joseph1989
JF-Expert Member
- May 4, 2014
- 17,420
- 35,765
Point.Haina maana tena...ni sawa na ulinyang'anywa elimu yako ya msingi,saiz ushakua mkubwa unaambiwa haya rudi darasa la kwanza uendelee na elimu yako.
Muziki una muda wake,ukikosa fanya kitu tym ya muda wako basi wenye muda wao watakuja enjoy tym yao.
Sent from my SM-G920P using Tapatalk
😂😂😂😂.
Mhhhh mkuu Diamond Hana nguvu hiyo
Clouds wanaendelea kufanya fiesta kwa mafanikio Bila Diamond na timu yake ya WCB.
Diamond nguvu yake ya kupata kimataifa pia imepungua mwaka 2015 hadi 2017 alikuwa anashinda tuzo za kimataifa nyingi Sana hata matamasha makubwa mengi ya kimataifa alikuwa akifanya
Influence yake kimataifa ilikuwa inakaribia na kina Wizkid na Davido Leo 2019 Davido na Wizkid wamemuacha mbali Diamond
Pia ushindani wa Alikiba na Diamond ulikuwa unafanya bongo fleva kukuwa tofauti na sasa
Sent using Jamii Forums mobile app
Mhhhh mkuu Diamond Hana nguvu hiyo
Clouds wanaendelea kufanya fiesta kwa mafanikio Bila Diamond na timu yake ya WCB.
Diamond nguvu yake ya kupata kimataifa pia imepungua mwaka 2015 hadi 2017 alikuwa anashinda tuzo za kimataifa nyingi Sana hata matamasha makubwa mengi ya kimataifa alikuwa akifanya
Influence yake kimataifa ilikuwa inakaribia na kina Wizkid na Davido Leo 2019 Davido na Wizkid wamemuacha mbali Diamond
Pia ushindani wa Alikiba na Diamond ulikuwa unafanya bongo fleva kukuwa tofauti na sasa
Sent using Jamii Forums mobile app
No mkuu sikuwa na maana mbaya WCB Ni wasanii wa Music na mimi nimewachukulia Kama sample tu maana pia wanawashabiki wengiCjui kwann linapokuja swala la entertainment hata kama mtu hajataja wcb lazma wataingizwa tu, hii topic wala haijahusisha wcb bali ni wasanii woote kwa ujumla ambao wamekuwa wakibaniwa na clouds, kuanzia wakongwe kina lady jd, kina sugu kipind fulani (japo waliyamaliza) walichomfanyiaga ruby, na wengine wengi tu mana hata ngwea walisema clouds ndo wali mfrustrate mpaka kuishia kula unga mpaka kifo, kuna yule msanii aliekufa juzi juzi kule madale kuna watu walienda na mabango kwamba clouds waondoke mana walimtenda jamaa kuna kina dudubaya lakn nashangaa inataka kugeuzwa topic ya wcb, kwanza wcb wale ishu yao na clouds ni ya juzi juzi na pia wapo vzr wale they dnt need clouds, tuwaongelee wale waliopotea kisa clouds, yani walivyotemwa na clouds wakapotea wcb hawatapotea kisa clouds hawapigi nyimbo zao
Mostly wasanii wanakufa kimziki naturaly, mbaya zaidi ni hali ya wao kutokuamini kuwa kila kitu kina era(period) na kikishapita hakirudi. Msanii kama dudubaya anakwambia clouds ndio waliomshusha na wewe ukaamini hivyo mimi nitapata shida na uelewa wako. Msanii ambaye alikuwa anaachia nyimbo hazinishtui then unasemaje ameshushwa? Same to mangwea, naweza kukwambia kuwa ngwea ni mmoja wa wasanii pendwa wa clouds kwa kipindi hicho, muda wote bata na watangazaji wa clouds, kuna kipindi watu walihisi kuwa hata kazi yake ya upunda wa ngada ilikuwa chini ya hao hao unaosema walimbania. Ndio maana ulipotokea msiba baada ya vidonge kumpasukia clouds walitumia nguvu na rasilimali kubwa sana watu kuwatoa kwenye kilichosababisha kifo chake. Clouds waliupromote msiba wa ngwea kama walivyoupromote wa ruge. Wasanii inabidi wajiandae kisaikolojia kwamba fans ndio wanaamua sio clouds. Era yao ikipita ni lazima watakuwa chini na wengine kutamba. Hii ipo dunia nzima, Wakina r kelly, wakina ja rule, wakina ashanti still wanaachia nyimbo huko marekani but era imewakataa, Godzila ni msanii mwenye followers wengi twitter, instagram alikuwa na followers 1.8ml it means social media tu peke yake alikuwa ana uwezo wa kuitumia na kureach pakubwa, unfotunately audience haikuwa tayari, audience ndio inaamua nani a trend, ndio inaamua pierre konki atrend kuliko fidQ, Media zinamtafuta piere kwa sababu audience inahitaji kusikia kitu kutoka kwake, Hata kwenye mziki kuna muda media zinaachana na msanii kama impact yake itapungua na atakufa natural death kisanaaCjui kwann linapokuja swala la entertainment hata kama mtu hajataja wcb lazma wataingizwa tu, hii topic wala haijahusisha wcb bali ni wasanii woote kwa ujumla ambao wamekuwa wakibaniwa na clouds, kuanzia wakongwe kina lady jd, kina sugu kipind fulani (japo waliyamaliza) walichomfanyiaga ruby, na wengine wengi tu mana hata ngwea walisema clouds ndo wali mfrustrate mpaka kuishia kula unga mpaka kifo, kuna yule msanii aliekufa juzi juzi kule madale kuna watu walienda na mabango kwamba clouds waondoke mana walimtenda jamaa kuna kina dudubaya lakn nashangaa inataka kugeuzwa topic ya wcb, kwanza wcb wale ishu yao na clouds ni ya juzi juzi na pia wapo vzr wale they dnt need clouds, tuwaongelee wale waliopotea kisa clouds, yani walivyotemwa na clouds wakapotea wcb hawatapotea kisa clouds hawapigi nyimbo zao
Mostly wasanii wanakufa kimziki naturaly, mbaya zaidi ni hali ya wao kutokuamini kuwa kila kitu kina era(period) na kikishapita hakirudi. Msanii kama dudubaya anakwambia clouds ndio waliomshusha na wewe ukaamini hivyo mimi nitapata shida na uelewa wako. Msanii ambaye alikuwa anaachia nyimbo hazinishtui then unasemaje ameshushwa? Same to mangwea, naweza kukwambia kuwa ngwea ni mmoja wa wasanii pendwa wa clouds kwa kipindi hicho, muda wote bata na watangazaji wa clouds, kuna kipindi watu walihisi kuwa hata kazi yake ya upunda wa ngada ilikuwa chini ya hao hao unaosema walimbania. Ndio maana ulipotokea msiba baada ya vidonge kumpasukia clouds walitumia nguvu na rasilimali kubwa sana watu kuwatoa kwenye kilichosababisha kifo chake. Clouds waliupromote msiba wa ngwea kama walivyoupromote wa ruge. Wasanii inabidi wajiandae kisaikolojia kwamba fans ndio wanaamua sio clouds. Era yao ikipita ni lazima watakuwa chini na wengine kutamba. Hii ipo dunia nzima, Wakina r kelly, wakina ja rule, wakina ashanti still wanaachia nyimbo huko marekani but era imewakataa, Godzila ni msanii mwenye followers wengi twitter, instagram alikuwa na followers 1.8ml it means social media tu peke yake alikuwa ana uwezo wa kuitumia na kureach pakubwa, unfotunately audience haikuwa tayari, audience ndio inaamua nani a trend, ndio inaamua pierre konki atrend kuliko fidQ, Media zinamtafuta piere kwa sababu audience inahitaji kusikia kitu kutoka kwake, Hata kwenye mziki kuna muda media zinaachana na msanii kama impact yake itapungua na atakufa natural death kisanaa
Ni uamuzi wao.kwani wamegombana?Mimi nashangaa eatv/earadio hawajawahi gonga nyimbo ya harmonize&rayvany tokea watoke na hawalalamikiwi ,lakini kwa clouds ni tofauti.
Watanzania wanafiki sana.
Kabisa! Eatv hawachezi nyimbo za WCB lakini watu lawama zote kwa Clouds! Utamaduni wa kutafuta visingizio sio mzuriMimi nashangaa eatv/earadio hawajawahi gonga nyimbo ya harmonize&rayvany tokea watoke na hawalalamikiwi ,lakini kwa clouds ni tofauti.
Watanzania wanafiki sana.
Leo langu sio halikuwa kuwalinganisha Alikiba na Diamond Kama ulivyoeleza hapa mimi nilikuwa najaribu kukuonyesha jinsi mziki wa Bongo fleva ulivyostack.Wewe unafatilia matukio ya diamond kimuziki au unaongea kiushabiki? Dai kapiga show nyingi za nje mwaka jana bila hao clouds, na pia tuzo zilikuwa juhudi zake sio za clouds, hao clouds wangekuwa na jeuri hiyo basi wasanii wao wa THT wakiongozwa na barnaba wangekuwa mbali sana, mana kwangu mimi kwa wanamuziki wa bongofleva namkubali mno barnaba lakn mtoto wa watu pamoja na kipaji choooote hana tuzo hata moja ya kimataifa hizo show za nje ndo kabisa anaziota tu. Na ushindani wa alikiba na daimond ulikuwa unamsaidia alikiba na sio daimond means alikiba needs diamond kuendelea kusikika but diamond hamuhitaji alikiba kuendelea kutrend. Na kingine daimond amefanya wasafi festival na ikawa ya mafanikio bila hao clouds. Na unapozungumzia hizo tuzo tuambie na za alikiba alizopata recently manake its like anasubiri diamond afanye jambo na yy afatishe, dai alipoacha kujishugulisha na tuzo za kimataifa naona na yy katulia
Media zingine hazina system,clouds ilikuwa inafanya kazi zake ki mfumo,yaani ukiona sifuri mbili wao wanataka waione 8,redio zingine haziko hvoUnataka kusema katika media zote Tanzania Clouds ndo wana nguvu kiasi hicho? Inamaana hizo media nyingine zimeshindwa kupambana kuondoa huo umonopoly wa influence ya Clouds kwa wasanii?
Sent using Jamii Forums mobile app
Leo langu sio halikuwa kuwalinganisha Alikiba na Diamond Kama ulivyoeleza hapa mimi nilikuwa najaribu kukuonyesha jinsi mziki wa Bongo fleva ulivyostack.
Tukizungumzia bongo fleva kimataifa tunazungumzia Wasanii wachache wakiongoza na Diamond.
Ukubwa wa Diamond na hits zake mwaka 2015 hadi 2017 huwezi fananisha na sasa.
Kipindi kile anafanya "tandale to the world" tour Europe alikuwa anajaza Venue walizokuwa wanajaza wakina Davido na Wizkid sasahivi wakina Wizkid na Davido wanakuwa kwenye matamasha makubwa Kama Wireless na wasanii wakubwa, yeye Diamond amestack sasahivi tamasha kubwa kafanya labda One Africa Fest ambalo hata Nandy sikuhizi anaenda.
Sijui Kama umeelewa nachojaribu kusema
Mziki wetu kwasasa umestack hausogei Kama ulivyokuwa mwanzo miaka hiyo
Bado tumestack palepale kwenye Kuna viewers wangapi YouTube wakati wenzetu Nigeria washahama
Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa ukiwa na kipaji mtu akakikwamisha ukakwama, pale akifa yeye si ndo muda wa kuonesha kipaji chako?? Watumie hao wasiokubania kuonesha kipaji chako. Maana kipaji hakipotei, otherwise labda kama ulikuwa unataja upewe upendeleo (favour) kutoka kwa marehemIssue sio kipaji,hivi ni watu wangapi wana vipaji au walikua na vipaji lakin wakatokea watu tu wakaja kwamisha vipaji vyao?
Watu wana influence kubwa sana ili ww mwenye kipaji ufike unapotaka...pia watu hao hao wana uwezo mkubwa wa kuzima kipaji chako haraka kushinda hata Tanesco wanavyokata umeme
Hao wakina baraka hadi wamekua wakubwa ni kwa vile walipata support hata kama radio ni moja..lakin pia pengne hapo RTD hapakua na watu waziba vipaji kama ilivyo saiz.
Sent from my SM-G920P using Tapatalk
Mkuu kukuwa namaanisha kupata washabiki wapya mfano mwaka jana diamond kafanya matamasha maeneo Yale Yale ya miaka yoteNdo mana nikakuuliza umefatilia matamasha aliyofanya nje mwaka jana tena bila clouds? Ungefatilia sizan kama ugesema ame stack alijaza kumbi vibaya mno
Lakin muda nao una matter,watu tunatofautian tunavyo handle matatizo yetu.Sasa ukiwa na kipaji mtu akakikwamisha ukakwama, pale akifa yeye si ndo muda wa kuonesha kipaji chako?? Watumie hao wasiokubania kuonesha kipaji chako. Maana kipaji hakipotei, otherwise labda kama ulikuwa unataja upewe upendeleo (favour) kutoka kwa marehem
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna baadhi ya wasanii walitamka waziwazi na wengine kwa kificho kwamba aliekuwa mkuu wa vipindi na uzalishaji wa Clouds Media marehemu Ruge Mutahaba alikuwa kikwazo wao kushine na kupiga hatua maarufu Kama kuwabania.
Kwa mipango ya Mungu Ruge hatunae Tena Sasa wale walikuwa wanasema jamaa ndo kikwazo Ni muda muafaka wa kithibitisha kauli zenu kwa matendo
--Tuone mkitoa nyimbo kali
--Mkifanya matamasha makubwa Tanzania
--Mkifanya matamasha makubwa nje ya Tanzania
--Mkipata ubalozi wa makampuni mbalimbali
--Mkishinda tuzo mbali mbali za kimataifa
Mziki wa Bongo fleva kwa Sasa Kama umestack flani hivi tofauti na miaka ya 2015 hadi 2017 ambapo ulikuwa unakuwa kwa kasi na ushindani mkubwa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Tatizo lako Dogo uanamchukia Daimond kafanya show Mozambique,Madagascar ,Malawi,Zambia,Zimbabwe,Namibia,DRC,US,Sweeden,Denmark,Uganda nk nchi nchi hizi za Kusini mwa jangwa la Sahara Diamond kabakisha inchi moja tu ambayo hakupiga show nayo ni Angola.Mkuu kukuwa namaanisha kupata washabiki wapya mfano mwaka jana diamond kafanya matamasha maeneo Yale Yale ya miaka yote
Tanzania
Kenya
Rwanda
Mayyote
Oman
Dubai
London
ilitakiwa kwa Sasa kuonyesha mziki umekuwa anafanya maeneo mapya Kama Ivory coast, Senegal,Togo, South Africa, na kwengine
Mfano mzuri Ni wakina Davido na Wizkid sasahivi wanafanya matamasha hadi Bahamas, Jamaica, tridand and tobeco, Maleysia.
Point yangu ilikuwa hiyo wakina Diamond , Vanessa mdee, Alikiba wanatakiwa kufanya show maeneo mapya Kama kweli mziki wetu unaendelea kukuwa na haujastack
Sio kila siku ukitoa mziki tranding Ni Kenya , Tanzania na Uganda
Sent using Jamii Forums mobile app