Wasanii kukopeshwa bila riba

Wasanii kukopeshwa bila riba

Nyabukika

JF-Expert Member
Joined
Jun 15, 2022
Posts
1,440
Reaction score
1,046

Ujumbe wa Mbunge wa Muheza, Tanga na msanii MwanaFA akimshukuru Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan na Waziri wa Michezo, Sanaa na Utamaduni Mohamed Mchengerwa kuhusu suala la mfuko wa utamaduni na sanaa ya Tanzania.

Sanaa imeajiri watu wengi kuna familia zinakula, watoto wanaenda shule kwa ajili ya sanaa. Awamu ya sita chini ya Rais Samia Suluhu imeamua kuwashika mkono kwa kuwapa mikopo isiyo na riba ili kuboresha biashara yao ya sanaa.
 
Upendeleo wa wazi kabisa huu!! Halafu ni lini riba za mabenki zitakuwa chini ya 10? Maana kila siku ni bla bla tu, huku raia wakiendelea kuumia.

By the way, hivi ile benki ya Walimu nayo ilianzishwa kwa ajili ya kuwakomboa walimu, au wapiga dili wa ccm?
 
View attachment 2486318
Ujumbe wa Mbunge wa Muheza, Tanga na msanii MwanaFA akimshukuru Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan na Waziri wa Michezo, Sanaa na Utamaduni Mohamed Mchengerwa kuhusu suala la mfuko wa utamaduni na sanaa ya Tanzania.

Sanaa imeajiri watu wengi kuna familia zinakula, watoto wanaenda shule kwa ajili ya sanaa. Awamu ya sita chini ya Rais Samia Suluhu imeamua kuwashika mkono kwa kuwapa mikopo isiyo na riba ili kuboresha biashara yao ya sanaa.
WAMETOA SADAKA WENGI WAO WAMEACHA KUIGIZA
 
Hivi wasanii nchi hii ndiyo watu special sanaaaa

Ova
 
Back
Top Bottom