Wasanii matajiri 5 barani Afrrica

Wasanii matajiri 5 barani Afrrica

NgugiAchebe

JF-Expert Member
Joined
Jul 11, 2016
Posts
1,024
Reaction score
688
Kwa mujibu wa mtandao wa edaily barani Africa umetoa orodha ya WASANII wenye mkwanja mrefu zaidi na wanaoingiza kipato kikubwa

1 P square wanamiliki mkwanja sawa na sh bl 277.752.822.639.34 kwa pesa za magufuli

2 Akothe mwana Dada kutoka Kenya ambae hana jina mama WASANII wengine ila anamkwanja balaa anamiliki pesa za kibongo sh bl 132.683.540.000.03

3. Davido. Licha ya kuzalia kwenye familiar yenye mkwanja mrefu na tajiri nchini Nigeria lakini bado aliangaika kutafuta mkwanja wake kupitia sanaa anamiliki sh bl 30.502.418.406.03

4 wizkid toka nchini Nigeria pia aniliki mkwanja mrefu wenye samani sh 25.676.809.453.47 pesa za kibongo

5 diamond platnum ni msanii pekee toka Tanzania licha ya kutoka kwenye familiar masikini kabisa lakini amejitaidi na kutorudi nyuma na kufanikia kupata mkwanja mrefu kupitia muziki wake anaofanya na kupitia matangazo ya kibiashara aliopata yamemuezesha kupata mkwanja wenye thamani sh 11. 665.923.190.55


Hapo WASANII wetu was kibongo inabidi wafunge mkanda na kutopenda sofa za kijinga ili kufika mafanikio hao wasiendekeze chuki na kujiona bora kumbe bado kabisa
 
unamuachaje FALLY IPUPA,KOFFIE LOMIDE,2FACE,IYANYA,D.BANJ,YEMI ALADE,AKA,MAFIKI ZOLO,DON JAZZY,M.I,J.MARTIN,BRACKET,JOSE CHAMELION,JUAGER,CMB PREZZO NA AWILO LONGOMBA mie naona hao wakenya na utafiti wao wamefanya wakiwa usingizini
 
Wewe ni muongo na hao waliofanya huo utafiti ni waongo so wote wawili na waongo...

usirudie tena kuweka uongo wako humu...muongo mkubwa.muongo usie na aibu.
 
Wewe ni muongo na hao waliofanya huo utafiti ni waongo so wote wawili na waongo...

usirudie tena kuweka uongo wako humu...muongo mkubwa.muongo usie na aibu.
Utafiti hupimwa na utafiti ndugu
 
unamuachaje FALLY IPUPA,KOFFIE LOMIDE,2FACE,IYANYA,D.BANJ,YEMI ALADE,AKA,MAFIKI ZOLO,DON JAZZY,M.I,J.MARTIN,BRACKET,JOSE CHAMELION,JUAGER,CMB PREZZO NA AWILO LONGOMBA mie naona hao wakenya na utafiti wao wamefanya wakiwa usingizini
Koffi alikua anaingiza mkwanja mrefu miaka ya nyuma sasa muziki was kind Congo imeporomoka sna. Kwa hip kati ya WASANII wanaoingiza mkwanja kwa sasa was Congo hakuna hats mmoja
 
teh teh teh diamond kanunua hao watafiti.

haha sio mimi lakini niliesema ni team ileee.....
 
ni ndoto uliyoiota ukaungaunga kwa kuwa shabiki wa mondi ukamuongezaongeza hadi nafasi ya tano ambaye hata top 30 hayupo....kukusaidia Youssou N'dour then kuna Don Jazzy, Koffi Olomidé, Fally Ipupa, D'banj, Salif Keita, Sarkodie, Banky W, Hugh Masekela.....list inaendelea.....
 
Koffi alikua anaingiza mkwanja mrefu miaka ya nyuma sasa muziki was kind Congo imeporomoka sna. Kwa hip kati ya WASANII wanaoingiza mkwanja kwa sasa was Congo hakuna hats mmoja
hawaangalii kuporomoka kwa muziki bali makampuni unayomiliki na mikataba ndio maana hata ulaya 50 cent na jayz hawajatoa ngoma kitambo lakini wapo kwenye list ya matajiri[u/]
 
Mnataka tena kumchongea chibu kwa TRA? Kipindi kile alikoswakoswa,soo likaenda kupoozewa white house kwa baba Mwanaa!! Billioni kumi na moja ni ndefu sana wakuu! Hata kwa hizi za madafu!! Au huu utafiti wenu ni fake.
 
unamuachaje FALLY IPUPA,KOFFIE LOMIDE,2FACE,IYANYA,D.BANJ,YEMI ALADE,AKA,MAFIKI ZOLO,DON JAZZY,M.I,J.MARTIN,BRACKET,JOSE CHAMELION,JUAGER,CMB PREZZO NA AWILO LONGOMBA mie naona hao wakenya na utafiti wao wamefanya wakiwa usingizini

Tafiti inakataliwa na tafiti. Njoo ma tafiti yako.
 
Kwavile kaonekana wanamuita kubwa la majambazi kwenye list ndio maana watu wanatokwa povu hahaha pandeni juu mkazibe
 
Bila kumuweka kiba mi sikubali!! unajua kufanya documentary sio mchezo oooooh!
 
Kwa mujibu wa mtandao wa edaily barani Africa umetoa orodha ya WASANII wenye mkwanja mrefu zaidi na wanaoingiza kipato kikubwa

1 P square wanamiliki mkwanja sawa na sh bl 277.752.822.639.34 kwa pesa za magufuli

2 Akothe mwana Dada kutoka Kenya ambae hana jina mama WASANII wengine ila anamkwanja balaa anamiliki pesa za kibongo sh bl 132.683.540.000.03

3. Davido. Licha ya kuzalia kwenye familiar yenye mkwanja mrefu na tajiri nchini Nigeria lakini bado aliangaika kutafuta mkwanja wake kupitia sanaa anamiliki sh bl 30.502.418.406.03

4 wizkid toka nchini Nigeria pia aniliki mkwanja mrefu wenye samani sh 25.676.809.453.47 pesa za kibongo

5 diamond platnum ni msanii pekee toka Tanzania licha ya kutoka kwenye familiar masikini kabisa lakini amejitaidi na kutorudi nyuma na kufanikia kupata mkwanja mrefu kupitia muziki wake anaofanya na kupitia matangazo ya kibiashara aliopata yamemuezesha kupata mkwanja wenye thamani sh 11. 665.923.190.55


Hapo WASANII wetu was kibongo inabidi wafunge mkanda na kutopenda sofa za kijinga ili kufika mafanikio hao wasiendekeze chuki na kujiona bora kumbe bado kabisa

Yani mkuu umenifanya nikimbilie forbes fasta kumcheki simba wetu kama yupo kweli namba 10,ila nimekuta namba 10 kuna msanii anaitwa panky w hata simjui ila ndio yupo namba 10 mtalaamu simba hata hayupo kabsa.
 
unamuachaje FALLY IPUPA,KOFFIE LOMIDE,2FACE,IYANYA,D.BANJ,YEMI ALADE,AKA,MAFIKI ZOLO,DON JAZZY,M.I,J.MARTIN,BRACKET,JOSE CHAMELION,JUAGER,CMB PREZZO NA AWILO LONGOMBA mie naona hao wakenya na utafiti wao wamefanya wakiwa usingizini
katoka hiyo list yako IYANYA kafata nini hapo?
 
Koffi alikua anaingiza mkwanja mrefu miaka ya nyuma sasa muziki was kind Congo imeporomoka sna. Kwa hip kati ya WASANII wanaoingiza mkwanja kwa sasa was Congo hakuna hats mmoja
Koffi kama Diamond kwa mwaka mzima anaweza akapiga show mbili ndani ya nchi yake tena anaandaa mwenyewe kiufupi Koffi mfuko wake bado upo vizuri
 
Back
Top Bottom