Wasanii ambao hata watoe nyimbo unajua tu hamna kipya

Wasanii ambao hata watoe nyimbo unajua tu hamna kipya

Hivi kama mtu amechagua kuimba taarab, anatakiwa awe anaichanganya changanya na rap isound tofauti...
 


SIKUAMINI HILI JEMBE NALO LILIKWENDA NA MAJI.........All the attempted come backs have failed..
 
Last edited by a moderator:
kila mtu na interset zake. ndo maana mnatoa hoja kwa mapenzi binafsi.
 
Mnataka kuua mziki kwenye mitandao ya kijamii sasa Roma huku anahusikaje,mnataka aimbe mapenzi muwatumie madem zenu au atoe video ambayo huwezi kuangalia na wazazi wako,na Dada yetu Jide hv yy na shilole au snura nani anaimba nyimbo zenye maana,ni mtazamo wangu.
 
Duh..! Jamaa amesema young killer yule wa dear gambe ..na huyu wa kumi na tatu ni yuleyule. Bongo fleva aisee tuachieni hiphop yetu.
 
1.Roma Mkatoliki,..beats zake karibia zote sawa,nyimbo zake zote ujumbe sawa(harakati)

2.Izzo Bizness yaanii huyu beats zinafanana kila wimbo,mfano chorus ya wimbo mmoja unaweza kuimbia nyimbo zake
zote bila tabu.

3.AY,huyu ndo hana kipya style ile ile,mfano video ya leo na nyimbo baada ya hapo kitu kile kile hamna kipya.

4.Tuda man,huyu hata huwezi kujua analia au anaimba,iwe wimbo wa starehe kama analia tu.

5.Stamina (huyu atachokwa mda si mrefu anadhani misamiati ndo kuwashika watu

6.Young Killer asipoimba bongo fleva hatadumu.

7.Linex nyimbo zake hamna tofauti,kinachomfanya asikike ujumbe wa nyimbo zake.

8.Ben Pol huyu naye hana kipya

kama hujui kitu kaa kimya sio lazima uzungumze eti ndo uonekane unajua wakati mwingine utafanya watu wakudharau.Huna ufahamu wowote kuhusu muziki unachokijua ni kidogo sana kiasi cha kutokukuwezesha kuchambua wasanii kama hawa..jifunze
 
kama hujui kitu kaa kimya sio lazima uzungumze eti ndo uonekane unajua wakati mwingine utafanya watu wakudharau.Huna ufahamu wowote kuhusu muziki unachokijua ni kidogo sana kiasi cha kutokukuwezesha kuchambua wasanii kama hawa..jifunze

mi nimeongea nachojua sasa we unayejua mziki mbona unalalamika tu si useme unachojua
 
Back
Top Bottom