Wasaka Ubunge Jimbo la Mwanga waanza kumwaga pesa

Wasaka Ubunge Jimbo la Mwanga waanza kumwaga pesa

Ndagullachrles

Senior Member
Joined
Jun 20, 2023
Posts
153
Reaction score
161
Makada wawili wa Chama cha Mapinduzi(ccm)wanaotajwa kuusaka Ubunge wa Jimbo la Mwanga mkoani Kilimanjaro,wanadiwa kuanza kilumwaga pesa kwa watu wanaominika kuwa ni wajumbe wenye kuamua kura za maoni.

Taarifa kutoka Mwanga zinapasha kuwa makada hao wanapishana huku na kule kusaka ushawishi wa kuungwa mkono kwenye harakati zao.

Mmoja wa makada hao ni mtoto wa kigogo mmoja ambaye pia amewahi kuwa mbunge wa Jimbo Hilo .

Inadaiwa kuwa kigogo huyo ndiye anayempigia upatu mtoto wake huku naye akitajwa kutapanya pesa na kutengeneza mtandao wa kumuuza mtoto wake.

Harakari hizo zinafanyika huku kukiwa na katazo la CCM ambapo chamq hicho kimesisitiza kuacha mara moja harakati hizo .

Msimamo wa CCM ni kuwapa nafasi wabunge waliopo madarakani kutekeleza majukumu yao ya kuwahudumia wananchi na muda wa uchaguzi ukifika ruksa kujitosa kwenye kinyang'anyiro cha kusaka ubunge.

Mbunge wa Sasa wa jimbo Hilo ni Wakili msomi Joseph Thadayo aliyerithi mikoba kutoka kwa Profesa Jumanne Maghembe.

Kwa upande wake Thadayo amesema hajui chochote kuhusiana na wanaotajwa kusaka ubunge na kwamba nguvu zake amezielekeza iatika kusimamia Mirada ya maendeleo jimboni kwake.

Mongoni mwa miradi hiyo ni Hospital ya wilaya ya Mwanga ambayo ujenzi wake upo kwenye hatua za mwisho na mradi mkubwa wa Maji utaozinufaisha wilaya za Mwanga,Same na Korogwe.

"Nadhani wanaoweza kulizungumzia hilo ni viongozi wa chama hao ndiyo wadhamini wetu, mimi maelekeza nguvu zangu kwenye miradi ya maendeleo ikiwemo hospital yetu ya Wilaya"

Je, viongozi wa CCM wanasemaje,wasaka Ubunge nao wanasemaje, usikose kesho hapahapa
 
Kuleni pesa zao hili nao wakianza kujilipa kupitia Kodi zenu baada ya ushindi msiumie
 
Huyo Mtoto wa PM wa zamani kwanza hilo jimbo lishamshinda na hawezi kurudi. Uwezo wake mdogo sana, amshukuru tu baba yake.
 
Makada wawili wa Chama cha Mapinduzi(ccm)wanaotajwa kuusaka Ubunge wa Jimbo la Mwanga mkoani Kilimanjaro,wanadiwa kuanza kilumwaga pesa kwa watu wanaominika kuwa ni wajumbe wenye kuamua kura za maoni.

Taarifa kutoka Mwanga zinapasha kuwa makada hao wanapishana huku na kule kusaka ushawishi wa kuungwa mkono kwenye harakati zao.

Mmoja wa makada hao ni mtoto wa kigogo mmoja ambaye pia amewahi kuwa mbunge wa Jimbo Hilo .

Inadaiwa kuwa kigogo huyo ndiye anayempigia upatu mtoto wake huku naye akitajwa kutapanya pesa na kutengeneza mtandao wa kumuuza mtoto wake.

Harakari hizo zinafanyika huku kukiwa na katazo la CCM ambapo chamq hicho kimesisitiza kuacha mara moja harakati hizo .

Msimamo wa CCM ni kuwapa nafasi wabunge waliopo madarakani kutekeleza majukumu yao ya kuwahudumia wananchi na muda wa uchaguzi ukifika ruksa kujitosa kwenye kinyang'anyiro cha kusaka ubunge.

Mbunge wa Sasa wa jimbo Hilo ni Wakili msomi Joseph Thadayo aliyerithi mikoba kutoka kwa Profesa Jumanne Maghembe.

Kwa upande wake Thadayo amesema hajui chochote kuhusiana na wanaotajwa kusaka ubunge na kwamba nguvu zake amezielekeza iatika kusimamia Mirada ya maendeleo jimboni kwake.

Mongoni mwa miradi hiyo ni Hospital ya wilaya ya Mwanga ambayo ujenzi wake upo kwenye hatua za mwisho na mradi mkubwa wa Maji utaozinufaisha wilaya za Mwanga,Same na Korogwe.

"Nadhani wanaoweza kulizungumzia hilo ni viongozi wa chama hao ndiyo wadhamini wetu, mimi maelekeza nguvu zangu kwenye miradi ya maendeleo ikiwemo hospital yetu ya Wilaya"

Je, viongozi wa CCM wanasemaje,wasaka Ubunge nao wanasemaje, usikose kesho hapahapa
Makada gani hao wanaomwaga pesa huko, wateja acha fitna
 
Makada wawili wa Chama cha Mapinduzi(ccm)wanaotajwa kuusaka Ubunge wa Jimbo la Mwanga mkoani Kilimanjaro,wanadiwa kuanza kilumwaga pesa kwa watu wanaominika kuwa ni wajumbe wenye kuamua kura za maoni.

Taarifa kutoka Mwanga zinapasha kuwa makada hao wanapishana huku na kule kusaka ushawishi wa kuungwa mkono kwenye harakati zao.

Mmoja wa makada hao ni mtoto wa kigogo mmoja ambaye pia amewahi kuwa mbunge wa Jimbo Hilo .

Inadaiwa kuwa kigogo huyo ndiye anayempigia upatu mtoto wake huku naye akitajwa kutapanya pesa na kutengeneza mtandao wa kumuuza mtoto wake.

Harakari hizo zinafanyika huku kukiwa na katazo la CCM ambapo chamq hicho kimesisitiza kuacha mara moja harakati hizo .

Msimamo wa CCM ni kuwapa nafasi wabunge waliopo madarakani kutekeleza majukumu yao ya kuwahudumia wananchi na muda wa uchaguzi ukifika ruksa kujitosa kwenye kinyang'anyiro cha kusaka ubunge.

Mbunge wa Sasa wa jimbo Hilo ni Wakili msomi Joseph Thadayo aliyerithi mikoba kutoka kwa Profesa Jumanne Maghembe.

Kwa upande wake Thadayo amesema hajui chochote kuhusiana na wanaotajwa kusaka ubunge na kwamba nguvu zake amezielekeza iatika kusimamia Mirada ya maendeleo jimboni kwake.

Mongoni mwa miradi hiyo ni Hospital ya wilaya ya Mwanga ambayo ujenzi wake upo kwenye hatua za mwisho na mradi mkubwa wa Maji utaozinufaisha wilaya za Mwanga,Same na Korogwe.

"Nadhani wanaoweza kulizungumzia hilo ni viongozi wa chama hao ndiyo wadhamini wetu, mimi maelekeza nguvu zangu kwenye miradi ya maendeleo ikiwemo hospital yetu ya Wilaya"

Je, viongozi wa CCM wanasemaje,wasaka Ubunge nao wanasemaje, usikose kesho hapahapa
Kuna shida isiyo ndogo...kama hujui Mimi najua. Zidi kuutafuta ukweli wenye ukweli. Hapa Mwanga Kuna zaidi au pungufu ya hiki ulichoandika
 
Makada wawili wa Chama cha Mapinduzi(ccm)wanaotajwa kuusaka Ubunge wa Jimbo la Mwanga mkoani Kilimanjaro,wanadiwa kuanza kilumwaga pesa kwa watu wanaominika kuwa ni wajumbe wenye kuamua kura za maoni.

Taarifa kutoka Mwanga zinapasha kuwa makada hao wanapishana huku na kule kusaka ushawishi wa kuungwa mkono kwenye harakati zao.

Mmoja wa makada hao ni mtoto wa kigogo mmoja ambaye pia amewahi kuwa mbunge wa Jimbo Hilo .

Inadaiwa kuwa kigogo huyo ndiye anayempigia upatu mtoto wake huku naye akitajwa kutapanya pesa na kutengeneza mtandao wa kumuuza mtoto wake.

Harakari hizo zinafanyika huku kukiwa na katazo la CCM ambapo chamq hicho kimesisitiza kuacha mara moja harakati hizo .

Msimamo wa CCM ni kuwapa nafasi wabunge waliopo madarakani kutekeleza majukumu yao ya kuwahudumia wananchi na muda wa uchaguzi ukifika ruksa kujitosa kwenye kinyang'anyiro cha kusaka ubunge.

Mbunge wa Sasa wa jimbo Hilo ni Wakili msomi Joseph Thadayo aliyerithi mikoba kutoka kwa Profesa Jumanne Maghembe.

Kwa upande wake Thadayo amesema hajui chochote kuhusiana na wanaotajwa kusaka ubunge na kwamba nguvu zake amezielekeza iatika kusimamia Mirada ya maendeleo jimboni kwake.

Mongoni mwa miradi hiyo ni Hospital ya wilaya ya Mwanga ambayo ujenzi wake upo kwenye hatua za mwisho na mradi mkubwa wa Maji utaozinufaisha wilaya za Mwanga,Same na Korogwe.

"Nadhani wanaoweza kulizungumzia hilo ni viongozi wa chama hao ndiyo wadhamini wetu, mimi maelekeza nguvu zangu kwenye miradi ya maendeleo ikiwemo hospital yetu ya Wilaya"

Je, viongozi wa CCM wanasemaje,wasaka Ubunge nao wanasemaje, usikose kesho hapahapa
Huyo Thadayo hana anachofanya apo Mwanga....Kila nikienda naona hamna jipya acha waje wengine
 
Makada wawili wa Chama cha Mapinduzi(ccm)wanaotajwa kuusaka Ubunge wa Jimbo la Mwanga mkoani Kilimanjaro,wanadiwa kuanza kilumwaga pesa kwa watu wanaominika kuwa ni wajumbe wenye kuamua kura za maoni.

Taarifa kutoka Mwanga zinapasha kuwa makada hao wanapishana huku na kule kusaka ushawishi wa kuungwa mkono kwenye harakati zao.

Mmoja wa makada hao ni mtoto wa kigogo mmoja ambaye pia amewahi kuwa mbunge wa Jimbo Hilo .

Inadaiwa kuwa kigogo huyo ndiye anayempigia upatu mtoto wake huku naye akitajwa kutapanya pesa na kutengeneza mtandao wa kumuuza mtoto wake.

Harakari hizo zinafanyika huku kukiwa na katazo la CCM ambapo chamq hicho kimesisitiza kuacha mara moja harakati hizo .

Msimamo wa CCM ni kuwapa nafasi wabunge waliopo madarakani kutekeleza majukumu yao ya kuwahudumia wananchi na muda wa uchaguzi ukifika ruksa kujitosa kwenye kinyang'anyiro cha kusaka ubunge.

Mbunge wa Sasa wa jimbo Hilo ni Wakili msomi Joseph Thadayo aliyerithi mikoba kutoka kwa Profesa Jumanne Maghembe.

Kwa upande wake Thadayo amesema hajui chochote kuhusiana na wanaotajwa kusaka ubunge na kwamba nguvu zake amezielekeza iatika kusimamia Mirada ya maendeleo jimboni kwake.

Mongoni mwa miradi hiyo ni Hospital ya wilaya ya Mwanga ambayo ujenzi wake upo kwenye hatua za mwisho na mradi mkubwa wa Maji utaozinufaisha wilaya za Mwanga,Same na Korogwe.

"Nadhani wanaoweza kulizungumzia hilo ni viongozi wa chama hao ndiyo wadhamini wetu, mimi maelekeza nguvu zangu kwenye miradi ya maendeleo ikiwemo hospital yetu ya Wilaya"

Je, viongozi wa CCM wanasemaje,wasaka Ubunge nao wanasemaje, usikose kesho hapahapa
Dah mnabahati sana,,yaani wanamwaga pesa???changamka zkusanye hayo mengine haya kuhusu
 
Back
Top Bottom