Wasanii Harmonize na alikiba waungana kuishusha WCB

Mkuu inaonekana hiyo miziki iliyopo humo ni mabonge ya ngoma eeh niambie ili niitafute tu
 
Kichwa chako unabeba Kama mzigo..alianguka Michael Jackson itakuwa Mondi..kila chenye mwanzo kina mwisho..
huyo unaemsemea alikufa hajaanguka kamaunanyo fikiri kiaziwee labda uendenabibi yako mukamuue ndo haoviazi wenzako watatamba
 
Kichwa chako unabeba Kama mzigo..alianguka Michael Jackson itakuwa Mondi..kila chenye mwanzo kina mwisho..
We kenge MJ alinguka kivipi mkuu, mtu ambae hadi anadedi anaweza kujaza popote pale duniani tena kwa dau kubwa halafu useme kashuka?
 
Umeamua kumuua kabisa , ndugu zake waje kuokota mzoga.
 
Umaskini mbaya sana, mtu unawaza kumalizana tu
Wapo wengine wakipita na magari kwenye shamba lililostawi vizuri analitolea macho mpaka linakauka [emoji23][emoji23]
 
Umeamua kumuua kabisa , ndugu zake waje kuokota mzoga.
Vijana wanamchukulia poa MJ hawa!!!...MJ ni Genius wa muziki kama ilivyo kwa Newton,Albert Einsten kwa Science au William Shakespeare katika masuala ya Literature..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…