaini with very clear conscious kuwa anasaini sheria halali bila wasaidizi wake kumweleza ukweli kuwa sheria hiyo ni batili, hivyo kwenye hili la ubatili wa sheria mpya ya uchaguzi, Rais Samia hana kosa kabisa, wenye makosa ni Serikali kutunga muswada batili na Bunge kutunga sheria batili!.

Swali la kujiuliza ni baada ya kelele zote hizi kuhusu ubatili wa Katiba yetu na ubatili wa sheria zetu, jee Rais Samia amezisikia?.

Naona maandalizi ya uchaguzi wa serikali za mitaa kwa sheria batili yanaendelea, na mwakani tunakwenda kwenye uchaguzi mkuu na katiba batili na sheria batili!.

Kwa vile Mungu ni haki, no one knows for sure kwanini yule aliitwa na kuondoshwa mapema, usikute na hii dhulma ya haki za Watanzania, zimechangia, naendelea kumsisitiza Mama yetu, if there is anything she can do to help out the situation Watanzania kurejeshewa haki zao, Mama Please do!, utabarikiwa, tutabarikiwa na Tanzania itabarikiwa!.

Naamini kabisa kuna siku iso jina, kilio hiki cha haki kitasikika!.

Nawahi kanisani misa ya pili, nikitoka, naongeza nyama na kuifupisha hii mada ili wale wa miteremko wateremke na wale wapanda milima wapande.

Mungu Mbariki Rais Samia, jicho ona lake liione hii dhulma kubwa ya haki ya Mtanzania kuchagua na kuchaguliwa airejeshe.

Mungu Ibariki Tanzania

Jumapili Njema

Paskali

Tanzania hapa watu Wana kawaida ya kuogopa kumwambia Kiongozi ukweli achilia mbali Rais hata DED anaogopwa.

Ni ngumu sana kumwambia ukweli so lazima ukweli aupate Kwa wakosoaki wa Nje
 
Wanabodi,
Hii ni makala ya Kwa Maslahi ya Taifa, kwenye Nipashe ya leo
View attachment 3047637
Utambulisho
Japo mnanitambua kama mwana jf mwenzenu, kwenye mada very serious kama ubatili wa Katiba na ubatili wa sheria, naomba kujitambulisha tena na tena kuwa mimi sio tuu ni member wa jf ambaye ni mwandishi wa habari na mtangazaji wa kujitegemea kwa kujitolea, mimi pia ni mwanasheria na Wakili wa kujitegemea pia kwa kujitolea, ila uwakili wangu, nimeamua kujikita katika utoaji wa elimu kwa umma ya katiba, sheria na haki
View: https://youtu.be/ZJIKhnZCf04?si=BlJB95S62juYBqum
Hivyo mimi sio wakili msomi wa kwenda mahakamani, mimi ni wakili mtangazaji muelimishaji umma.

Kama kawa, kila nipatapo fursa, huja na makala elimishi za kwa maslahi ya taifa, ambazo huwa na maswali yakifuatiwa na hoja, kisha majibu utayaweka mwenyewe, swali la leo ni kuhusu badhi ya wasaidizi wa Rais Samia kama wanamsaidia au wananuogopa hivyo they are just good for nothing?.
Swali lenyewe ni hili.
"Wasaidizi wa JPM walimuogopa hadi kushindwa kumsaidia, Je wasaidizi wa Rais Samia wanamsaidia kwa kumweleza ukweli au nao pia wanamuogopa?. Vipi sisi wananchi wa kawaida tukiwemo sisi wana jf, tumsaidie au...?"

Naomba kutolea mfano wasaidizi wa JPM, walikuwa wanamuogopa sana hadi kushindwa kumsaidia!.

Marais wetu sio wanasheria, hivyo kwenye hoja za kikatiba, kisheria, kiutaratibu na kikanuni, wanawategemea wanasheria kuwaongoza kwa kumwambia ukweli. Wasaidizi wa JPM walimuogopa,
matokeo yake, walimuacha hadi aliikanyaga Katiba katika baadhi ya maamuzi yake, ikiwemo kupiga marufuku mikutano ya Siasa. Kwa vile Rais sio mwanasheria, anapofanya jambo lolote kinyume cha Katiba na kinyume cha sheria, ni wajibu wa wasaidizi wake sheria kumweleza kuwa hili ni kinyume cha Katiba na kinyume cha sheria.

Wakati JPM akipiga marufuku mikutano ya Siasa, alifanya hivyo kwa nia njema, bila yeye kujua ni kinyume na katiba, wasaidizi wake sheria walipaswa kumsaidia. Sisi huku mitaani kwanza tuliamini ana washauri wazuri na wanamsaidia Naamini Rais Magufuli ana washauri wazuri na anashauriwa vizuri tuu! , Ila... kisha tuka note baadhi ya mambo ni ndivyo sivyo, hivyo tukawashauri Wasaidizi wa Rais, Please Msaidieni Rais Wetu Kwenye Public . Msimuachie Kila Kitu Peke Yake! . tukamshauri AG, AG, Mshauri Mh.Rais Atoe Maagizo kwa Presidential Decrees Kuyapa Nguvu ya Kisheria

Siku ile pale Ikulu, nilipouliza swali hili
View: https://youtu.be/Ta0URHvUlko?si=NM2_ru-wuMLXu5oN
Ilitarajiwa wasaidizi wake sheria kujitokeza na kusaidia kumjibia boss wao, lakini walijikausha as if hajaulizwa kitu, na kitu alichojibu ndilo jibu la swali aliloulizwa!, sio kila anachofanya Rais ni kitu sahihi, wasaidizi wapo wanapaswa kumsaidia Rais wetu to do the right thing and do it right!.

Hili la kupiga marufuku mikutano ya Siasa limeendelea hadi alipoingia Rais Samia, akalirekebisha, kwanza tulimshukuru Rais Samia Asante Rais kuruhusu mikutano, tunakuomba uruhusu haki nyingine ambayo imeporwa ya Watanzania wote kuchagua na kuchaguliwa ila hatukuishia kushukuru tuu, bali pia tulitoa angalizo Anayekuja pasi na hodi, huondoka pasi kuaga. Kuzuiwa bila kifungu, kuruhusu bila Kifungu. Ni hisani ya Rais Samia. Haki kuhisaniwa hadi lini?

Je sasa, wasaidizi wa Rais Samia, nao pia pia wanamuogopa kama wasaidizi wa JPM hadi kushindwa kumsaidia?.

Rais Samia mara baada ya kuingia madarakani, alianza vizuri kwa kuondoa makando kando ya mtangulizi wake, hivyo kutupa matumaini makubwa, kuwa everything is going to change for the better.
Mimi ni miongoni mwa waandishi tulioandika makala mfululizo kumshauri hili na lile, na baadhi ya makala hizo ni hizi

Baada ya Rais Samia kuunda kikosi kazi, sio tuu tulimpongeza sana, bali pia tulitoa maangalizo

Tunajiuliza hivi hawa wasaidizi wa rais sheria wanamsaidia Rais wetu?.
Mfano "Jee Rais Samia anajua kuwa Katiba yetu ina ubatili fulani, uliochomekewa kiubatili hivyo kuifanya Tanzania kuwa na katiba Batili?. Je anajua kuwa hii sheria mpya ya uchaguzi aliyosaini hivi karibuni ni sheria batili inayokwenda kinyume cha Katiba ya JMT ya Mwaka 1977?. Jee anajua ubatili huu unadhulumu haki ya Mtanzania kuchagua na kuchaguliwa?. Jee anajua kila dhulma ya haki, huwa ina consequences?.

Hili shurti la wanasiasa kudhaminiwa na chama cha siasa, ili kugombea uongozi ni shurti batili liko kinyume na katiba ya JMT ya mwaka 1977, na limechomekewa kiubatili ndani ya katiba yetu.

Kufuatia ubatili huu, unamaanisha katiba yetu ina ubatili, na sheria mpya ya uchaguzi ni sheria batili, Serikali imetunga muswada batili, Bunge letu likatunga Sheria Batili, na Rais akaisaini hiyo Sheria batili kuanza kutumika, kwanini serikali yetu itunge muswada wa sheria batili?, kwanini Bunge letu tukufu litunge sheria batili?, kwa nini rais wetu asainishwe sheria batili wakati wasaidizi wa rais sheria wapo?.

Swali ni Je Rais Rais Samia, anajua kuwa hii sheria mpya ya uchaguzi aliyoisaini juzi juzi, kwa jicho la kisheria ni sheria batili?.

Japo Rais wa Tanzania, ana kinga ya kikatiba ya kutokushitakiwa kwa makosa yoyote atakayotenda akiwa madarakani katika utekelezaji wa majukumu yake ya urais, ila ibara ya 56A imesema specific kuwa kinga hiyo ya rais kutokushitakiwa, inahusu makosa mengine yote, ila haihusu Rais anapovunja katiba ya JMT, anashitakiwa kwa mujibu wa ibara ya 56A.

The only excuse ya rais kusaini sheria batili kuanza kutumika, ni kwa vile Rais wetu sio mwanasheria, hivyo hategemewi kuujua ubatili wa Katiba, ila kwa vile anawasaidizi wake sheria, wakiongozwa na Waziri wa sheria na Mwanasheria Mkuu wa Serikali, hawa ni manguli wa sheria, wabobezi na wabobevu ambao wanaujua kabisa ubatili wa sheria hiyo, na ubatili wa Katiba, lakini hawajamweleza Rais Samia kuhusu ubatili huu kwa excuse kuwa ubatili huu umefanywa na awamu zilizotangulia, Rais Samia kaingia kaukuta, hivyo wakamtungia tuu sheria batili kwasababu sheria ikiyokuwepo nayo ni batili lakini ilikuwa inatumika!.

Kuna kanuni ya the doctrine of separation of powers between mihimili inayokwenda na kitu kinachoitwa checks and balance inayoitaka kila mhimili kuwa kiranja wa mhimili mwenzake usikiuke mamlaka yake wala usikiuke katiba.

Ibara ya 64 (5) ya Katiba imetamka wazi kuwa katiba ndio sheria mama, sheria nyingine yoyote itakayo kinzana na katiba, sheria hiyo itakuwa ni batili. Anayebatilisha sheria batili sio Mahakama, ni katiba yenyewe, jukumu la Mahakama ni kuithibisha tuu huo ubatili na kutangaza kuwa ni batili, tangu siku Mahakama Kuu ya Tanzania ilipouthitisha ubatili huu na kuutangaza, kuanzia hapo ubatili huo unakuwa umeisha batilishika hapo hapo kuanzia saa hiyo.

Licha ya Mahakama Kuu ya Tanzania kuutangaza ubatili huu na kuubatilisha, lakini Serikali ya awamu ya Sita, bado imetunga muswada wa sheria wenye ubatili ule ule, na Bunge letu, likaupokea muswada huo batili na kuutungia sheria hali iliyowafanya wabunge wetu makini kugeuka kama sio makini, checks and balance inatoka wapi?!.

Bunge letu chini mwalimu wangu wa sheria pale UDSM, mwanasheria mbobezi na mbobevu, Dr. Tulia Akson, alipaswa kulitumia Bunge kuicheki Serikali kuwa haiwezi kututungia muswada batili, na Bunge lina mamlaka ya kuuondoa ubatili huo na kutunga sheria safi isiyo na ubatili, lakini Bunge letu, likatunga Sheria Batili na kumpelekea Rais Samia kuisaini!, jee Rais Samia anajua kuwa amesainishwa sheria batili?.

Kwavile Rais Samia anawaamini sana wasaidizi wake, wamemtungia muswada batili na Bunge likitunga Sheria batili, Rais Samia yeye amesaini with very clear conscious kuwa anasaini sheria halali bila wasaidizi wake kumweleza ukweli kuwa sheria hiyo ni batili, hivyo kwenye hili la ubatili wa sheria mpya ya uchaguzi, Rais Samia hana kosa kabisa, wenye makosa ni Serikali kutunga muswada batili na Bunge kutunga sheria batili!.

Swali la kujiuliza ni baada ya kelele zote hizi kuhusu ubatili wa Katiba yetu na ubatili wa sheria zetu, jee Rais Samia amezisikia?.

Naona maandalizi ya uchaguzi wa serikali za mitaa kwa sheria batili yanaendelea, na mwakani tunakwenda kwenye uchaguzi mkuu na katiba batili na sheria batili!.

Kwa vile Mungu ni haki, no one knows for sure kwanini yule aliitwa na kuondoshwa mapema, usikute na hii dhulma ya haki za Watanzania, zimechangia, naendelea kumsisitiza Mama yetu, if there is anything she can do to help out the situation Watanzania kurejeshewa haki zao, Mama Please do!, utabarikiwa, tutabarikiwa na Tanzania itabarikiwa!.

Naamini kabisa kuna siku iso jina, kilio hiki cha haki kitasikika!.

Nawahi kanisani misa ya pili, nikitoka, naongeza nyama na kuifupisha hii mada ili wale wa miteremko wateremke na wale wapanda milima wapande.

Mungu Mbariki Rais Samia, jicho ona lake liione hii dhulma kubwa ya haki ya Mtanzania kuchagua na kuchaguliwa airejeshe.

Mungu Ibariki Tanzania

Jumapili Njema

Paskali

WOTE WAPIGAJI WANASIFU NA KUABUDU HUKU WAKILA KWA UREFU WA KAMBA ZAO.
 
Wanabodi,
Hii ni makala ya Kwa Maslahi ya Taifa, kwenye Nipashe ya leo

Swali lenyewe ni hili.
"Wasaidizi wa JPM walimuogopa hadi kushindwa kumsaidia, Je wasaidizi wa Rais Samia wanamsaidia kwa kumweleza ukweli au nao pia wanamuogopa?. Vipi sisi wananchi wa kawaida tukiwemo sisi wana jf, tumsaidie au...?"

Paskali
Kiukweli kama huna jicho la tatu, kuna vitu huwezi kuviona, kupitia jicho la tatu, nimeona Rais Samia ana nia ya dhati kulisaidia taifa lakini amebaini amezungukwa na machawa, machawa wa hatari kabisa wa kwanza ni wale machawa kwenye sheria, wakifuatiwa na machawa kwenye uchumi. Siku chache baada ya bandiko hili, leo nimesoma uundwaji wa tume hii ambayo sio ya machawa, namshauri yule chawa Mkuu wa Samia kwenye uchumi, the chancellor of the exchequer asisubiri matokeo ya tume hii, aanze tu kufungasha mdogo mdogo.
Hoja kama hizi zinasaidia, mtu kuwa na wasaidizi machawa, hawamsaidii, they are good for nothing!.
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI
Tarehe 29 Julai, 2024 wakati wa Mkutano wa 15 wa Baraza la Taifa la Biashara (TNBC), Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan alitangaza uamuzi wa Serikali kuunda kamati ya kutathmini na kushauri kuhusu masuala ya kodi nchini.

Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Dkt. Moses Kusiluka, Mhe. Rais ameunda Tume ya Rais ya Kutathmini na Kushauri kuhusu Masuala ya Kodi (Presidential Commission on Tax Reforms) na kumteua Balozi Ombeni Yohana Sefue, Katibu Mkuu Kiongozi Mstaafu kuwa Mwenyekiti wa Tume hiyo. Aidha, wajumbe wa Tume walioteuliwa ni kama ifuatavyo:

i. Prof. Florens Luoga - Aliyekuwa Gavana wa Benki Kuu (BoT) na Profesa Mstaafu wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam;

ii. Prof. Mussa Juma Assad Aliyekuwa Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) na Profesa Mstaafu wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam; Bw. Leonard Mususa - Aliyekuwa Afisa Mtendaji Mkuu wa PricewaterhouseCoopers (PwC) Tanzania;

iv. CPA. Aboubakar Mohamed Aboubakar Mhadhiri Mwandamizi wa Chuo Kikuu cha Zanzibar (ZU);

V. Balozi Mwanaidi Sinare Maajar - Mshauri wa Masuala ya Sheria;

vi. Bw. David Tarimo - Mtaalam na Mshauri wa Masuala ya Kodi na aliyekuwa Mkuu wa Idara ya Ushauri wa Kodi, PwC;

vii. Balozi Maimuna Kibenga Tarishi - Katibu Mkuu Mstaafu; na

viii. Bw. Rished Bade Kamishna wa Fedha za Nje, Wizara ya Fedha na aliyekuwa Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA).

View attachment 3057904
Nina imani na hii Tume kwasababu baadhi ya wajumbe wake nawafahamu kwa karibu ni watu niliofanya nao kazi, naelewa uwezo wao, uimara wao na uadilifu wao, watu wa type hii, ndio wanamsaidia Samia kwa kumwambia ukweli na sio wasaidizi wake uchumi wakiongozwa na msaidizi mkuu wa uchumi, the chancellor of exchequer ambaye ni chawa, atamsaidia nini Samia na kuisaidia nchi!
Juzi kati niliandika humu na magazetini Wasaidizi wa Magufuli walimuogopa hadi kushindwa kumsaidia, Je Wasaidizi wa Samia wanamsaidia kwa kumweleza ukweli au nao wanamuogopa? Tumsaidie au..? hiki kikosi kazi kitamsaidia ila Mama nae akubali kuambiwa ukweli na afuate ushauri.

Kile kikosi kazi cha siasa jilijazwa machawa na badala ya kumsaidia ndio kwanza kimeyarudia Madudu yale yale!.
Nina imani sana na Prof. Assad, nimeisha zungunza nae sana na haya ni baadhi ya kauli zake
Huyu ataisaidia sana hii Tume na atamsaidia sana Samia kwa kumweleza ukweli.
P
 
Nakupongéza sana Cde kwa kazi nzuri sana
Wanabodi,
Hii ni makala ya Kwa Maslahi ya Taifa, kwenye Nipashe ya leo
View attachment 3047637
Utambulisho
Japo mnanitambua kama mwana jf mwenzenu, kwenye mada very serious kama ubatili wa Katiba na ubatili wa sheria, naomba kujitambulisha tena na tena kuwa mimi sio tuu ni member wa jf ambaye ni mwandishi wa habari na mtangazaji wa kujitegemea kwa kujitolea, mimi pia ni mwanasheria na Wakili wa kujitegemea pia kwa kujitolea, ila uwakili wangu, nimeamua kujikita katika utoaji wa elimu kwa umma ya katiba, sheria na haki
View: https://youtu.be/ZJIKhnZCf04?si=BlJB95S62juYBqum
Hivyo mimi sio wakili msomi wa kwenda mahakamani, mimi ni wakili mtangazaji muelimishaji umma.

Kama kawa, kila nipatapo fursa, huja na makala elimishi za kwa maslahi ya taifa, ambazo huwa na maswali yakifuatiwa na hoja, kisha majibu utayaweka mwenyewe, swali la leo ni kuhusu badhi ya wasaidizi wa Rais Samia kama wanamsaidia au wananuogopa hivyo they are just good for nothing?.
Swali lenyewe ni hili.
"Wasaidizi wa JPM walimuogopa hadi kushindwa kumsaidia, Je wasaidizi wa Rais Samia wanamsaidia kwa kumweleza ukweli au nao pia wanamuogopa?. Vipi sisi wananchi wa kawaida tukiwemo sisi wana jf, tumsaidie au...?"

Naomba kutolea mfano wasaidizi wa JPM, walikuwa wanamuogopa sana hadi kushindwa kumsaidia!.

Marais wetu sio wanasheria, hivyo kwenye hoja za kikatiba, kisheria, kiutaratibu na kikanuni, wanawategemea wanasheria kuwaongoza kwa kumwambia ukweli. Wasaidizi wa JPM walimuogopa,
matokeo yake, walimuacha hadi aliikanyaga Katiba katika baadhi ya maamuzi yake, ikiwemo kupiga marufuku mikutano ya Siasa. Kwa vile Rais sio mwanasheria, anapofanya jambo lolote kinyume cha Katiba na kinyume cha sheria, ni wajibu wa wasaidizi wake sheria kumweleza kuwa hili ni kinyume cha Katiba na kinyume cha sheria.

Wakati JPM akipiga marufuku mikutano ya Siasa, alifanya hivyo kwa nia njema, bila yeye kujua ni kinyume na katiba, wasaidizi wake sheria walipaswa kumsaidia. Sisi huku mitaani kwanza tuliamini ana washauri wazuri na wanamsaidia Naamini Rais Magufuli ana washauri wazuri na anashauriwa vizuri tuu! , Ila... kisha tuka note baadhi ya mambo ni ndivyo sivyo, hivyo tukawashauri Wasaidizi wa Rais, Please Msaidieni Rais Wetu Kwenye Public . Msimuachie Kila Kitu Peke Yake! . tukamshauri AG, AG, Mshauri Mh.Rais Atoe Maagizo kwa Presidential Decrees Kuyapa Nguvu ya Kisheria

Siku ile pale Ikulu, nilipouliza swali hili
View: https://youtu.be/Ta0URHvUlko?si=NM2_ru-wuMLXu5oN
Ilitarajiwa wasaidizi wake sheria kujitokeza na kusaidia kumjibia boss wao, lakini walijikausha as if hajaulizwa kitu, na kitu alichojibu ndilo jibu la swali aliloulizwa!, sio kila anachofanya Rais ni kitu sahihi, wasaidizi wapo wanapaswa kumsaidia Rais wetu to do the right thing and do it right!.

Hili la kupiga marufuku mikutano ya Siasa limeendelea hadi alipoingia Rais Samia, akalirekebisha, kwanza tulimshukuru Rais Samia Asante Rais kuruhusu mikutano, tunakuomba uruhusu haki nyingine ambayo imeporwa ya Watanzania wote kuchagua na kuchaguliwa ila hatukuishia kushukuru tuu, bali pia tulitoa angalizo Anayekuja pasi na hodi, huondoka pasi kuaga. Kuzuiwa bila kifungu, kuruhusu bila Kifungu. Ni hisani ya Rais Samia. Haki kuhisaniwa hadi lini?

Je sasa, wasaidizi wa Rais Samia, nao pia pia wanamuogopa kama wasaidizi wa JPM hadi kushindwa kumsaidia?.

Rais Samia mara baada ya kuingia madarakani, alianza vizuri kwa kuondoa makando kando ya mtangulizi wake, hivyo kutupa matumaini makubwa, kuwa everything is going to change for the better.
Mimi ni miongoni mwa waandishi tulioandika makala mfululizo kumshauri hili na lile, na baadhi ya makala hizo ni hizi

Baada ya Rais Samia kuunda kikosi kazi, sio tuu tulimpongeza sana, bali pia tulitoa maangalizo

Tunajiuliza hivi hawa wasaidizi wa rais sheria wanamsaidia Rais wetu?.
Mfano "Jee Rais Samia anajua kuwa Katiba yetu ina ubatili fulani, uliochomekewa kiubatili hivyo kuifanya Tanzania kuwa na katiba Batili?. Je anajua kuwa hii sheria mpya ya uchaguzi aliyosaini hivi karibuni ni sheria batili inayokwenda kinyume cha Katiba ya JMT ya Mwaka 1977?. Jee anajua ubatili huu unadhulumu haki ya Mtanzania kuchagua na kuchaguliwa?. Jee anajua kila dhulma ya haki, huwa ina consequences?.

Hili shurti la wanasiasa kudhaminiwa na chama cha siasa, ili kugombea uongozi ni shurti batili liko kinyume na katiba ya JMT ya mwaka 1977, na limechomekewa kiubatili ndani ya katiba yetu.

Kufuatia ubatili huu, unamaanisha katiba yetu ina ubatili, na sheria mpya ya uchaguzi ni sheria batili, Serikali imetunga muswada batili, Bunge letu likatunga Sheria Batili, na Rais akaisaini hiyo Sheria batili kuanza kutumika, kwanini serikali yetu itunge muswada wa sheria batili?, kwanini Bunge letu tukufu litunge sheria batili?, kwa nini rais wetu asainishwe sheria batili wakati wasaidizi wa rais sheria wapo?.

Swali ni Je Rais Rais Samia, anajua kuwa hii sheria mpya ya uchaguzi aliyoisaini juzi juzi, kwa jicho la kisheria ni sheria batili?.

Japo Rais wa Tanzania, ana kinga ya kikatiba ya kutokushitakiwa kwa makosa yoyote atakayotenda akiwa madarakani katika utekelezaji wa majukumu yake ya urais, ila ibara ya 56A imesema specific kuwa kinga hiyo ya rais kutokushitakiwa, inahusu makosa mengine yote, ila haihusu Rais anapovunja katiba ya JMT, anashitakiwa kwa mujibu wa ibara ya 56A.

The only excuse ya rais kusaini sheria batili kuanza kutumika, ni kwa vile Rais wetu sio mwanasheria, hivyo hategemewi kuujua ubatili wa Katiba, ila kwa vile anawasaidizi wake sheria, wakiongozwa na Waziri wa sheria na Mwanasheria Mkuu wa Serikali, hawa ni manguli wa sheria, wabobezi na wabobevu ambao wanaujua kabisa ubatili wa sheria hiyo, na ubatili wa Katiba, lakini hawajamweleza Rais Samia kuhusu ubatili huu kwa excuse kuwa ubatili huu umefanywa na awamu zilizotangulia, Rais Samia kaingia kaukuta, hivyo wakamtungia tuu sheria batili kwasababu sheria ikiyokuwepo nayo ni batili lakini ilikuwa inatumika!.

Kuna kanuni ya the doctrine of separation of powers between mihimili inayokwenda na kitu kinachoitwa checks and balance inayoitaka kila mhimili kuwa kiranja wa mhimili mwenzake usikiuke mamlaka yake wala usikiuke katiba.

Ibara ya 64 (5) ya Katiba imetamka wazi kuwa katiba ndio sheria mama, sheria nyingine yoyote itakayo kinzana na katiba, sheria hiyo itakuwa ni batili. Anayebatilisha sheria batili sio Mahakama, ni katiba yenyewe, jukumu la Mahakama ni kuithibisha tuu huo ubatili na kutangaza kuwa ni batili, tangu siku Mahakama Kuu ya Tanzania ilipouthitisha ubatili huu na kuutangaza, kuanzia hapo ubatili huo unakuwa umeisha batilishika hapo hapo kuanzia saa hiyo.

Licha ya Mahakama Kuu ya Tanzania kuutangaza ubatili huu na kuubatilisha, lakini Serikali ya awamu ya Sita, bado imetunga muswada wa sheria wenye ubatili ule ule, na Bunge letu, likaupokea muswada huo batili na kuutungia sheria hali iliyowafanya wabunge wetu makini kugeuka kama sio makini, checks and balance inatoka wapi?!.

Bunge letu chini mwalimu wangu wa sheria pale UDSM, mwanasheria mbobezi na mbobevu, Dr. Tulia Akson, alipaswa kulitumia Bunge kuicheki Serikali kuwa haiwezi kututungia muswada batili, na Bunge lina mamlaka ya kuuondoa ubatili huo na kutunga sheria safi isiyo na ubatili, lakini Bunge letu, likatunga Sheria Batili na kumpelekea Rais Samia kuisaini!, jee Rais Samia anajua kuwa amesainishwa sheria batili?.

Kwavile Rais Samia anawaamini sana wasaidizi wake, wamemtungia muswada batili na Bunge likitunga Sheria batili, Rais Samia yeye amesaini with very clear conscious kuwa anasaini sheria halali bila wasaidizi wake kumweleza ukweli kuwa sheria hiyo ni batili, hivyo kwenye hili la ubatili wa sheria mpya ya uchaguzi, Rais Samia hana kosa kabisa, wenye makosa ni Serikali kutunga muswada batili na Bunge kutunga sheria batili!.

Swali la kujiuliza ni baada ya kelele zote hizi kuhusu ubatili wa Katiba yetu na ubatili wa sheria zetu, jee Rais Samia amezisikia?.

Naona maandalizi ya uchaguzi wa serikali za mitaa kwa sheria batili yanaendelea, na mwakani tunakwenda kwenye uchaguzi mkuu na katiba batili na sheria batili!.

Kwa vile Mungu ni haki, no one knows for sure kwanini yule aliitwa na kuondoshwa mapema, usikute na hii dhulma ya haki za Watanzania, zimechangia, naendelea kumsisitiza Mama yetu, if there is anything she can do to help out the situation Watanzania kurejeshewa haki zao, Mama Please do!, utabarikiwa, tutabarikiwa na Tanzania itabarikiwa!.

Naamini kabisa kuna siku iso jina, kilio hiki cha haki kitasikika!.

Nawahi kanisani misa ya pili, nikitoka, naongeza nyama na kuifupisha hii mada ili wale wa miteremko wateremke na wale wapanda milima wapande.

Mungu Mbariki Rais Samia, jicho ona lake liione hii dhulma kubwa ya haki ya Mtanzania kuchagua na kuchaguliwa airejeshe.

Mungu Ibariki Tanzania

Jumapili Njema

Paskali

I
 
KABENDERA ANADAI BEN SANANE ALIUAWA NA 'BWANA MKUBWA'!

Mwishoni mwa mwaka 2020, nilipata ujumbe mzito kutoka kwa Rais Magufuli kupitia kwa mtu wake mmoja ambaye jina lake linatunzwa. Rais alimtuma kwangu akiniomba nishawishi Mhe. Freeman Mbowe na Mhe. Tundu Lissu waridhie wabunge wanawake 19 waapishwe kuwa Wabunge wa Viti Maalum.

Nilijitahidi kufurukuta kueleza Rais ajue kuwa sikuwa Mjumbe wa Kamati Kuu ya CHADEMA wala mimi sikuwa na ushawishi wowote katika jambo lile. Lakini Rais aliamini kuwa Lissu na Mbowe watanisikiliza mimi. Lilikuwa jambo gumu sana kwangu kumshawishi mtu yule aniamini mimi. Ahadi niliyoahidiwa na ambayo pia CHADEMA wangepewa kama 'dili' lile lingefanyika ingali katika kilindi cha moyo.

Nakiri kuwa baada ya ombi la Rais la kunitaka niwashawishi Lissu na Mbowe kushindikana, zoezi la uapishwaji liliendelea na mimi nikajua kupitia mitandao ya kijamii na vyombo vya habari. Lakini hoja la andiko hili sio jambo hili.

Mwezi Januari 2021, alitumwa tena kwangu mtu yule yule. Safari hii haikuwa kunishawishi ili niwashawishi Mbowe na Lissu, bali ilikuwa ni kunitisha niachane na harakati, la sivyo basi nilikuwa nachungulia mauti. Nilikuwa nimetoka kuitangazia dunia kuwa maisha ya Mhe. Lissu yalikuwa hatarini na ndipo Ubalozi mmojawapo ukamchukua na kumpeleka nje ya nchi.

Kwa hiyo jibu langu kwake lilikuwa moja tu: "Mwambie Mheshimiwa kuwa akitaka aniue, lakini Askofu hatarudi nyuma"! Vitisho vya aina hiyo niliwahi kupewa na Polisi mmoja nikiwa Central Polisi, Dar es Salaam mwezi mmoja kabla Rais Magufuli hajafariki dunia.

Baada ya majibu yale, yule mtu alitetemeka na ikabidi aropoke mambo mengi sana ambayo sio sehemu ya andiko hili kwani kwa sasa Bado mambo yale ni 'classified information'! Baada ya hapo nikaanza kupata taarifa nyingi ambazo zilinitisha na kunipatia matumaini.

Siku moja nilitafutwa na mtu mmoja ambaye ni mzima na kada wa CCM. Kwa kuwa mtu huyo tunaheshimiana na kwa kuwa aliaminishwa ya kuwa mimi nilikuwa natumiwa na 'mabeberu'; ilibidi nimueleze pia baadhi ya mambo ambayo yalikuwa yanamzunguka Rais. Nilifanya hivyo ikiwa kinga yangu kwani nilijua kuwa ataelewa mazingira yangu na hivyo ataweza kupangua hoja dhaifu dhidi yangu akiwa katika 'Pango la Wakilindi'. Aliishia kunikodolea macho na ndipo tukaagana akiwa kama mtu asiyeamini.

Lakini kabla mtu huyo hajaondoka, aliniuliza: "Wewe umejuaje habari hizi'? Nikamjibu kuwa: "Mimi ni mskofu wa mnyororo na pia mimi ni askofu wa kiapo"! Mambo haya yaliaminiwa pia kwangu chini ya kiapo kwa hiyo nisingeyasema hadharani wakati ule na hata sasa. Hapa sio mahali pake kuelezea kisa cha askari aliyeacha kufanya ibada baada ya kushiriki kuwaua watu na baadaye kumbukumbu za watu wale zikawa zinamjia na kuharibu akili yake.

Mambo haya ni ya kitubio na kwa hiyo mtu ye yote atakayemuendea Mchungaji (Padri) au Askofu kwa kitubio, jambo lile linabakia katika kifua cha mtubishaji, anayetubu na Mungu.

Taarifa za kuchapishwa kwa kitabu cha Erick Kabendera zimeanza kusambaa kwa kasi sana mitandaoni siku ya leo tarehe 3 Januari 2025. Kitabu kinaitwa: 'In the Name of the President: Memoirs of a Jailed Journalist'. Nimesikiliza mahojiano ya Erick Kabendera kuhusu kitabu hicho. Nimeanza kufuatilia maudhui ya kitabu. Mengi ya mambo anayojadili ni sehemu ya yale niliyojulishwa kama 'sisi Askofu'! Ila sikutarajia mambo yale yangewekwa hadharani wakati wa uhai wangu. Ujasiri wa Kabendera unaivuka mipaka ya Nshamba na Kamachumu.

Ninaamini watu ambao walinishangaa kwa nini mimi nilijitoa muhanga kwa ajili ya kutetea haki nchini sasa wataanza kuelewa baada ya kuona na kusoma kitabu cha Erick Kabendera. Taarifa nyingi zilizofikishwa katika kilindi cha moyo wangu ziliishurutisha nafasi yangu kuchukua ili kupaza sauti na kutetea pale nilipoweza. Lakini pamoja na uropokaji wangu, mambo ambayo yalitiwa muhuri (sealed) katika moyo wangu yameamriwa na dhamiri iliyo kuu ili yasiyoke.

Kitabu cha Kabendera kitasaidia katika mambo muhimu. Kwamba tukisome na kumjua Rais Magufuli nje ya uelewa uliojulikana. Baada ya hapo, tuone kuwa alikuwa binadamu kama sisi na mwenye mapungufu na kisha tumsamehe. Kikubwa, kama jamii tutafute njia ya kuponya ikiwemo kuondoa vimelea au masalia ya yale aliyoayaasisi ambayo hayakuwa mazuri na hili itawezekana kama tutasoma na kuielewa sura ya mwisho ya Kitabu cha Kabendera.

Kitabu hiki kinaposambazwa na kusomwa ni vizuri tujue kuwa kinayahusu maisha fichika ya Rais Magufuli na sio maisha ya familia na ukoo wake. Hatuhitaji kwa namna yeyote kuwaona ndugu hata familia kama sehemu ya mambo aliyoyafanya kama Rais kwani nao walikuwa ni washangaaji kama sisi.

Mwisho, natoa wito kwa viongozi wa dini walio karibu na familia ya Ben Sanane na familia ya Azorly Gwanda kuzifikia kwa ajili ya huduma ya kiroho. Kupitia kitabu cha Erick Kabendera na mahojiano yake ni rasmi sasa ya kuwa umma umejulishwa kuwa watu hao hawapo pamoja nasi katika maisha haya.

Hekima iliyo ndani ya kilindi cha moyo wa Rais Samia inaweza kumsaidia afanye nini kwa ajili ya familia hizo. Bila shaka, CHADEMA itatafuta namna njema ya kuhitimisha kwa heshima kwa kumkumbuka Ben, mwanachama na Msaidizi maalum wa Mhe. Mbowe. Kadhalika, Gazeti la Mwananchi litaona pia namna ya kulihitimisha l kwa heshima ya Azorly, aliyekuwa mtumishi.
Je, nini kimekushangaza? Je, nini maoni yako?

Mwana Kondoo Ameshinda! Tumfuate!
Askofu Emmaus Bandekile Mwamakula
Dar es Salaam, 3 Januari 2025; saa 2:00 usiku
 
Wanabodi,

Zawadi yangu kwa Birthday ya Mama nilipanga kumpa wiki ya mwisho ya October 2025,

Ili zawadi hii iwe na manufaa kwake, nikisubiri mpaka hiyo 2025, it might be a bit too little too late, kuna ubaya hiyo zawadi, kutolewa mapema mwaka huu ili iweze kutumika mwaka kesho?.

Zawadi yenyewe ni Salaam tuu za Birthday zenye ki parcel fulani!

HBD Mhe. Rais Samia kwa kutimiza miaka 64!, nakupongeza sana na kukuombea afya njema!.

Mwakani 2025 utakuwa unatimiza umri wa miaka 65 na 2030 utakuwa na umri wa miaka 70, hivyo zawadi yangu ya pekee kwako ni HII na kukusisitizia, sio lazima kuizingatia saana kivile, ila ni muhimu kuisikiliza na kujisikilizia kama na wewe pia uliambiwa kama nilivyoambiwa mimi, kwasababu yule YEYE, sometimes ana tabia na mtindo wa kuwaambia watu wake, kupitia kwa watu wengine!, hivyo just listen and try to make sense of this, a think about it, if makes any sense to you, ikitokea it doesn't make any sense to you, then dismiss it as just another set of crap!.

Ila ikitokea na wewe pia uliambiwa, but you are not very sure kama ni YEYE au ni yeye, then don't take a chance!, usipuuze!, maana hicho kitu chenyewe, is nothing compared!.

If this being the case, then tunakuomba sana sana sana, ututekelezee haya mambo tunayokulilia nayo tangu umeingia kwenye usukani, tekeleza tuu yale yaliyomo ndani ya uwezo wako, maana kusubiria post 2025, it might be too little too late!. Please Mama!.


Na ikitokea wewe hujaambiwa mpaka 2025 inaingia na hujawahi kuambiwa na mtu mwingine yeyote, then ipuuze HII itakuwa sio sauti yake YEYE bali itakuwa ni sauti ya yeye tuu ambaye sio YEYE!.

Hivyo endelea na ule mpango wako wa 2025!, na Watanzania wanaolitakia mema taifa letu hili, wote tutakuwa Tuko nyuma yako,
Tuko pamoja nawe,
Tuko nawe!.

Mungu Akubariki Sana!.
HBD Mamaa!.
Paskali
HBD Rais Samia!.
P
 
Back
Top Bottom