Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 301,577
- 754,412
Ukiiva ccm ina wenye nee awo zumbeMosie kumbe niivyo.
Asante kwa taarifa.
Tunataka mtu wa kupambana
Sent using Jamii Forums mobile app
Jr[emoji769]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukiiva ccm ina wenye nee awo zumbeMosie kumbe niivyo.
Asante kwa taarifa.
Tunataka mtu wa kupambana
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahaaaaa ...Ukiiva ccm ina wenye nee awo zumbe
Jr[emoji769]
Hili na mimi nimeliskia japo Sina uhakika.Alishatangaza hagombei tena mwaka huu
♡♤Life belongs to all who struggle for it♤♡♧
Mkuu ukitaka upambanue Mambo jitahidi kutoegemea upande wowote.Nan aliwaambia mchague CCM
Mnavuna mlichopanda
god is good
Bora umeliona hilo mkuu..ile barabara ni kisanga,tangu uhuru..na ile njia kuna mazao mengi sana..binafsi nimeshawahi kuishi pale Soni nashindwa kuelewa ilikuaje hizo taasisi ulizozitaja zikafa,mbaya zaidi ndugu zetu kule hawana hata presha,wakipigiwa mdumange wakigonga mchele na kupewa kofia na t-shirt "kama kawaida" wanarudia makosa yaleyale.
Ni BUMBULI sio BUMBURI.SUBJECT sio WASAMBAA ni wana BUMBURI....!
The good, the bad and the ugly.
Bora umeliona hilo mkuu..ile barabara ni kisanga,tangu uhuru..na ile njia kuna mazao mengi sana..binafsi nimeshawahi kuishi pale Soni nashindwa kuelewa ilikuaje hizo taasisi ulizozitaja zikafa,mbaya zaidi ndugu zetu kule hawana hata presha,wakipigiwa mdumange wakigonga mchele na kupewa kofia na t-shirt "kama kawaida" wanarudia makosa yaleyale.