Wasanii huwa wanakunywa nini kwenye haya makombe makubwa?

Wasanii huwa wanakunywa nini kwenye haya makombe makubwa?

Juice maji soda Bianca pombe kali. Kwa kifupi kinywaji chochote japo mara nyingi huwa pombe sababu huwa ni ngumu kubeba chupa

Wasanii ni brands, so huwa wanajitahidi kutoonekana wanakunywa kinywaji ambacho hawana endorsement nacho.

Ila kama ana endorsement utakuta chupa iko kando, au hicho kikombe kinakuwa na label husika.

Kwa washabiki wa Basket kuna mchezaji anaitwa LeBron James, yeye ana endorsement na kampuni ya maji inaitwa Powerade, wakati ligi ya NBA iko na endorsement ya Gatorade.

Sasa muda wa game inabidi afiche label kwa sababu ya kukwepa conflicts.
 
Wasanii ni brands, so huwa wanajitahidi kutoonekana wanakunywa kinywaji ambacho hawana endorsement nacho.

Ila kama ana endorsement utakuta chupa iko kando, au hicho kikombe kinakuwa na label husika.

Kwa washabiki wa Basket kuna mchezaji anaitwa LeBron James, yeye ana endorsement na kampuni ya maji inaitwa Powerade, wakati ligi ya NBA iko na endorsement ya Gatorade.

Sasa muda wa game inabidi afiche label kwa sababu ya kukwepa conflicts.
Thanks bro. Nliambiwa we ndo genius wa haya mambo🙂😛
 
na mimi ndomana nakuuliza wew mkuu why wameifuta comment yangu?? mana wew ndo mwenye uzi
 
Mleta mada umenichekesha sana ila umedadisi vema,na pia aliyekwambia mshamba amekosea japo koment yake imenichekesha
 
walioanzisha mtindo huu walikuwa wanaweka dawa ya kifua ikichangwa na soda(hasa sprite)...
ila wanaoiga wengi huweka pombe.
sio dawa ya kifua na sprite ni kuna dawa za kulevya ambazo ukichanganya na sprite unafeel uko high sikiliza vzuri nyimbo ya migos cocoon
 
Back
Top Bottom