Wasanii mbalimbali watua Dodoma kwenye Mkutano Mkuu wa CCM: Hivi, Wanaenda kwa lengo la Maendeleo au Wanatumika kwa Agenda za Kisiasa?

Wasanii mbalimbali watua Dodoma kwenye Mkutano Mkuu wa CCM: Hivi, Wanaenda kwa lengo la Maendeleo au Wanatumika kwa Agenda za Kisiasa?

Waufukweni

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2024
Posts
2,060
Reaction score
5,648
Wakuu

Kama mnavyoona picha hapo chini, Ingawa ni haki yao kushiriki, ni muhimu kujiuliza: Je, wasanii hawa wanapochangia katika majukwaa ya kisiasa wanachangia kwa lengo la kuleta mabadiliko ya Kimaendeleo au Wanatumika kama vifaa vya kuendeleza agenda za kisiasa za CCM?

===

Wasanii mbalimbali nchini tayari wamefika makao makuu ya nchi Jijini Dodoma kwa ajili ya tukio kubwa la Mkutano Mkuu maalum wa Chama cha Mapinduzi.

Januari 18 na 19 utafanyika Mkutano mkuu maalum wa Chama cha Mapinduzi CCM Jijini Dodoma katika Ukumbi wa Jakaya Kikwete.

Wajumbe wote mnakaribishwa Dodoma na mkutano huo utaongozwa na Mwenyekiti wa CCM Taifa ambaye pia ni Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Dkt. Samia Suluhu Hassan. Chama imara huzaa Serikali imara.


1737036951459.png

1737036985692.png

1737037037014.png

1737037111607.png
Pia, Soma:
 
Wakuu

Kama mnavyoona picha hapo chini, Ingawa ni haki yao kushiriki, ni muhimu kujiuliza: Je, wasanii hawa wanapochangia katika majukwaa ya kisiasa wanachangia kwa lengo la kuleta mabadiliko ya Kimaendeleo au Wanatumika kama vifaa vya kuendeleza agenda za kisiasa za CCM?

==

Wasanii mbalimbali nchini tayari wamefika makao makuu ya nchi Jijini Dodoma kwa ajili ya tukio kubwa la Mkutano Mkuu maalum wa Chama cha Mapinduzi.
Januari 18 na 19 utafanyika Mkutano mkuu maalum wa Chama cha Mapinduzi CCM Jijini Dodoma katika Ukumbi wa Jakaya Kikwete.
Wajumbe wote mnakaribishwa Dodoma na mkutano huo utaongozwa na Mwenyekiti wa CCM Taifa ambaye pia ni Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Dkt. Samia Suluhu Hassan. Chama imara huzaa Serikali imara.
Pia, Soma:

Wanatumika kwa Agenda za Kisiasa.​

 
Wakuu

Kama mnavyoona picha hapo chini, Ingawa ni haki yao kushiriki, ni muhimu kujiuliza: Je, wasanii hawa wanapochangia katika majukwaa ya kisiasa wanachangia kwa lengo la kuleta mabadiliko ya Kimaendeleo au Wanatumika kama vifaa vya kuendeleza agenda za kisiasa za CCM?

==

Wasanii mbalimbali nchini tayari wamefika makao makuu ya nchi Jijini Dodoma kwa ajili ya tukio kubwa la Mkutano Mkuu maalum wa Chama cha Mapinduzi.
Januari 18 na 19 utafanyika Mkutano mkuu maalum wa Chama cha Mapinduzi CCM Jijini Dodoma katika Ukumbi wa Jakaya Kikwete.
Wajumbe wote mnakaribishwa Dodoma na mkutano huo utaongozwa na Mwenyekiti wa CCM Taifa ambaye pia ni Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Dkt. Samia Suluhu Hassan. Chama imara huzaa Serikali imara.
Pia, Soma:
Hao ni makada wa Ccm pia hivyo wanashiriki mkutano kama makada na wanachama wengine wa Ccm
 
Wakuu

Kama mnavyoona picha hapo chini, Ingawa ni haki yao kushiriki, ni muhimu kujiuliza: Je, wasanii hawa wanapochangia katika majukwaa ya kisiasa wanachangia kwa lengo la kuleta mabadiliko ya Kimaendeleo au Wanatumika kama vifaa vya kuendeleza agenda za kisiasa za CCM?

==

Wasanii mbalimbali nchini tayari wamefika makao makuu ya nchi Jijini Dodoma kwa ajili ya tukio kubwa la Mkutano Mkuu maalum wa Chama cha Mapinduzi.
Januari 18 na 19 utafanyika Mkutano mkuu maalum wa Chama cha Mapinduzi CCM Jijini Dodoma katika Ukumbi wa Jakaya Kikwete.
Wajumbe wote mnakaribishwa Dodoma na mkutano huo utaongozwa na Mwenyekiti wa CCM Taifa ambaye pia ni Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Dkt. Samia Suluhu Hassan. Chama imara huzaa Serikali imara.
Pia, Soma:


Hawa wapo kazini wanalipwa pesa nzuri sana. Mbona uulizi wapambaji, watoa ukumbi, makampuni ya ndege, machangu, catering au wewe upo dunia ya giza bado hiyo ni biashara hata Mbowe akitaka hela anaenda ikulu anaongea biashara
 
Wakuu

Kama mnavyoona picha hapo chini, Ingawa ni haki yao kushiriki, ni muhimu kujiuliza: Je, wasanii hawa wanapochangia katika majukwaa ya kisiasa wanachangia kwa lengo la kuleta mabadiliko ya Kimaendeleo au Wanatumika kama vifaa vya kuendeleza agenda za kisiasa za CCM?

==

Wasanii mbalimbali nchini tayari wamefika makao makuu ya nchi Jijini Dodoma kwa ajili ya tukio kubwa la Mkutano Mkuu maalum wa Chama cha Mapinduzi.
Januari 18 na 19 utafanyika Mkutano mkuu maalum wa Chama cha Mapinduzi CCM Jijini Dodoma katika Ukumbi wa Jakaya Kikwete.
Wajumbe wote mnakaribishwa Dodoma na mkutano huo utaongozwa na Mwenyekiti wa CCM Taifa ambaye pia ni Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Dkt. Samia Suluhu Hassan. Chama imara huzaa Serikali imara.
Pia, Soma:
IMG_5020.jpeg
 
Shamba la bibi kila mtu akipata nafasi ya kunywa bia za Serikali mwache anywe. Kelele hazisaidii kitu nchi hii.
 
Wakuu

Kama mnavyoona picha hapo chini, Ingawa ni haki yao kushiriki, ni muhimu kujiuliza: Je, wasanii hawa wanapochangia katika majukwaa ya kisiasa wanachangia kwa lengo la kuleta mabadiliko ya Kimaendeleo au Wanatumika kama vifaa vya kuendeleza agenda za kisiasa za CCM?

==

Wasanii mbalimbali nchini tayari wamefika makao makuu ya nchi Jijini Dodoma kwa ajili ya tukio kubwa la Mkutano Mkuu maalum wa Chama cha Mapinduzi.
Januari 18 na 19 utafanyika Mkutano mkuu maalum wa Chama cha Mapinduzi CCM Jijini Dodoma katika Ukumbi wa Jakaya Kikwete.
Wajumbe wote mnakaribishwa Dodoma na mkutano huo utaongozwa na Mwenyekiti wa CCM Taifa ambaye pia ni Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Dkt. Samia Suluhu Hassan. Chama imara huzaa Serikali imara.
Pia, Soma:
Njaa
 
Wasanii wetu ni Kama makondoo hapo naona mkono wa tivu ake,basi tu kwenda kujichukulia per diem ila hakuna lingine.Halafu Ay kama unasoma huu uzi punguza kitambi unaonekana mdingi wa makamo na kwa wasanii wa bongo fleva haipendezi.
 
Wasanii wetu ni Kama makondoo hapo naona mkono wa tivu ake,basi tu kwenda kujichukulia per diem ila hakuna lingine.Halafu Ay kama unasoma huu uzi punguza kitambi unaonekana mdingi wa makamo na kwa wasanii wa bongo fleva haipendezi.
Sasa AY unadhani ni wa leo
 
Nimeona video wasanii wamekutana wanaimba, Mwijaku yeye ndio kapandisha sauti kuimba kwenyewe hajui yaani fujo tu
 
Wasa
Je, wasanii hawa wanapochangia katika majukwaa ya kisiasa wanachangia kwa lengo la kuleta mabadiliko ya Kimaendeleo au Wanatumika kama vifaa vya kuendeleza agenda za kisiasa za CCM?
Wasanii sio wanasiasa, ni watoa burudani, na hawatoi bure. Wako kazini kama wengi wetu tulivyo.
 
Kila msanii anaangalia tumbo lake apate ugali
 
Back
Top Bottom