Wasanii ambao wapenzi wao hawajulikani

Hahaaaa hamna hao ninao wajua coz mambo yao yako wazi.
Kidoti baada ya kuachana na Domo then akawa na Hashim Thabeet kwa sasa sijui.

Ay anademu wake alishawahi kuwekwa humu JF.

Madam Rita sijui kwakweli

madam ritaa anachukuliwa na haji ramadhan
 
Mrisho mpoto,Kalapina na chiku keto Sijajua wapenzi wao.

Mwenye picha ya mke wa shetta.Naskia mkali.

Dah Geez mabovu na fetty.Design gangster luv.Hahahaa!
 
Mrisho mpoto,Kalapina na chiku keto Sijajua wapenzi wao.

Mwenye picha ya mke wa shetta.Naskia mkali.

Dah Geez mabovu na fetty.Design gangster luv.Hahahaa!

Mke wa sheta ata sio mkali kama unavyodai, kawaida sana
 
Hotee naona mnapiga stori. Salama jbiri sijapata stori yake mana naona bora angeumbwa kama mimi. Jabari la kiume kwani hayupo kwenye lile jinsia aliloumbwa nalo
 
Hotee naona mnapiga stori. Salama jbiri sijapata stori yake mana naona bora angeumbwa kama mimi. Jabari la kiume kwani hayupo kwenye lile jinsia aliloumbwa nalo

Salama alimuweka ndani mke wa kinje kale kabinti kadogo alikokaoa, salama alimkoleza had demu kakimbia kwa mume wake akahamia kwa salama, jamaa akamaind sana akaona kadhalilishwa kuzidiwa ujanja na mwananmke , ikabdi aende kushtak kwa wazazi wa mwanamke, demu akarudishwa kwa mume jamaa ikabidi amwamishe wife south Africa amkwepe salama, chezea kistuli jabir
 
Kuna wanaume wanapenda.....yani akufanyie huo ushenzi na akudhalilishe afu bado unampokea....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…