Mziki wetu una phase 4
1. Sugu alianza kurap kuitambulisha bongo fleva elimu ya mtaani wazee wa deiwaka yaani mziki wa wahuni
2. Project jay ...huyu ndo akailainisha kidogo hip hop kutokana na tungo zake ikaanza kupendwa na rika zote.
Ukawa mziki wa kizazi kipya
3. Juma nature, Dully Sykes.... Hawa aliitransform kutoka kutoka kurap had I kuimba , wabana pua wakaanzua hapa mziki ukawa biashara kubwa , pesa inaingia na wakajitokeza wasanii kibao
.Diamond platnumz... Huyu phase yake akaleta mapinduzi ya kweli ya kuiongezea bongo fleva thamani, kufanya video Kali zaidi, promotion kubwa ya Kazi zake , kuset price kubwa ya shows, kutafuta masoko ya kimataifa.
Nakumbuka Diamond alizamia hadi harusi ya Psquare wabongo wakawa wanamcheka wakati ameenda kufanya video ya remix ya number one
Wasanii wengine ndo wakazinduka akili kufanya video nzuri south Africa na wengine walikuwa wamepumzika mziki wakapata nguvu na wakaamua kurudi tens kwa nguvu ya mashabiki waliokuwa wanamchukia aliekuwa juu.
Hadi Leo maybe tusubiri phase mpya uko mbeleni