PAGAN
JF-Expert Member
- Aug 19, 2014
- 12,181
- 20,148
Kwenye mikutano kama hii kila mtu analipwa posho kwa siku, kuanzia wakina Kikwete mpaka watu kama wakina Mwijaku. Kipindi cha uchaguzi wakati wa mavuno, msifikirie kuna mtu kaenda kufanya kazi ya kujitolea kule. Si mnaona wameveshwa badges vifuani