sasa ujasiri si ndio huo kutekwa?Watu Kama ninyi hapa duniani hapawafai kuishi, kwa mawazo hayo sijui Kama watoto sako unawajengeaje ujasiri,
Nahisi wa TZ tunakurupuka sana sometimes. Kasikika mdada/msanii aliyeshuhudia tukio mmoja tu,wengi hatuna exactly info/news of what real happened out there. Hao watu walienda na kumuulizia mtu mwingine,wakaambiwa hayupo ila Roma yupo. Wakasema waitiwe,jamaa kuja wakamuuliza wewe ndiye Roma?!! Then stori inaendelea.....
1. Ni wazi hakuwa target wao wa kwanza/mtu waliomfuata in the first place
2. Wamebeba watu wengi,may be kupoteza ushahidi au wamehisi watakuwa na msaada/majibu ya wanachotafuta.
3. Sahv kila kona watu wanazungumza kuhusu mtu mmoja tu,km kweli ni kutaka uhuru basi zungumzeni kuhusu wote waliobebwa/kutekwa kwa mapana sawa.
4. Tuwe tunapata newz vyema kwanza kabla hatujahukumu.
5. Mijamaa hata haimjui Roma,kiasi mpk ilimuuliza wewe ndiye Roma!??!!!?
Well saidSure kabisa. Wanacheza ngoma za drug evils,wanasiasa uchwara kutengeneza matukio. Lakini wamekosea step si kwa serikali hii. Haiendeshwi na mambo ya kuungaunga ili watu wasikike. Hawaendi kuhimiza kilimo majimboni mwao wako mjini wakipanga misheni na wasanii kupanga matukio ya kuiabisha nchi na viongozi. Ole wenu kuna siku mtalia kilio cha ukweli watu watajua aaah usanii tu huo
Kama mtu umeamua kuwa msanii ni vyema ukajua mipaka yako ukweli ni kwamba wasanii wana wafuasi wengi hivyo ni rahisi kwao kuleta hamasa kwa jamii na kwa kila rika, ndiyo maana huwa wanatumika kwenye kampeni ili kuvutia wafuasi, sasa inapotokea msanii unanunuliwa kwa sababu tu unawashabiki wengi ndipo unapokaribisha matatizo, vivyo hivyo kwa waandishi wa habari mtu anahongwa ili amchafue mtu fulani bila kujali habari zake zina wafikia wananchi wangapi, sasa hivi naona sanaa yetu ikipotea kisa ni kila mwenye jina kujiingiza kwenye siasa ama kwa kuamini atahama na wafuasi wake aliokuwa nao kwenye mziki ama kwa kutumiwa kwa malipo ili afikishe ujumbe potofu na chochezi....bila kujali taharuki na chuki atakayoijenga kwa wananchi. Huwezi ukawa mwanamuziki halafu unafanya kazi za kiunaharakati just be ready to face the music as well, chagua moja sanaa ama siasa.
umetumwa wewe sio bure!!! kwanza unajua maana ya msanii??? au unachojua ni kuambiwa ka post hiki...Kama mtu umeamua kuwa msanii ni vyema ukajua mipaka yako ukweli ni kwamba wasanii wana wafuasi wengi hivyo ni rahisi kwao kuleta hamasa kwa jamii na kwa kila rika, ndiyo maana huwa wanatumika kwenye kampeni ili kuvutia wafuasi, sasa inapotokea msanii unanunuliwa kwa sababu tu unawashabiki wengi ndipo unapokaribisha matatizo, vivyo hivyo kwa waandishi wa habari mtu anahongwa ili amchafue mtu fulani bila kujali habari zake zina wafikia wananchi wangapi, sasa hivi naona sanaa yetu ikipotea kisa ni kila mwenye jina kujiingiza kwenye siasa ama kwa kuamini atahama na wafuasi wake aliokuwa nao kwenye mziki ama kwa kutumiwa kwa malipo ili afikishe ujumbe potofu na chochezi....bila kujali taharuki na chuki atakayoijenga kwa wananchi. Huwezi ukawa mwanamuziki halafu unafanya kazi za kiunaharakati just be ready to face the music as well, chagua moja sanaa ama siasa.
Mbona uandishi wenu unafanana, umeamua utoe mada alafu uwai kuicomment mwenyeweKama mtu umeamua kuwa msanii ni vyema ukajua mipaka yako ukweli ni kwamba wasanii wana wafuasi wengi hivyo ni rahisi kwao kuleta hamasa kwa jamii na kwa kila rika, ndiyo maana huwa wanatumika kwenye kampeni ili kuvutia wafuasi, sasa inapotokea msanii unanunuliwa kwa sababu tu unawashabiki wengi ndipo unapokaribisha matatizo, vivyo hivyo kwa waandishi wa habari mtu anahongwa ili amchafue mtu fulani bila kujali habari zake zina wafikia wananchi wangapi, sasa hivi naona sanaa yetu ikipotea kisa ni kila mwenye jina kujiingiza kwenye siasa ama kwa kuamini atahama na wafuasi wake aliokuwa nao kwenye mziki ama kwa kutumiwa kwa malipo ili afikishe ujumbe potofu na chochezi....bila kujali taharuki na chuki atakayoijenga kwa wananchi. Huwezi ukawa mwanamuziki halafu unafanya kazi za kiunaharakati just be ready to face the music as well, chagua moja sanaa ama siasa.
Sure kabisa. Wanacheza ngoma za drug evils,wanasiasa uchwara kutengeneza matukio. Lakini wamekosea step si kwa serikali hii. Haiendeshwi na mambo ya kuungaunga ili watu wasikike. Hawaendi kuhimiza kilimo majimboni mwao wako mjini wakipanga misheni na wasanii kupanga matukio ya kuiabisha nchi na viongozi. Ole wenu kuna siku mtalia kilio cha ukweli watu watajua aaah usanii tu huo
Unamjuma ama kumsikia hayati Bob Marley yule watu wanasema alichukiwa na baba wa taifa?
Nadhani nyimbo zake nyingi umezisikia ikiwemo vivaSijaona connection ya Ushauri wako na ishu ya R.O.M.A mkuu.
Roma alitumiwa na nani? Je kutumiwa kwake ndiyo kumesababisha akakamatwa? Funguka
Mi nadhani mwenye jukumu la kulia ni mkewe tu ambaye tunamjua sasa wewe sijui ni mke mdogo au ulikuwa na mahaba huyu ni mtu mkubwa anajua jema na ovu na aliyoyafanya kayafanya kwa utashi wake sasa kwa tasrifa yako diamond naye kaingia kwenye hii vita ngoja nikuweke mziki wake mpya.......ila yeye anatetea upande wa pili ule ambao tunajua anamaslahi nao amemtukana yule dada yenu wa ulaya anayewajazaga uongo.......sasa hapa kuna mziki kweli. Au wanatumika kwa manufaa ya watu fulani WACHA WAPOTEE MA-MBWA.HUYU illegal migrant amevurugwa,,,iyo buku Saba anayopewa Lumumba wangemuongezea tu iwe buku nane
Kama unauhakika na unachokiongea kwamba kuna watu walikuwa wanamlipa atoe ngoma siwezi kukubishia.Nadhani nyimbo zake nyingi umezisikia ikiwemo vivahuyu jamaa alikuwa anajiamdaa kutoa nyimbo nyingine wajuvi wa mambo wana sema yuko kwenye payroll ya watu fulani....sasa huuu ni wanamuziki au aliyataka mwenyewe... kwanza alijua anachokifanya ni hatari ndo mana akasema lete difenda lete wagambo lete wajeda nikamateni mnoch8nje kanitupe kwenye daraja la mkapa...
Nadhani hili swala limeshazungumziwa na mamlaka husika sasa sisi tuendelee na maisha yetu ngoja nikamlipie ada mtoto.Kama unauhakika na unachokiongea kwamba kuna watu walikuwa wanamlipa atoe ngoma siwezi kukubishia.
Ila kwa historia ya ROMA toka aanze kuimba hawajawahi kuwa Chadema wala ccm.
Umeskia wapi wewe? Unauhakika gani?
OkNadhani hili swala limeshazungumziwa na mamlaka husika sasa sisi tuendelee na maisha yetu ngoja nikamlipie ada mtoto.
Wanachukuliwa bure? Yupo aliyefanya kazi bure? Anayekataa analazimishwa? Hata hayo matukio ya kutekana unadhani wanafanya bure? Kaa kando huna point. Fankuuuuro.Wakati wa kampeni mbona mnawachukua kuwapigia kampeni kama siasa haiwahusu? Na kwanini isiwahusu kwani wao si wananchi? Huu ni upumbavu wa kiwango cha juu sana haiwezekani mtoa Mara ukapimwe akili unataka nani aongee kama si msanii? Nakupa mfano Mdogo sana marekani watu weusi walipata Uhuru kamili baada ya wasanii na wanaharakati kuungana kutetea haki zao. Mods futa upuuzi mwingine huu umeletwa na kada wa CCM. Pumbavu sana