wolfgang2424
New Member
- Apr 27, 2013
- 1
- 0
​Ndugu wadau naomba mniambie ni aje wasanii wadogo wanapoomba kutumia mijengo yenu kuigiza
mnakubali lakini wakianza kuja mabinti warembo baba mwenye nyumba unaanza mikwala hadi
wanahama kwakwo?
:behindsofa:
Eneo moja hapa Dar mwenye nyumba aliamua kudai eti kiongozi wa wasanii hao kapakua minofu yake ya kuku
bila idhini .Second time akadai kachunguliwa bafuni akimaanisha yeye alikuwa anaoga dogo huyo akaingia bila hodi wakati
mlango wa bafu hilo ulikuwa haufungi.
:mvutaji:
Mimi navuta kwa raha zangu wanaoniuzi ni wavuta bangi wanaoniambia eti navuta sigara nyingi wakati wao kwa kuomba fegi
ndio vinara
mnakubali lakini wakianza kuja mabinti warembo baba mwenye nyumba unaanza mikwala hadi
wanahama kwakwo?
:behindsofa:
Eneo moja hapa Dar mwenye nyumba aliamua kudai eti kiongozi wa wasanii hao kapakua minofu yake ya kuku
bila idhini .Second time akadai kachunguliwa bafuni akimaanisha yeye alikuwa anaoga dogo huyo akaingia bila hodi wakati
mlango wa bafu hilo ulikuwa haufungi.
:mvutaji:
Mimi navuta kwa raha zangu wanaoniuzi ni wavuta bangi wanaoniambia eti navuta sigara nyingi wakati wao kwa kuomba fegi
ndio vinara