L Lihove2 JF-Expert Member Joined Mar 23, 2018 Posts 3,545 Reaction score 6,512 Apr 2, 2021 #1 Kwa wale ambao ni wasaliti ikiwa ni kwenye ndoa zao,au ktk patnership za biashara au kazi nawakumbusha tuu kwamba mwenzenu Yuda leo ameishaingiza madola yake haramu toka jana. Endeleeni na hizo tamaa zenu ila nawakumbasha zitawakosti siku moja
Kwa wale ambao ni wasaliti ikiwa ni kwenye ndoa zao,au ktk patnership za biashara au kazi nawakumbusha tuu kwamba mwenzenu Yuda leo ameishaingiza madola yake haramu toka jana. Endeleeni na hizo tamaa zenu ila nawakumbasha zitawakosti siku moja
DeepPond JF-Expert Member Joined Nov 18, 2017 Posts 41,728 Reaction score 103,997 Apr 2, 2021 #2 Yamekua Ayo Tena!
tyc JF-Expert Member Joined Feb 25, 2014 Posts 1,179 Reaction score 2,971 Apr 2, 2021 #3 Nasikia afisa mkuu tcra nae keshatusaliti waTz, keshavuta chake kutoka kwa makampuni ya simu