matumbo
JF-Expert Member
- Jul 9, 2011
- 7,224
- 3,951
Ali kiba katoa nyimbo imebuma.
Christian Bella katoa nyimbo na Koffi imebuma.
Belle 9 katoa video kali na track mpya hakuna anaejali.
Wema Sepetu na JB wanakuja na movie mpya sio habari.
Izzo b, Shaa, Jux, Chilla nk wana ngoma mpya ila watu hawana habari.
Mwana FA kila siku anasogeza mbele kuachia ngoma yake upepo hausomeki.
Bongo movie huko ndio kama kumekufa maana hakuna mpya.
Sasa hivi kona zote ni Magufuli. Wengi walifikiri ni upepo baada ya uchaguzi ila ni kama jamaa ameingia hadi msimu wao wa mauzo wa mwisho wa mwaka na mwanzo wa mwaka. Na dalili zinaonyesha ataendelea kukimbiza kwa muda mrefu.
So wasanii mjipange na hii kasi ya Magufuli, msipokuwa wabunifu mtaisoma namba na gharama mlizoingia kuandaa project zenu itakuwa hasara.
Christian Bella katoa nyimbo na Koffi imebuma.
Belle 9 katoa video kali na track mpya hakuna anaejali.
Wema Sepetu na JB wanakuja na movie mpya sio habari.
Izzo b, Shaa, Jux, Chilla nk wana ngoma mpya ila watu hawana habari.
Mwana FA kila siku anasogeza mbele kuachia ngoma yake upepo hausomeki.
Bongo movie huko ndio kama kumekufa maana hakuna mpya.
Sasa hivi kona zote ni Magufuli. Wengi walifikiri ni upepo baada ya uchaguzi ila ni kama jamaa ameingia hadi msimu wao wa mauzo wa mwisho wa mwaka na mwanzo wa mwaka. Na dalili zinaonyesha ataendelea kukimbiza kwa muda mrefu.
So wasanii mjipange na hii kasi ya Magufuli, msipokuwa wabunifu mtaisoma namba na gharama mlizoingia kuandaa project zenu itakuwa hasara.