Wasanii na usanii

Wasanii na usanii

kombaME

JF-Expert Member
Joined
Aug 24, 2015
Posts
2,115
Reaction score
2,818
Hawa si walikuwa na bifu!!!

Screenshot_2016-05-27-08-09-39.png
 
Watanzania vitu vingine mjiongeze.
Beef ya kuigiza hii ili muhudhurie show yao kwa wingi.
 
Mnatoka mapovu,wenzenu wanaingiza mpunga kibindoni.
 
Wamejua kuwapatia maana kuna mijitu mapovu yalikuwa yanawatoka, sasa hivi wamezodoka.
 
Ukiangalia hapo k nywele,kope vyote feki,inawezekana hata papuchi ikawa feki ndiyo maana hata bifu lao lilikuwa feki.
 
haahah wajinga ndi waliwao au hupeteza muda na mambo flani flani piga kazi kijana sio kurukia beef za team hii na hiii..mara huyu na huyu mpaka mnatoka povuonline hahaa
 
Back
Top Bottom