Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unamzungumzia Mr SaburiTulikuwa na mwehu mmoja pale UDSM alikuwa mlemavu wa mguu, yaani ni viruthi moja kwa moja.
itafute mkuu w'end yako itakuwa poa sanaSijaiona ngoja niitafute diz weekend niicheki
Hapana Madame,nawapenda tu.Shemeji yangu mkorea nini?
ingawa govinda ametamba kwa muda wake, na amekua maarufu kwa movie kama Saajan chale sasural, Naseeb, Hero No. 1, Hum. Kwa kipindi kirefu hajahit sana kwenye industry
Kumbe jamaa kukata kote viuno kwenye nachi hamna kitu,namkumbuka sana kwa muvi mbili tu Hatya na muqabla..
Nifah!Shahrukh Khan hana mpinzani.
Jamani huyu baba nampenda mnooo!
Wapi Sunil Shety?Sun Deo?
Mimi sio mfuatiliaji wa movie za kihindi sana.
Ukipata wasaa tuandalie list ya Wakorea mkuu...
Asante.
Naam mkuu...Nifah!
Hata mi huku kwetu Mbagala kwa Nyoka wananiita Shahrukh Khan...namba zangu ni sufuri saba nane nane nane nane saba saba tisa miambili tisini.Shahrukh Khan hana mpinzani.
Jamani huyu baba nampenda mnooo!
Wapi Sunil Shety?Sun Deo?
Mimi sio mfuatiliaji wa movie za kihindi sana.
Ukipata wasaa tuandalie list ya Wakorea mkuu...
Asante.
Tatizo nyotaHuyu Sanjay Dutt kaanza haya mambo muda mrefu sana mbona hana mafanikio?
Sawa na diamond wa juz ila anapesa na kuna waliomtangulia miaka na miaka ila wanasuguaHuyu Sanjay Dutt kaanza haya mambo muda mrefu sana mbona hana mafanikio?
enzi za akina akshay na ajay zishaisha sasa hivi hrithic roshan ndo mpango mzimaAkshay ni icon ya movie industry ya india kwa sasahivi akifuatiwa na ajay
Anupam kher adui?? sipatii picha hiyo movie ikoje maana huyu mzee amekaa ki comedian comedianGovinda km staring na Anupam kher km adui kuu
kwenye hatya yuko serious mpk bas!!mi nawapendaga yy na Paresh LawalAnupam kher adui?? sipatii picha hiyo movie ikoje maana huyu mzee amekaa ki comedian comedian
bila kusahau priyanka chopra, aishwarya rai, bipasha basu,kareena kapoor,na katrina kaifMimi kwenye filamu za kihindi hupenda wale watoto wa kike aisee...Kuna Depika Pedikuno,Priyanka Chopra,Sonakshi Sinha halafu kuna yule binti wa Anil Kapoor akiitwa Sonam Kapoor yaani daaah mtoto mzuri yule!.
Ila nilipokomea ni kwa Katrina Keif,mtoto namuwazia yule acha tu ana shauzi fulani hivi linanikumbusha binti wa zamani kweye muvi za kihindi ambaye kwa sasa ashakuwa mzee tena akiitwa Dimpo Kapadia.
Hapo bado hujawataja kina Neelam,Manisha Koirala,Ravena Tandom,Tabu,Karisma Kapoor kwa zamani kdg.
Kati hapa walikuwepo kina Kajol,Preity Zinta,Sushmita Sean,Rani Mukerji kwa kutaja wachache.
Wadada wa kihindi wako njema sana.
Kweli mkuu nilimsahau Mlimbwende Aishwarya Rai na Kareena Kapoor.bila kusahau priyanka chopra, aishwarya rai, bipasha basu,kareena kapoor,na katrina kaif