wasanii soma hapa

upendo_20

JF-Expert Member
Joined
Aug 1, 2013
Posts
1,433
Reaction score
48
Kwa wale waimbaji au watangazaji wa redio,, kuna kitu nataka kuwashauri(baadhi yenu)...
Kabla hujaimba au kutangaza, hakikisha lugha yako iko vizuri. 7bu lengo lenu ni kuelimisha,basi elimisheni kwa kiswahili sanifu.
Kuna hili kosa la kimatamshi,ambalo hutokana na kuathiriwa na lugha mama... Badala mtu aseme Karibu sana utasikia anasema Kalibu sana, au tajili, kujari,na mengine.
Ndiyo,umeathiriwa na lugha mama,tunakubali hilo. Lakini 7bu umeshaamua kuwa kioo cha jamii inabidi tu ujifunze jinsi ya kutamka maneno vizuri ili usije ukapotosha jamii....
Ni hayo tu,mwenye macho na aone huu ujumbe
 
dah, nime open fasta thinking kuna FURSA hapa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…