Wanatafuta hela,hawana muda wa kufurahisha kenge wadogowadogo,ambao hata wakiamua kufanya kama watakavyo, hawatawasidia chochote zaidi ya sifa za mitandaoni tuWasanii wetu ni njaa sana hawana misimamo kabisa
Kwa hiyo ni WEWE.
Watanzania tuna unafki sana.Siungi hoja mkono, unataka kutuaminisha kwamba chanzo cha wasanii wetu kwa wingi wao kushindwa kufikia soko la kimataifa ni kushiriki kwenye kampeni za uchaguzi.? Pili unataka kutuaminisha hao wanaoandaa tuzo wanatumia shows za kampeni kupata nominees kwenye categories? Unataka kutuaminisha Huko Nigeria wasanii ndio walianzisha maandamano? Siyo kwamba wananchi walianzisha Kisha wasanii wakaunga juhudi? Ni lini wananchi wa Tanzania mumewahi kujitokeza kupinga jambo fulani lisilo la kisiasa dhidi ya serikali kuhamasisha haki itendeke? Tatizo la watanzania ni wanafiki sana mnapenda kutupia watu lawama kwa kushindwa kwenu wenyenyewe kutimiza majukumu yenu.
Hilo suala la kujifanya huoni ni kweli wasanii waliotumika kwenye kampeni ya chama fulani ndio wamekutana na shida hiyo tena sio wote maana sijaona wakifuatwa akina Hbaba wala Man fongo na kingine ulishawahi kuona msanii kama Profesa Jay anasumbuliwa hivyo kisa yeye ni chama fulani. Muda mwingine ni busara kuwa na mahaba ya wastani unapotoa hoja yakoWapi mleta mada kasema ccm? Kwani ukiwa mataga unaamua kuwa mpumbavu??
Sent from my Infinix X680 using JamiiForums mobile app