Wasanii huwa wanakunywa nini kwenye haya makombe makubwa?

Wasanii huwa wanakunywa nini kwenye haya makombe makubwa?

Dunamist

JF-Expert Member
Joined
Aug 13, 2018
Posts
474
Reaction score
686
Ni nini kinakuwaga kwenye haya makombe?
images.jpg
images (1).jpg
IMG_20150215_105732.JPG
 
Ningeshangaa kama Young Mulla asingeonekana kwwnye huu uzi. Anyway, wanapiga pombe kali au juice au Mkojo.
 
Juice maji soda bia pombe kali. Kwa kifupi kinywaji chochote japo mara nyingi huwa pombe sababu huwa ni ngumu kubeba chupa
 
walioanzisha mtindo huu walikuwa wanaweka dawa ya kifua ikichangwa na soda(hasa sprite)...
ila wanaoiga wengi huweka pombe.
 
walioanzisha mtindo huu walikuwa wanaweka dawa ya kifua ikichangwa na soda(hasa sprite)...
ila wanaoiga wengi huweka pombe.
Lengo la huo mchanganyiko ni nini mkuu?
 
Back
Top Bottom