Wasanii na watu maarufu waliovuma enzi hizo kwa sasa wako wapi..?

Kuna yule alikua muimba chorus baadhi ya nyimbo za E.C.T (East Coast Team) wakuitwa Stan Boy wa Kino clain, yuko wapi kwa anayejua asee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…