SweetyCandy
JF-Expert Member
- Sep 17, 2022
- 3,109
- 6,323
Sijui shida nini
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aiseeeee, alafu acha Roho mbaya we mdada.2025 watatumbuiza na helmet......
Nmefanyaje kwaniAiseeeee, alafu acha Roho mbaya we mdada.
Wasanii wanafeli sanaJana Zuchi alirushiwa chupa na mawe jukwaani baada ya kusifia kizimkazi na kusema mitano tena
Wasanii jifunze ulienda jukwaani Simba achana na siasa
Kila mtu ana hisia tofauti kwenye siasa, ntakuja mpigwe na raia bure
Wasanii tafuteni washauri
PIA SOMA
- Wasafi Festival Mbeya hali imekuwa tete. Zuchu akimbia Jukwaa
Wakened wanasema ni kabila Lao hilo haiwezekani wawe na ujasiri kiasi hichowanyakyusa wamechafukwa
unayajua mabomu ya petrol?2025 watatumbuiza na helmet......
Siyajuiunayajua mabomu ya petrol?
Eti tulia alimtoa Sugu! Hizi ndio akili zako mbovu zinavyokutuma. Yule mwendakuzimu ndiye aliyeleta hao wapuuzi jamii ya tulia bungeni. Si ajabu yule mbunge wa ccm alisema "humu bungeni Kuna watu bila mwendakuzimu kuwabeba wasingeingia mjengoni"Hasira zenu kwa ccm mnataka kuzimaliza kwa Zuchu, wale wote hawana akili ndio maana Tulia alimtoa Sugu pale na hakuna mlichofanya zaidi ya kubwata tu
Siku watadili na mwijaku au steve nyerere naomba mnistueJana Zuchi alirushiwa chupa na mawe jukwaani baada ya kusifia kizimkazi na kusema mitano tena
Wasanii jifunze ulienda jukwaani Simba achana na siasa
Kila mtu ana hisia tofauti kwenye siasa, ntakuja mpigwe na raia bure
Wasanii tafuteni washauri
PIA SOMA
- Wasafi Festival Mbeya hali imekuwa tete. Zuchu akimbia Jukwaa
Umeona Kenya vile vitoto vimeonyesha hasira zao kwa vitendo, nyie kazi yenu kupiga domo tu kama kasuku, wacha ccm iendelee kuwatawalaEti tulia alimtoa Sugu! Hizi ndio akili zako mbovu zinavyokutuma. Yule mwendakuzimu ndiye aliyeleta hao wapuuzi jamii ya tulia bungeni. Si ajabu yule mbunge wa ccm alisema "humu bungeni Kuna watu bila mwendakuzimu kuwabeba wasingeingia mjengoni"
Eti "tulia alimtoa Sugu". Ndivyo anavyowadanganya hivyo na wewe ukaamini. By the way kama unakupenda Kenya si uhamie huko. Au Burundi kwa mwigulu. Kichwa maji ni mzigo kwa shingo.Umeona Kenya vile vitoto vimeonyesha hasira zao kwa vitendo, nyie kazi yenu kupiga domo tu kama kasuku, wacha ccm iendelee kuwatawala
Kwahiyo Sugu bado ni mbunge? endelea kupiga mdomo kama redio, wakati Tulia ndio Mbunge wa Mbeya mjiniEti "tulia alimtoa Sugu". Ndivyo anavyowadanganya hivyo na wewe ukaamini. Kichwa maji ni mzigo kwa shingo.