Sikiliza dadangu, nimeuliza swali! Endapo ungekuwa na akili kama unavyotaka watu waamini kiasi cha kujiita cleverbright wakati unaonesha ni mburula tu, basi ungejibu hilo swali, lakini kama upo desparate na visa vya mumeo, tafuta kwa kuelekeza hizo desparation zako!Kama mpaka sasa hujagundua Kosa lake basi nikiri wazi wazi kuwa huenda Tanzania ya sasa kuna Watu wengi wenye tatizo Kubwa la Akili ila Wao hawajajigundua tu.
Jibu swali, na kama huna jibu, piga kimya!