Wasanii toka Arusha acheni kujibagua na kupigania mkoa badala ya taifa

Si mpaka kiingie madarakni tatizo hamstarabiki maisha usitete ujinga wa kwenu we simama kama wewe kama kwenu una pesa ,kama mjanja ni wewe achana na mambo za mkumbo 😂😂😂utakuja kuolewa
Ujinga uko kwenu wa kufuatilia maisha ya watu kichoko. Pambana na maisha yako. Usije ukaachika kwa basha wako.
 
Mnaweza kututajia hao wasanii wa chuga japo na sisi tuwafahamu
 
Wameimarisha baada ya Awamu ya 4 na ya 5 hasa ya 5 kuwatenga. Tuache sindano ituingie taratibu tupone ugonjwa wa ukabila na ukanda tuliojitakia wenyewe. Wakaskazini hatuwawezi hata tutambike. Wenzetu wameshatuacha mbali
Wametuacha mbali wapi kijana dhaifu wa fikra? Unapo ongea vitu vinavyo gusa maisha ya watu acha mihemko. Nchi hii kila mkoa kuna masikini wa kutupwa, vijana hawana kazi za maana zaidi ya ujanja ujanja alafu unaona fahari kuongea uongo eti wametuacha mbali. Kilimanjaro, Arusha sijui Dar es salaam pote hali ni moja umaskini umetamalaki. Kinacho endelea ni utoto tu ujinga
 
Duuh hapo unaona ume-argue balaa,
 
Hii kitu itakuja kuleta shida kubwa sana kwetu wasukuma miaka 20+ baadae, maana wasomi wasukuma watakua wamejaa kila kona ya Shinyanga, Mwanza,Tabora, Geita, Simiyu yaani itakua wakiitisha nafasi za kazi basi asilimia 80 ya wanao omba kazi watakua watu wa lake zone hapo ndipo wimbo utapigwa remix. Itakua vita ya wasukuma vs kanda ndogo ndogo. Jah Bless Lake zone
 
Msitukanane wakuu!
 
Kuna Taasisi hapa watu waliomba intership walichukua wachag na wpare tu 6 hakuna mtu baki alipata kwa kweli na hawana performance yeyote ile kisa mkuu fulani ni mchaga na mama alipoingia alimtimua yule mkuu [emoji23][emoji23][emoji23]
Mkuu una chuki mbaya sana dhidi ya kaskazini/wachaga inayojionyesha wazi kwenye post zako. Mtoa mada anaongelea wasanii wa Arusha ila amefungua koki naona ya chuki uliyonayo moyoni. Eat. F**k.. Die… achana na wachaga
 
Hapa mwanza mitaa nayoishi Kuna mafundi wa vifaa vya electronics bango la ofisi Yao wameandika kuwa umoja wa mafundi toka Arusha so nikadhani kuwa Arusha sio nyumbani labda ni huko mbali mashariki ya mbali. Jamaa zetu tuwasamehe wameathiriwa na ukenya Mana pale ni mdomo na pua
Hizo Mambo zipo Sana Kenya.
Mana mwalimu mjaluo wa migori hawezi enda kisiii kwa wakisii akafundisha kila mtu anafanyia kazi kwao.na lazima jina lako moja liwe la kikabila ili wakutambue kirahisi.
Mwanangu wa kwanza nimemzalia Arusha Sasa Cheri hospital naandika majina yote hakuna la kikabila wananikomalia kuwa lazima moja liwe la kikabila sijui ukoo Mara surname.
Nikabishana nao kinouma Ila mwishoni walinishinda nikataja jina la babu naye alikuwa na la ubatizo so like jina la tatu la mwanangu wakaweka la babu yangu na sio la babu yake na mwanangu
 
Mkuu una chuki mbaya sana dhidi ya kaskazini/wachaga inayojionyesha wazi kwenye post zako. Mtoa mada anaongelea wasanii wa Arusha ila amefungua koki naona ya chuki uliyonayo moyoni. Eat. F**k.. Die… achana na wachaga
Tuliza k
 
Kuna tatizo kubwa sana kwa vijana wa Arusha.
 
Wivu tu unakutesa.
 
https://jamii.app/JFUserGuide you,,,,pumbavu mwenyewe

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Watu kama nyinyi hua tunafanya kuwa ignore, alaf tusasonga mbele
ooow Hii ni mara ya pili tena unarudia kusoma na kujibu....

Albert Einsten aliwahi kusema " Kurudia kufanya jambo moja huku ukitegemea matokeo tofauti ni kiwango cha juu kabisa Cha Ujinga"
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…