Wasanii 5 Wa Tanzania Wenye Pesa

Wasanii 5 Wa Tanzania Wenye Pesa

Nina mashaka na Prof kama taarifa ni sahihi

sure,wamejitahidi ila nami nina wasiwasi na evaluation ya mali zao kama mdau alivyo na shaka na taarifa za prof jay ambazo nami namashaka pia.ile nyumba yake ni ya 180M? .pia haipo clear kwa hao wanao own companies(ray,kanumba na jaydee) hayo mapato ni faida waliyopata au ndo.....eg kwa jd 2M per show ndo anaingiza mfukoni or anatakiwa awalipe wanamuziki wake na gharama nyingine pia
 
Anyway, nilifikiri kwamba kabla ya kupost inabid ujiridhishe! Otherwise utakuwa una spread upupu mkuu (ashakum)!

If you argue with #$#%$%^^& people may not notice the difference! Lini unaanzisha thread hata moja Mkuu?

I hope enzi za Pumba hazirudi tena.

Wapi FMSE? Its time now JF irudi kwenye mstari. Yes, zama za Great Thinkers!
 

Kama sijakosea linamilikiwa na clouds media group, no wonder Sugu is not. Included

Mkuu kuna mafanikio yoyote unayoyajua ya Sugu yaliyotokana na Usanii wake mbali na Ubunge. Please share with us.
 
bado wanakuja wengi na tutawashangaa wengi sana. haya yote mshukuruni mmarekani aliyeutokomeza ukomunisti na binamu yake ujamaa na kujitegemea. watu kama marijani shabani, mzee upara(fundi saidi) na wasannii wengine wangekuwa ni mabilionea sasa hivi kama kusingekuwa na Azimio la arusha.
Azimio la Arusha liliweka miiko kwa Viongozi. Je hawa uliowataja nao walikuwa viongozi?
 
Mkuu tusaidie unachokijua au kusahihisha kilichokosewa.
Hata mimi nina wasiwasi na huyu jamaa ukiacha hiyo nyumba yake na hayo mashamba hana chochote,ni kweli jamaa anaingiza hela nyingi but matumizi yake ni ulevi tu.Kabla hajaamia huko Mbezi kwenye nyumba yake alikuwa anakaa Kijitonyama nilikuwa nakutana nae bar moja yuko na wapambe kibao anakunywa hadi anapoteza network kuna jamaa wanambeba kweyne gari wanamrudisha home.Angetulia angefika mbali sana
 
sure,wamejitahidi ila nami nina wasiwasi na evaluation ya mali zao kama mdau alivyo na shaka na taarifa za prof jay ambazo nami namashaka pia.ile nyumba yake ni ya 180M? .pia haipo clear kwa hao wanao own companies(ray,kanumba na jaydee) hayo mapato ni faida waliyopata au ndo.....eg kwa jd 2M per show ndo anaingiza mfukoni or anatakiwa awalipe wanamuziki wake na gharama nyingine pia

I think magazine imesema kuwa ni Gross . . . . Of course Authentication in Tanzania is never possible. Hata hao wanaodhaniwa kuwa wanalipa kodi bado zinachakachuliwa.

So assumption ya hapa ni kwenda kwa makisio na kinachoonekana kwa macho.

Juu ya thamani ya nyumba ya Professor Jay inayoonyeshwa katika blogs mbalimbali na pia niliona kwebnye TV, yes it is possible for maana kwa sasa vifaa vya ujenzi viko juu sana: Cement; Tiles; Vigae; Cereamics; Plumbing; Electricity nk.

Waiopitia experience ya ujenzi siku za karibuni wanaweza wakawatoa maoni yao. Pia Market value huwa iko juu kuliko gharama za ujenzi.
 
Hata mimi nina wasiwasi na huyu jamaa ukiacha hiyo nyumba yake na hayo mashamba hana chochote,ni kweli jamaa anaingiza hela nyingi but matumizi yake ni ulevi tu.Kabla hajaamia huko Mbezi kwenye nyumba yake alikuwa anakaa Kijitonyama nilikuwa nakutana nae bar moja yuko na wapambe kibao anakunywa hadi anapoteza network kuna jamaa wanambeba kweyne gari wanamrudisha home.Angetulia angefika mbali sana

Nimekusoma Mkuu. Kam kwa assets ni kweli anazo basi imetulia.

Maana jarida linaongelea ni Gross kiasi gani aliingiza kwa Mwaka na si kiasi gani alichonacho Benki.
 
Kwa wasanii waliongiza sana fedha mwaka jana nafikiri hata Diamond ameingiza sana fedha mwaka jana kwenye show zake,sijafahamu investment na matumizi yake
 
Hata mimi nafahamu kuwa Prime Time ndio wamiliki wa Bab Kubwa Magazine

Website ya Baab Kubwa ina taarifa hizi juu ya umiliki:

Bab Kubwa Media is a talent collective and production company working between the UK and Tanzania, conceived by Ralph Godden after recording material for the Mapito album in Tanzania during 2004.

Our activities include Artist Promotion and also producing Music, Graphics and Websites for both established and Underground Artists around the world. We will also be hosting a series of Live shows and Recording workshops over the next year. Bab Kubwa is proud to function as A&R for Nomadic Wax LLC, Brooklyn, New York.

Any comment?
 
Kwa wasanii waliongiza sana fedha mwaka jana nafikiri hata Diamond ameingiza sana fedha mwaka jana kwenye show zake,sijafahamu investment na matumizi yake


Possible Mkuu. May be kwa vigezo vya waandishi hajafikia Top Five!

Kuna Twanga Pepeta pia nk
 
Haaaa haaa lini hiyo Mammy?

Misso yaaa . . . long time you know . . . wapi TF? Bora hayupo leo asije kuniharibia . . .

Mwezi wa sita-saba hivi....misso yaaa too (SMH)... TF yuko anatafuta maisha na mie natafuta yangu mkuu....!

Bora umerudi mkuu,nahitaji sana ushauri kwenye hii ishu,ukiwa free PM me....!
 
Nyumba ya Prof J

DSCF0457-800x600.jpg
DSCF0464-800x600.jpg
DSCF0470-800x600.jpg
DSCF0472-800x600.jpg
 
I think magazine imesema kuwa ni Gross . . . . Of course Authentication in Tanzania is never possible. Hata hao wanaodhaniwa kuwa wanalipa kodi bado zinachakachuliwa.

So assumption ya hapa ni kwenda kwa makisio na kinachoonekana kwa macho.

Juu ya thamani ya nyumba ya Professor Jay inayoonyeshwa katika blogs mbalimbali na pia niliona kwebnye TV, yes it is possible for maana kwa sasa vifaa vya ujenzi viko juu sana: Cement; Tiles; Vigae; Cereamics; Plumbing; Electricity nk.

Waiopitia experience ya ujenzi siku za karibuni wanaweza wakawatoa maoni yao. Pia Market value huwa iko juu kuliko gharama za ujenzi.

tubandikie picha moja basi
 
Mwezi wa sita-saba hivi....misso yaaa too (SMH)... TF yuko anatafuta maisha na mie natafuta yangu mkuu....!

Bora umerudi mkuu,nahitaji sana ushauri kwenye hii ishu,ukiwa free PM me....!

Haaaa haaaa hiyo SMH . . . . angalia MODS wasije wakakupiga ban ya kudumu. Ndo maana mimi napeta tu, kumbe TF hayupo? naona alikuwa busy sana na misiba. time hivi nilimwona mahali, ila najua hakunitambua . . . lol

Hii issue mkuu, inawezekanika . . . mimi nimefanya maandalizi fulani hivi . . . ila tutaongea uraiani (PM). Uko poa lakini?
 
Back
Top Bottom