Wasanii 5 Wa Tanzania Wenye Pesa

Wasanii 5 Wa Tanzania Wenye Pesa

CLOUDS MEDIA GROUP!(am not sure). Kwani na Hashim naye ni msanii??!
Ila huyo namba 5 nina doubt n msiulize kwanini...

Mkuu Owner si Clouds Media. Mimi pia nimekosea nilichanganya na bang Magazine ambayo ndo inamilikiwa na Emelda. Yote yamefanana kwa kiasi fulani.

You will get this from Baab Kubwa Website:

Bab Kubwa Media is a talent collective and production company working between the UK and Tanzania, conceived by Ralph Godden
after recording material for the Mapito album in Tanzania during 2004.

Our activities include Artist Promotion and also producing Music, Graphics and Websites for both established and Underground Artists around the world. We will also be hosting a series of Live shows and Recording workshops over the next year. Bab Kubwa is proud to function as A&R for Nomadic Wax LLC, Brooklyn, New York.
 
Namsubiri Emelda na show yake....she is smart and inspiring....!!

Me too . . . Mwaka huu tutaona mengi. talk shows zitakazoongezeka ni pamoja na "True Life Show" ya Madame Rita mbali na BBS. Pia kutakuwa na Sinta show. Stay tuned.
 
Thx mkuu, data zako na za tra zinalingana?

Kama una access na confidential data za TRA zinazohusiana na ulipaji wa kodi, tutashukuru ukitupatia.

Nikijenga nyumba au kununua shamba au gari nk, je TRA wanakuwa na details zote, na je waweza pata access ya data hizo kwa nchi kama yetu.

nadhani vitu vilivyoongelewa hapa ni vile nionavyoonekana na vinaweza kuthibitishwa na wahusika na baadhi ya fans wao.
 
Naulizia kodi ya mapato mkuu! Tunaweza tukawa tunashangilia pesa za unga mkuu! Cheki na tra then uje tena mkuu!
 
Naulizia kodi ya mapato mkuu! Tunaweza tukawa tunashangilia pesa za unga mkuu! Cheki na tra then uje tena mkuu!

Inaelekea somo bado gumu kueleweka Mkuu . . . .

"Hutaki Unaacha" . . . yuko wapi siku hizi? lol
 
Mkuu tuache blah blah, labda utueleze base ya hoja yako! Naamini kipato chochote cha halali lazima tra wakipitie!
 
CLOUDS MEDIA GROUP!(am not sure). Kwani na Hashim naye ni msanii??!
Ila huyo namba 5 nina doubt n msiulize kwanini...

Hatukuulizi kwa nini, ila tuambie doubts zako ni zipi?
 
Mkuu tuache blah blah, labda utueleze base ya hoja yako! Naamini kipato chochote cha halali lazima tra wakipitie!

Mkuu, kila kitu na wakati wake, umeingiza yopic nyingine ya TRA ambayo ni pana zaidi na ni offline.

Still, sina hoja hapa, nawakilisha habari na source nimekuwekea: Source: Babu Kubwa Magazine: Dec-Jan 2012.

Si vibaya kuwa makini tunaposoma kabla ya kugusa keyboard.

Respect.
 
Me too . . . Mwaka huu tutaona mengi. talk shows zitakazoongezeka ni pamoja na "True Life Show" ya Madame Rita mbali na BBS. Pia kutakuwa na Sinta show. Stay tuned.

Tusubirie Michelle Show.....!
 
Anyway, nilifikiri kwamba kabla ya kupost inabid ujiridhishe! Otherwise utakuwa una spread upupu mkuu (ashakum)!
 
Back
Top Bottom