Kwenye mikutano kama hii kila mtu analipwa posho kwa siku, kuanzia wakina Kikwete mpaka watu kama wakina Mwijaku. Kipindi cha uchaguzi wakati wa mavuno, msifikirie kuna mtu kaenda kufanya kazi ya kujitolea kule. Si mnaona wameveshwa badges vifuani
Kama mnavyoona picha hapo chini, Ingawa ni haki yao kushiriki, ni muhimu kujiuliza: Je, wasanii hawa wanapochangia katika majukwaa ya kisiasa wanachangia kwa lengo la kuleta mabadiliko ya Kimaendeleo au Wanatumika kama vifaa vya kuendeleza agenda za kisiasa za CCM?
Wajumbe wote mnakaribishwa Dodoma na mkutano huo utaongozwa na Mwenyekiti wa CCM Taifa ambaye pia ni Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Dkt. Samia Suluhu Hassan. Chama imara huzaa Serikali imara.