shalet
JF-Expert Member
- Feb 12, 2013
- 3,430
- 3,547
habari wadau,
Leo nikisikiliza taarifa ya habari channel msemaji wa familia ya mchekeshaji maarufu king majuto aliomba wadau wasaidie kugharamia safari ya mzee kwenda kutibiwa india sina shida kuhusu kusaidiana tatizo ni kwanini hawa wasanii wetu richa ya kufanya kazi kubwa ya sanaa kuigiza matangazo na kuishi maisha tunayoona ni ya juu ila wakipata tatizo serious kidogo tu wanaanza kutembeza bakuri.
Na nini litakuwa suluhisho la muda mrefu kwa hawa wasanii wetu waweze kujimudu hata kwa kujiunga na bima za 1m tu kwa mwaka.
All the best king majuto.
Leo nikisikiliza taarifa ya habari channel msemaji wa familia ya mchekeshaji maarufu king majuto aliomba wadau wasaidie kugharamia safari ya mzee kwenda kutibiwa india sina shida kuhusu kusaidiana tatizo ni kwanini hawa wasanii wetu richa ya kufanya kazi kubwa ya sanaa kuigiza matangazo na kuishi maisha tunayoona ni ya juu ila wakipata tatizo serious kidogo tu wanaanza kutembeza bakuri.
Na nini litakuwa suluhisho la muda mrefu kwa hawa wasanii wetu waweze kujimudu hata kwa kujiunga na bima za 1m tu kwa mwaka.
All the best king majuto.