Ukipata jibu usisahau kuni tag!!!!Sawa wameachiwa,watungieni masongi
Swali pia muwaulize je ni kweli waliwabaka Wale watoto
Ova
Itampa moyoLitakuwa ni jambo la heri sana kama wasanii wa bongo watafanya wimbo wa kumshukuru Rais Magufuli kwa kuwasamehe Babu Seya na wenzake
Litakuwa ni jambo la heri sana kama wasanii wa bongo watafanya wimbo wa kumshukuru Rais Magufuli kwa kuwasamehe Babu Seya na wenzake[/QUOT
VIP MKUU LULU YEYE HAJAACHIWA?
Huyu atakuwa M23 anashinda polini huko msitu wa Congowe upo wapi mkuu ?