Wasanii ambao watakumbukwa hata kama muziki ukiwatupa mkono

Usikurupuke, soma post vizuri. Hapo prof J sijamtaja hapo. Zingatia mfano wa foundation ya ghorofa na kilelele cha chake
 
Umeongea pumba dah
 
Saida Koroli Je?

Bushoke je? Mbona wanitazama, kisha waanza kulia ..

Bob Rudala je!

Q-Chief je

Sugu! Mbunge huyo!

Labda kama unaongelea wasanii wenye kuimba nyimbo za mapenzi mapenzi tu!
Bob Rudala, Bushoke na Q Chief ni waimbaji wazuri sana lakini hawajaifanyia muziki wa Tanzania jambo la mno
 
1.professor J
2.sir kassim J Nature
3.Lady J dee
4.R.I.P GWear Albert
5.kibba Ally- kizazi kipya
_end_
 
Hio picha mkuu!.sina mbavu uku.Na ndio maana mama alikataa nisiwe mwanamuziki,sasa nimejua.Teh teh teh!.Mwenye ukaribu na afande amwambie namsalimia.Back to the point nadhani list ya mleta thread ni nzuri kwani wasanii wote hao alotaja wameutangaza muziki wa tanzania vyema.
 
U deserve my like
 
Hapo kwa diamond na A.Y apo kuna mushkeli ila kiroboto ni milele amina[emoji106]
 
Usikurupuke, soma post vizuri. Hapo prof J sijamtaja hapo. Zingatia mfano wa foundation ya ghorofa na kilelele cha chake
Huo mfano tu kuwa kama unazungumzia Foundation Sugu agusi hata robo ya Profesa Jay.

Labda useme unamtoa nani kwenye hiyo list na kumuweka Sugu? !
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…