Mapensho star
JF-Expert Member
- Jun 30, 2016
- 3,052
- 4,104
Nimekuja kugundua kuna vitu vidogo sana vinamjenga msaani huyu ni ubunifu tu mdogo huku wasanii wengine wakiwa wamelala usingizi diamond kaja hii yakutembea na kamera yake anayoitumia popote anapoenda iwe shughuli interview pamoja na video zote anazokuwa anashut clip zote hizi zipo youtube nyingine zina view hadi million 1 sasa nachojiuliza hivi kwanini wasanii wengin wanashindw kujifunz ili baada yakuendelea kufanya mambo kimya kimy