Wasaliti Leo Mwenzenu Anapiga Mpunga

Lihove2

JF-Expert Member
Joined
Mar 23, 2018
Posts
3,545
Reaction score
6,512
Kwa wale ambao ni wasaliti ikiwa ni kwenye ndoa zao,au ktk patnership za biashara au kazi nawakumbusha tuu kwamba mwenzenu Yuda leo ameishaingiza madola yake haramu toka jana.

Endeleeni na hizo tamaa zenu ila nawakumbasha zitawakosti siku moja
 
Nasikia afisa mkuu tcra nae keshatusaliti waTz, keshavuta chake kutoka kwa makampuni ya simu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…