Hii ndiyo point ya msingiTatizo wengi Wao hujihisi matatizo Yao Ni ya jamii nzima. Wengine hapa tukijitangaza matatizo yetu hapatatosha
Ila kweli Bongo nyoso maana king majuto na marehemu small ilibidi wawe na ela chafu.
Wameanza kuigiza enzi hizo yeye majuto, small, bi chau, tupa tupa hata kabla wengi hawjazaliwa na wengine wanaoga nje
Shikamoo mkuu sijazaliwa hata kipindi hicho.Mie nimesoma Tanga 1977-80, Mzee Majuto alikuwa anakuja kuigiza shuleni miaka hiyo hivyo sio wa leo au jana katika fani yake.
habari wadau,
Leo nikisikiliza taarifa ya habari channel msemaji wa familia ya mchekeshaji maarufu king majuto aliomba wadau wasaidie kugharamia safari ya mzee kwenda kutibiwa india sina shida kuhusu kusaidiana tatizo ni kwanini hawa wasanii wetu richa ya kufanya kazi kubwa ya sanaa kuigiza matangazo na kuishi maisha tunayoona ni ya juu ila wakipata tatizo serious kidogo tu wanaanza kutembeza bakuri.
Na nini litakuwa suluhisho la muda mrefu kwa hawa wasanii wetu waweze kujimudu hata kwa kujiunga na bima za 1m tu kwa mwaka.
All the best king majuto.
wengi hawana plan ya muda mrefu na maisha yao hasa kwenye uwekezaji msanii akilazwa wiki moja tarajia ataanza kuomba msaadaWanachokipata sicho wanachokifanyia kazi. Ndio maana diamond anaonekana anajishaua lakini ana akili sana kwenye maslahi.
Gharama za matibabu haziwasumbui tu wasanii peke yao...
Hata watu wenye kazi zao na wanapokea mishahara kila mwisho wa mwezi, swala la matibabu ni mtihani sana...
Cc: mahondaw
Kuwa/kupata hela ni jambo moja...matumizi na serving ni jambo lingine.Ila kweli Bongo nyoso maana king majuto na marehemu small ilibidi wawe na ela chafu.
Wameanza kuigiza enzi hizo yeye majuto, small, bi chau, tupa tupa hata kabla wengi hawjazaliwa na wengine wanaoga nje