Wasanii hawa hawajawahi kutoka ingawa hawajijui

Best nasso, sajna, sisal madini, jambo squad, mirror, babuu wa kitaa, country boy, stamina, bonta, jose mtambo,


Jose mtambo aliwahi kutoka ila baadae akarudi shimoni? Kithaa thaa ilimtoa mtambo
 

snura wa majanga

shilole

nuh mziwanda
 
Ukiona unapata shida kuikumbuka nyimbo basi ujue ni ya kawaida hata kama inamtaja mungu na inahubiri mema. Nyimbo nzuri huimbwa na kila mtu kama wimbo wa taifa

Nyimbo niliisikiliza mara moja vile sio mpenzi sana na hiyo miziki but ni track yenye ujumbe mzuri kwa jamii.nikiikumbuka ntaitaja hapa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…