kelphin
JF-Expert Member
- Dec 24, 2019
- 9,872
- 16,319
Unaota mchanaHafmonize ni msanii Tanzania na Afrika kwa sasa amifuatiwa na Ali Kiba then Diamond.
Nipo nasikiliza Bedroom hapa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unaota mchanaHafmonize ni msanii Tanzania na Afrika kwa sasa amifuatiwa na Ali Kiba then Diamond.
Nipo nasikiliza Bedroom hapa
Tanzania ingekuwa na wakina Harmonize kama 10 hivi basi Tanzania ingekuwa mbali sana kimziki.Unaota mchana
Ibrah ana miezi 3 tu tayari mmeshaanza kumuwangia, binafsi namuona huyu dogo kama atakaza zaidi anakipaji sahihi na kufanya vyema na kuwa ontop hata juu ya huyo harmonize mwenyewe..Asksr,
Huyu Harmonize naona hajui pa kushika ni wapi, alianza na Qchief hamukmfikisha kokote (Qchilla naye anageuza maneno kuna siku anahojiwa na Babu wa kitaa alisema kuna watu walimfitinisha Harmonize akasepa pasipo hata kumwambia sababu leo anasema hakuwa na uwezo wa kumlipa), akaja na Ibra naye sioni anakoelekea, mara kamsaini yule Mnaija naye hajafika kokote, sasa kawasign hawa madogo. Personally hawa madogo naona hata vipaji hawana walikuwa wanatembelea nyota ya Alikiba tu.
Ila muda utasema maana yeye mwenyewe Konde Boy naona siku baada ya siku kimziki anazidi kushuka, Konde wa sasa si kama konde wa kipindi yuko WCB baada ya miaka miwili sijui atakuwa wapi Mr. Konde.
Tuo umbugira hapa usimfananishe SIMBA na maunderground hata kwa level za THE BET WINNER hajazifikia[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Hafmonize ni msanii Tanzania na Afrika kwa sasa amifuatiwa na Ali Kiba then Diamond.
Nipo nasikiliza Bedroom hapa
Kwani nani alikufunisha umalaya binti yangu square[emoji1787][emoji1787][emoji1787]...!!!???Nani anakufundisha umalaya binti yangu ?
Unamuongelea Diamond huyu ambaye kutwa kucha anashangilia ku perform kwenye fiesta ya Ccm pale Kirumba stadium,Tuo umbugira hapa usimfananishe SIMBA na maunderground hata kwa level za THE BET WINNER hajazifikia[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kalale maana jide mwenyewe kamvulia kofia ZUCHU the east African queenNi wapuuzi gani hao walioanza kumcompare zuchu na KOMANDO LEGENDARY JIDE?!?!?
Nitajie.. niwatusi kwa mama zao[emoji51]
Sawa sister square [emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kuwa mpole sister
Ahaaaaaaaaah unajitekenya na kucheka mwenyewe, yaani msanii asisikike Dar afu mavijijini kwenu huko asikike it's ridiculous [emoji1787][emoji1787][emoji1787]ZUCHU the east Africa QUEENMmekaa Dar mnafikiri ndio nchi nzima
Huku mikoani tunajiuliza Zuchu ndio nani?
Huku zinalia zaidi za Ibrah
Kumbe ndo maana hamna hata katv[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Zuchu ndio nani? Labda kahama, niliko hatuwajui hao hata huyo ibrah tunawaonaga tu mitandaoni na kidogo kwenye tv, huku kama hufuatilii muziki huwezi kuwajua hao watoto
Tena na hiyo ya 7.7m ni collaboration na konde ila ZUCHU NI one women one army so now ni official East Africa QUEENMo
Most viewed song ya ibra ina 7.7m
ya zuchu ina 7m
Almost video zake zote zina hit 1m+
unahitaji.mafanikio gani kwa msanii ambaye ana miezi kadhaa kwenye game zaidi ya hayo? kama utaitazama konde gang kwa kuicompare na wasafi utakuwa una mapungufu kichwani.
Konde gang now wanastrugle kutafuta wafuasi, Wasafi walishatoka huko. kwa mantinki hiyo konde gang wanafanya vizuri tu, unless ujifanye haujui kitu.
Ahaaaaaaaaah kumbe ZUCHU MAMA LAO ETIMuziki siyo views, Kwasababu kuna zingine ni paid views.
In short huwa Zuchu kagharamikiwa sana kiasi gani hata matokeo ya huo uwekezaji yalitakiwa kuzidi hapo.
- Kuanzia branding affair Mlimani City
- Paid Views kumtangaza
- Beef za kulazimisha
& Both media and social media campaign
- Ukiwekeza mtaji wa elfu hutakiwi kuoata faida sawa na aliwekeza milioni 10 .
Itakuwa ni totat failure
FactHiyo ya Ibra yenye 7.7 Ina muda gani ukilinganisha na ya zuchu 7.0
Zuchu ni brandly artist hata magu ana mjua
Mimi mwenyewe nashangaa yaani nyimbo ya harmonize ndo anatumia kumshindanishia ZUCHU[emoji1787][emoji1787][emoji1787] it's ridiculousNyimbo yenyewe iko kwenye Account ya Harmonize halafu unamlinganisha na ya Zuchu ambazo nyimbo zote ziko kwenye account yake kweli mkuu?![emoji23]
Zuchu amefanikiwa kwa kiasi kikubwa Sanaa!
Ahaaaaaaaaah sawa lakini Ina DIAMOND mmoja ambaye kipeleka mbali kimuziki [emoji1787][emoji1787][emoji1787]Tanzania ingekuwa na wakina Harmonize kama 10 hivi basi Tanzania ingekuwa mbali sana kimziki.
Ibrahim huyu amabae hata kuomba hajui[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Ibrah ana miezi 3 tu tayari mmeshaanza kumuwangia, binafsi namuona huyu dogo kama atakaza zaidi anakipaji sahihi na kufanya vyema na kuwa ontop hata juu ya huyo harmonize mwenyewe..
Ahaaaaaaaaah kumbe kujua laikua Moto pia ni ishara ya kumkubali, pia kumiliki hivyo vyote amedhihirisha ni DON na MOGUL wa hiki game , kwani Kuna mwingine anayemiliki UTAISOMA NAMBA WCB MBELE KWA MBELE[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Unamuongelea Diamond huyu ambaye kutwa kucha anashangilia ku perform kwenye fiesta ya Ccm pale Kirumba stadium,
Diamond alikuwa hot soup miaka miwili nyuma , kwa sasa ni mfanyabiashara anayemiliki vyombo vya habari, sio kinyume na hapo
Hata yeye pia yupo hivyo. Na sisi yeye tu muziki wa sasa unahitaji upite njia hizi wanazopita Wasafi ila kwa ambae hajui anajua wanaofanya hivyo wanaigaHua ninawaambia wadau wanabisha,kua harmonize bado anatembea na Hari ya wasafi
Hao akina ibra na wengine bado Wana Hari ya wasafi wasafi
Soma vizuri dogo, kama huku hamna kwani kubwa hatuoni?Kumbe ndo maana hamna hata katv[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Nenda memkwa mzee ukale pindi la kusoma na kuandika ndo urudi jamvini tusikupoteze wahuni[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Soma vizuri dogo, kama huku hamna kwani kubwa hatuoni?