kalagabaho
JF-Expert Member
- Nov 4, 2010
- 5,457
- 5,893
- Thread starter
-
- #41
Best nasso, sajna, sisal madini, jambo squad, mirror, babuu wa kitaa, country boy, stamina, bonta, jose mtambo,
Cyril kamikaze,mo racka
Bonge LA nyau, baba kundambanda
young d a.k.a rock star
1. Kala Jelemiah -
2. Roma Mkatoliki - Huyu ni kama ameimba nyimbo moja tu toka aanze muziki nyimbo zake zote zinafanana- soon atapata stress huyu jamaa
3. Vanessa Mdee- Hajijui kama hajatoka na hawezi kutoka kwa kuwa hana kipaji
4. Luteni Karama- Hajawahi kutoka kama unabisha weka nyimbo iliyomtoa hapa
5. Pingu na Desso- Wanajijua hawajatoka
6. Abdu Kiba- Hajatoka ingawa hajijui
7. Snare
8. Ongeza na wewe
Wasanii walio toka
1: pro jay
2:jay dee
Sheta anatakiwa kupewa mtihani wa kuimba mwenyewe maana amezidi kubebwa
Best nasso, sajna, sisal madini, jambo squad, mirror, babuu wa kitaa, country boy, stamina, bonta, jose mtambo,
Jose mtambo aliwahi kutoka ila baadae akarudi shimoni? Kithaa thaa ilimtoa mtambo
bila kumsahau dadamond anaetegemea ndumbaAli kiba
Ukiona unapata shida kuikumbuka nyimbo basi ujue ni ya kawaida hata kama inamtaja mungu na inahubiri mema. Nyimbo nzuri huimbwa na kila mtu kama wimbo wa taifa
Ali kiba
huyu sheta ni mwanaume au mwanamke?
Hadi bonta?
unauliza baba kayla ni mwanaume au mwanamke?