Pre GE2025 Wasanii Ay, Madee na Chege tumeridhia kuitwa Samia Kings baada ya kushiriki pamoja katika shughuli za CCM

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Mkalukungone mwamba

JF-Expert Member
Joined
Aug 29, 2022
Posts
862
Reaction score
1,755
Uchawa wa wasanii wetu umezidi sana! Samia saluti zako umejuwa kutenga anga lako kwenye kila sekta
===========

Wasanii maarufu wa Tanzania, Ay, Made na Chege, wamesema Kundi lao la Watu wa tatu limeridhia na kulipokea jina la SAMIA KINGS walilopewa baada ya kushiriki pamoja katika shughuli za Chama cha Mapinduzi (CCM) Jijini Dodoma siku chache zilizopita.

Soma Pia:
Watatu hao wamesema kila Mtu ana uhuru wa kuchagua kwenye maisha au kwenye harakati zake hivyo wao wamechagua kuonesha mahaba yao kwa Chama cha Mapinduzi na kuandika nyimbo kadhaa za kusifia mazuri yanayofanywa na CCM
Your browser is not able to display this video.
 
Mizee mijingamijinga sana hii, kamwe nyimbo zao hazitabamba
 
Watanzania wa leo hawahitji viuno vya hao washer wazinifu wanahitaji uongozi imara
 
Wapuuzi hawana lolote
 
Angalia akili za CCM, jitahidi Sana Sana uwe na BANDO
Your browser is not able to display this video.

Your browser is not able to display this video.
 
Kweli penye udhia penyeza rupia. Hadi AY? Kweli uchawa utakuwa ni janga la taifa baada ya miaka 10 kila mtu atakuwa chawa hivyo mwenye machawa atakuwa hana haja ya kuwalipa machawa na hapo machawa ndiipo wataona hasara ya uchawa.
 
Hivi ikitokea chama chochote cha upinzani kuchukua madaraka sijui itakuaje aisee ,nadhani kutakua na aibu kubwa.
 
Napendekeza tubadili jina la nchi liwe Tansamia 🐼
 
Huo ndio uchawa feki, wameona kwenye soko la mziki zama zao zimeisha wameeona wakimbilie ccm, watambue na nyimbo zao hatuzitaki tena
 
Wanavizia teuzi za kugombea ubunge kenge hizo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…