Uchaguzi 2020 Wasambaa tuamkeni jamani, miaka mitano jimbo la Bumbuli ni aibu tupu

Uchaguzi 2020 Wasambaa tuamkeni jamani, miaka mitano jimbo la Bumbuli ni aibu tupu

Alishatangaza hagombei tena mwaka huu

♡♤Life belongs to all who struggle for it♤♡♧
 
Nan aliwaambia mchague CCM
Mnavuna mlichopanda

god is good
Mkuu ukitaka upambanue Mambo jitahidi kutoegemea upande wowote.

Wapo watu ndani ya CCM wanafanya Mambo makubwa kiasi hata CHADEMA hawana hao watu.

Na wapo CHADEMA wenye mawazo na akili kubwa CCM hamna.

Kwa hiyo naweza nimpe uraisi mtu wa CCM na ubunge nikampa CHADEMA.

Kama vyama pinzani vilishindwa kuweka mgombea Hilo sio kosa langu wala la wana Bumbuli.

Siwezi kuchagua jiwe bora nikalale tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Bora umeliona hilo mkuu..ile barabara ni kisanga,tangu uhuru..na ile njia kuna mazao mengi sana..binafsi nimeshawahi kuishi pale Soni nashindwa kuelewa ilikuaje hizo taasisi ulizozitaja zikafa,mbaya zaidi ndugu zetu kule hawana hata presha,wakipigiwa mdumange wakigonga mchele na kupewa kofia na t-shirt "kama kawaida" wanarudia makosa yaleyale.

Umesahau na tungi lao BOHA!
 
Tatizo letu uchaguzi ukifika hua tunachagua wasomi wasio na Akili,
Kumbuka Akili ndo mpango mzima na si Elimu hivi vitu viwili havina uhusiano kabisa una elimu lakini huna Akili huwezi
Kutusaidia tuwe makini na hilo
Bora umeliona hilo mkuu..ile barabara ni kisanga,tangu uhuru..na ile njia kuna mazao mengi sana..binafsi nimeshawahi kuishi pale Soni nashindwa kuelewa ilikuaje hizo taasisi ulizozitaja zikafa,mbaya zaidi ndugu zetu kule hawana hata presha,wakipigiwa mdumange wakigonga mchele na kupewa kofia na t-shirt "kama kawaida" wanarudia makosa yaleyale.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kumbe huyu dogo nae ni mpigaji tu, kawasahau wananchi wake hivi!

Kuvaa mashati na kukunja ni njia tu yakuwaada wananchi kwamba yeye ni obama
 
Back
Top Bottom