Wasanii hatujalipwa Fiesta

BABA TUPAC

JF-Expert Member
Joined
Sep 30, 2015
Posts
1,527
Reaction score
3,811
Wakuu,

Tumefanya show lakini malipo hamna, kila siku tunaambiwa msubiri kesho kesho.

Kuweka mgomo tunaogopa kwasababu ya fitna ya hii radio, ila ukweli tunaumia sana. Tulijadili hili swala kwenye kikao Kahama lakini mpaka leo mambo bado magumu.

Clouds mtatuua kwa njaa wasanii, punguzeni hata kidogo deni letu.
 
Clouds fm still doing the same shit for years now

Even after new goverment which is known for liberate "wananchi wanyonge"still dont do nothing to help these inferior artists
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…