Wasanii tujue mipaka yetu tutofautishe sanaa na siasa

Was it necessary to use english? The guy sang in one of his verses "nichinjeni mkanitupe kwenye daraja la mkapa" why bother looking for him then?
What is your problem with my english?You are not a great thinker enough to understand what does that verse line mean!BTW it your state's duty to ensure the security of all individuals!life is not for only maCCM!
 
Ivi tunawakumbuka akina lucky dube, bob marley nk? Prisoner, africa unite, zimbabwe nk? Nakumbuka historia tu
 
wanasiasa uchwara akina daudi bashite na baba ubaya
 

illegal migrant kwa hivo unawashauri waimbe nyimbo za uharakati wa mapenzi sio?

The people is for the music
The music is for the people
Politically, musically, politically
 
What is your problem with my english?You are not a great thinker enough to understand what does that verse line mean!BTW it your state's duty to ensure the security of all individuals not!life is not for only you maCCM!
The guy sacrificed himself he knew exactly whats next for him hope you have listened TO viva roma viVa "lete wagambo lete wajeda lete difenda, NIKAMATENI SI MLIMSHINDWA TIBAIJUKA Stupid this is a nation of 55m human being you dont just create tension and lies in the name of art(sanaa) hope they sodomoze him
 
Kama alijitoa sadaka mnamtafuta wa nini
 

Mh!! Kuna mipaka kumbe sikujua bhana sasa inakuaje mnawatumia kipindi cha uchaguzi wa kisiasa?kama kuna mipaka ya SANAA & SIASA.
 
Mh!! Kuna mipaka kumbe sikujua bhana sasa inakuaje mnawatumia kipindi cha uchaguzi wa kisiasa?kama kuna mipaka ya SANAA & SIASA.
Yaani sijui kama umesoma ukaelewa nacho zungumza ni wale wasanii waliokuwa wanalipwa kwenye kampeni na kusema mh kajinyea huo ni usanii kweli, msanii anatakiwa awe mbunifu na siyo kuambiwa akamtukane kawombe kisha alipwe eti kwa sababu tu kawombe anapendwa na anasikilizwa na watu wengi sijui kama naeleweka.
 
Muziki unaweza kuimba chochote,kwani Komba hakuwa msanii aliwahi kutekwa..acheni kuhalarisha ujinga ili mpite
 
Yaani mlikuja kwa sauti za kubembeleza mpaka pushup mkapiga kuonyesha ni marijari na mtatusaidia na wasanii mlizunguka nao kwenye campaign leo hii mmeota mapembe mnasema wasanii wasihusike kwenye siasa? Really!!
Cheo ni dhamana na wala hamna undugu na Yesu! Mtaona kama mtatawala milele kumbe mnajidanganya tuu, mnapita kama wengine walivyopita!
 
Hamuwezi kutumia madaraka kupumbaza watu na kuwaziba midomo.Endeleeni na udhalimu wenu lakini mjue wote sisi na aliye juu,Mungu mkuu,mwenye jina lipitalo majina yotee.Alikuwepo Mobutu sasa yuko wapi? Mambi yoooteee,yatapita na kila mja ataionja ghadhabu ya bwana kulingana na matendo yake.
 
Huwezi kukwepa Siasa maishani na ukiikwepa ndio unaishia kupata Viongozi wasio na marinda
 
Muziki ni sanaa,iliyobuniwa ili kuonya,kuelimisha,kuburudisha,kuhamasisha,na hata kuunganisha jamii kwa wakati wake.Tatizo huja pale muziki unapogeuka njia ya kupatia kipato hapo lazima soko lizingatiwe zaidi.Wasanii wazamani walikuwa na njia za kupata kipato nje ya muziki na ndiyo maana miziki yao bado inaishi mf. Marijani,Mbaraka,Gerry Nashon nk.Kwao kiki haikuwa muhimu,ilikuja tu.
 
So hii serikali inawashughulikia akina roma
 
MTOA POSTI UNAJUA NINI MAANA YA FASIHI?
 
Mmeshindwa kusema na viongozi wa dini mmeona wasanii ndo rahisi, na kwenye kampeni zenu msiwatumie maana wanapotosha ukweli kwa maslahi yenu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…