Mzee makoti
JF-Expert Member
- Jul 27, 2016
- 3,482
- 4,673
We Bonge la mjinga,,,uho mkwara naona ungemchimbia mama yakoMi nimemalizana na wewe just wait for your trophy
Unamjua bashite?
Ukistaajabu ya Musa ......Muziki hauna mipaka..!
Siasa ina determin maisha yako ya kila siku.Mimi nashindwa kuelewa mtu anatenganishaje maisha na siasa!!Siasa ndo inadetermine maisha yako ya kila siku sasa unaanzia wapi kujitenga nayo!?
Muziki ni miongoni mwa njia za kufikisha ujumbe na ni miongoni mwa njia zilizotumika miaka mingi katika mapambano tofautitofauti,sitaki kusema serikali inahusika na kupotea kwa roma ila uchunguzi wa haraka ufanyike.Inakuwaje faru anakuwa na thamani kuliko binadamu!?
Nadhani hujui kazi ya mziki kwenye jamii. Kwa ulichoandika hapo unafikiri mziki ni kuburudisha tu, hayo ni mawazo mafupi. Mziki ni chombo cha kuelimisha na pia kwa ajili ya ukombozi wa jamii husika. Kwa mfano akina Bob Marley walipiga nyimbo za ukombozi wa Zimbabwe, je walikosea,?? Muda wa kupiga nyimbo za kutukuza viongozi feki ulishapita.Kama mtu umeamua kuwa msanii ni vyema ukajua mipaka yako ukweli ni kwamba wasanii wana wafuasi wengi hivyo ni rahisi kwao kuleta hamasa kwa jamii na kwa kila rika, ndiyo maana huwa wanatumika kwenye kampeni ili kuvutia wafuasi, sasa inapotokea msanii unanunuliwa kwa sababu tu unawashabiki wengi ndipo unapokaribisha matatizo, vivyo hivyo kwa waandishi wa habari mtu anahongwa ili amchafue mtu fulani bila kujali habari zake zina wafikia wananchi wangapi, sasa hivi naona sanaa yetu ikipotea kisa ni kila mwenye jina kujiingiza kwenye siasa ama kwa kuamini atahama na wafuasi wake aliokuwa nao kwenye mziki ama kwa kutumiwa kwa malipo ili afikishe ujumbe potofu na chochezi....bila kujali taharuki na chuki atakayoijenga kwa wananchi. Huwezi ukawa mwanamuziki halafu unafanya kazi za kiunaharakati just be ready to face the music as well, chagua moja sanaa ama siasa.
Madhara ya Fasihi unayajua? An Enemy of the People!MTOA POSTI UNAJUA NINI MAANA YA FASIHI?
Sema Hip Hop bongo na sio kizazi kipya.Kama wewe ni mfuatiliaji wa muziki wa kizazi kipya, sijui kama unaweza kutenganisha muzikii huu na siasa.
Unless kama sio mfuatiliaji. Lakini kwa kifupi ni kwamba nyimbo karibia 90% za Sugu ni siasa, 95% za nyimbo za Wagosi wa Kaya ni siasa, Prof. Jay siasa nk. Ndio sababu kwenye kampeni zao, wanasiasa wanawatumia wasanii hawa
Unaelewa ulichokiandika? Unataka kusema tukio lina uhusiano na unachokiamini? Basi kama ndivyo hivyo, ujue fika hatuko salama ukiwemo na wewe.Kama mtu umeamua kuwa msanii ni vyema ukajua mipaka yako ukweli ni kwamba wasanii wana wafuasi wengi hivyo ni rahisi kwao kuleta hamasa kwa jamii na kwa kila rika, ndiyo maana huwa wanatumika kwenye kampeni ili kuvutia wafuasi, sasa inapotokea msanii unanunuliwa kwa sababu tu unawashabiki wengi ndipo unapokaribisha matatizo, vivyo hivyo kwa waandishi wa habari mtu anahongwa ili amchafue mtu fulani bila kujali habari zake zina wafikia wananchi wangapi, sasa hivi naona sanaa yetu ikipotea kisa ni kila mwenye jina kujiingiza kwenye siasa ama kwa kuamini atahama na wafuasi wake aliokuwa nao kwenye mziki ama kwa kutumiwa kwa malipo ili afikishe ujumbe potofu na chochezi....bila kujali taharuki na chuki atakayoijenga kwa wananchi. Huwezi ukawa mwanamuziki halafu unafanya kazi za kiunaharakati just be ready to face the music as well, chagua moja sanaa ama siasa.
HUYU illegal migrant amevurugwa,,,iyo buku Saba anayopewa Lumumba wangemuongezea tu iwe buku naneNi mpumbavu mwenzio pekee, atakayeona na wewe umeandika cha maana.
This is a purely naive person in the forum!others we are in frontline to bring back your freedom,stay being a nanny at Lumumba,it's a matter of segregation of duties!we fade up of love-music we want movement-music!