Wasanii 5 Wa Tanzania Wenye Pesa

nadhani kwa kumtia urefu si kilema katika list bora heading ingesomeka 'wasanii (na WANAMICHEZO )wa 5 Tanzania wenye pesa(WANAOONGOZA KWA PESA)'
 
Hata mimi najishangaa jina langu halipo kwenye hiyo list
 
Kwani Hasheem anamzidi JK mkwanja? Mbona hamjamuweka JK kwenye nafasi yake. Kama hana ya kwanza basi mpeni hata ya pili msanii wetu wa kizazi kipya Jakaya Kikwete! Kazi zake za kiusanii kila mmoja wenu anazijua, ila kama huzijui ni ruhusa kuuuliza...........
 
ana single ipi kwani! au kwa heshima yake juu ya anavyoisaidia hiyo industry!
 
alaaa kumbe, ndiyo maana naona hawa vijana wanawachezea mabinti kwa jinsi watakavyo
 

yaan apambane na wakina ngasa wanaopokea mil.moko kwa mwez?
 
full of guess work....inasemekana, inakadiriwa etc.....

nionyeshe balance sheet ya japo mmoja wa hao watu kisha tukae na kujadili au laa nionyeshe tax returns za watu hao then tutaweza ku-deduce their taxable profits na mwisho their cash flows...

by the way kwa vile source yako ni Emelda na Bab kubwa yake....sikulaumu bali nashauri uwe a bit objective...nenda hatua moja mbele, usiishie copy and paste kama ulivyotufanyia hapa....changanua kama alichoandika Emelda kinajitosheleza na kinaweza kujisimamia na kujitetea kama ukweli usio na shaka.

asante kwa taarifa anyway.
 

Emelda ni mmiliki wa Bang! Magazine sio Bab Kubwa Magazine naomba kumrekebisha mwana jamvi
 
Takwimu nzuri sana ila nimeguswa na kufurahishwa kwa mafanikio ya Hasheem maana hua tunaona movie na kusoma story mbali mbali za watu waliokua wakidharaulika katika jamii na baadae kuja kuheshimika katika kiwango kikubwa sana.
 
Yan umenikumbusha kanumba machozi yamerudi upya
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…