Wasanii gani ambao wametoka kimuziki kwa kiki

Mimi huwa nikiona jina lake ni kucheka tuu na kumuita Mwl wake Evelyn Salt! Leo asubuhi ndio alinichekesha zaidi pale alipo anzisha uzi akisema mende ameonekana kwenye screen baada ya mende kuingia kwenye deki! daaa huyu jamaa ni zaidi ya futuhi....
ha ha ha hiyo story imenichekesha sana leo yan kila nkikumbuka nacheka tu
 
Last edited by a moderator:

Umelenga nn haswa? Au unataka upate role model nawe ni underground bado? Imba imba tu watakuona.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…