Wasanii punguzeni uchawa na kiherehere, ya Zuchu huko Mbeya yatawakuta sana

Wasanii punguzeni uchawa na kiherehere, ya Zuchu huko Mbeya yatawakuta sana

Unaandika upuuzi na utoto uliopitiliza.Una akili ndogo.
 
Wasanii wenyewe wamejitakia hao si washaonesha ni wa upande fulani
Dawa ni kususia matamasha yao tu

Ova
 
Hilo liwe fundisho kwa wasanii wengine waache kuchanganya mziki na siasa na uchawa
 
Hasira zenu kwa ccm mnataka kuzimaliza kwa Zuchu, wale wote hawana akili ndio maana Tulia alimtoa Sugu pale na hakuna mlichofanya zaidi ya kubwata tu
Eti tulia alimtoa Sugu! Hizi ndio akili zako mbovu zinavyokutuma. Yule mwendakuzimu ndiye aliyeleta hao wapuuzi jamii ya tulia bungeni. Si ajabu yule mbunge wa ccm alisema "humu bungeni Kuna watu bila mwendakuzimu kuwabeba wasingeingia mjengoni"
 
Eti tulia alimtoa Sugu! Hizi ndio akili zako mbovu zinavyokutuma. Yule mwendakuzimu ndiye aliyeleta hao wapuuzi jamii ya tulia bungeni. Si ajabu yule mbunge wa ccm alisema "humu bungeni Kuna watu bila mwendakuzimu kuwabeba wasingeingia mjengoni"
Umeona Kenya vile vitoto vimeonyesha hasira zao kwa vitendo, nyie kazi yenu kupiga domo tu kama kasuku, wacha ccm iendelee kuwatawala
 
Umeona Kenya vile vitoto vimeonyesha hasira zao kwa vitendo, nyie kazi yenu kupiga domo tu kama kasuku, wacha ccm iendelee kuwatawala
Eti "tulia alimtoa Sugu". Ndivyo anavyowadanganya hivyo na wewe ukaamini. By the way kama unakupenda Kenya si uhamie huko. Au Burundi kwa mwigulu. Kichwa maji ni mzigo kwa shingo.
 
Eti "tulia alimtoa Sugu". Ndivyo anavyowadanganya hivyo na wewe ukaamini. Kichwa maji ni mzigo kwa shingo.
Kwahiyo Sugu bado ni mbunge? endelea kupiga mdomo kama redio, wakati Tulia ndio Mbunge wa Mbeya mjini
 
Nenda studio, recordi nyimbo ya kusifu na kuabudu juu ya Mungu Mtu, utakua salama.
Ukileta uchawa jukwani na sisasa za chama, kuna siku mabomu ya petroli yatahusika.
 
Back
Top Bottom