lukelo sakafu
JF-Expert Member
- Feb 19, 2015
- 2,938
- 517
Hii ya ngapi kwa leo?
Khaaaa! Na huku ushafika? Naona unamuandama sana huyu ndugu yangu na sitokubali mumkatishe tamaa.
Hahaaa unataka aendelee na wembe huu huu sio. Mwambie basi achangie Jf maana naona anatumia effectively.
Hahahaa muache aendelee hivyo hivyo bwana.Jamaa yuko vizuri upstairs hujui tu.Haya mambo anafanya for funny tu.
Poa poa basi ila mwambie maswali mengine awe anajiongeza kwa anko google..
Hii ya ngapi kwa leo?
k 4 real
Hahahaa muache aendelee hivyo hivyo bwana.Jamaa yuko vizuri upstairs hujui tu.Haya mambo anafanya for funny tu.
Domo mondi aka serengeti dady.
mkuu za jioni tupo pamoja sana. siku njema
Khaaaa! Na huku ushafika? Naona unamuandama sana huyu ndugu yangu na sitokubali mumkatishe tamaa.
Mara ya kwanza kuona post za Lukelo Floor nilikuwa nammandi sana! ila sa hvi namkubali sana kila kona yupo niliona comment yake kwenye jukwaa la siasa nikacheka maana jamaa alianzisha thread ndani ya uzi wa mtu sijui alikuwa amejisahau!
Mara ya kwanza kuona post za Lukelo Floor nilikuwa nammandi sana! ila sa hvi namkubali sana kila kona yupo niliona comment yake kwenye jukwaa la siasa nikacheka maana jamaa alianzisha thread ndani ya uzi wa mtu sijui alikuwa amejisahau!