Wasanii tujue mipaka yetu tutofautishe sanaa na siasa

Siasa siyo kuandika verse siasa unamtumia yoyote hata mamako kama anaushawishi unamdanganya na vihela kidogo once mission accomplished you are dumped, ona ameiacha familia yake kwa vihela alivyopewa stupid monkey ass

We ni mjinga kabisa
 
Wanaimba kuhusu nini? Kama sio maisha ya kila siku
 
We ni mjinga kabisa
Mi nashangaa mnahangaika nini wakati mwenyewe amesema ameshajitoa sadaka wamchinje wakamtupe kwenye daraja la mkapa. sikiliza huu wimbo. huyu mtu si ametumwa huyu mi sio mjinga mjinga ni mamako
 
Mi nashangaa mnahangaika nini wakati mwenyewe amesema ameshajitoa sadaka wamchinje wakamtupe kwenye daraja la mkapa. sikiliza huu wimbo. huyu mtu si ametumwa huyu mi sio mjinga mjinga ni mamako

NAONA njaa imekupanda kichwani,,,,,angekuwa ndio ndugu yako huyo aliepotea ungeongea izo pumba zako,,,natamani ungekuwa karibu yangu nikupe discipline
 
NAONA njaa imekupanda kichwani,,,,,angekuwa ndio ndugu yako huyo aliepotea ungeongea izo pumba zako,,,natamani ungekuwa karibu yangu nikupe discipline
Hata kama ni mwanangu ana mambo ya kiboya nampoteza tena mimi mwenyewe swala la kunipa discipline naomba uniruhusu nikutafute najua pa kukupata popote utaponiambia ntakuja hata muwe kumi
 
Sasa unataka kuwawekea wasanii maneno mdomoni?Nini kazi ya Sanaa. Msanii ni mwananchi kama wewe, ana uhuru wa kutoa mawazo
kama wewe vinginevyo uwe unawaandikia mashairi.
 
Kama wewe ni mfuatiliaji wa muziki wa kizazi kipya, sijui kama unaweza kutenganisha muzikii huu na siasa.
Unless kama sio mfuatiliaji. Lakini kwa kifupi ni kwamba nyimbo karibia 90% za Sugu ni siasa, 95% za nyimbo za Wagosi wa Kaya ni siasa, Prof. Jay siasa nk. Ndio sababu kwenye kampeni zao, wanasiasa wanawatumia wasanii hawa
 
Ukiikubali hii hakika utakuwa mfungwa na mtimwa wa mawazo kupita kiasi, huu uhuru ulio nao wewe kwa sasa kuna walio umia na kujeruhika na wengine kupoteza maisha kabisa lakin wewe leo uko huru na sidhan kama wote wangefuata mawazo na fikra zako kama hata nusu ya hapa tulipo tungeifikia
 
Mimi nikajua mleta uzi ni Deo maana na yeye aliwahi kuimba bongofleva
 
Acha kujitekenya ,so ungependa wasanii wote waimbe kuisifu ccm jamn upinzani ni imani ni sprit ambayo huwez kuichange.....
 
Siasa na usanii haviwezi kutenganishwa.vyote hugusa maisha ya watu.sanaa hufundisha huonya hukemea na pia hushauri jamii !!!
 
Hii inaweza kuwa na ukweli. Wanasiasa kama Ney wa mitego lzm watumiwe na chadema na lowasa. Kwani Ney ni timu of lowasa.
 
Mtu keshageuka mungu ndugu yake na yesu...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…