Kwahiyo utetezi wa Msando unaishia Insta tu?
Au alikuwa anazitarget nyapu za kina Wolper?
umaarufu kunuka tuu wa ig!!!ule huyo wolpa kwa kuangalia muandiko unaujua sio wake
msando umaarufu ashapata atulize mshono
Msando kama ana huo umaarufu labda kupitia Chadema sijaona kesi ya maana aliyowahi kusimamia mpaka kulazimisha umaarufu huo.
Kwa mawakili vijana mpaka sasa Peter Kibatala ndiye anayefanya vizuri.
Wema ile nyumba inadaiwa amepanga sio yake
Aunty kuishi large sijui na siamini
nakupa mfano mmoja tu
marehemu Aisha Madinda alikuwa anaonekana anaishi 'large'
siku akaumwa miguu ikatakiwa laki nne mashabiki wamchangie...
ndo wasanii wa TZ wengi wako hivyo....
mara utasikia wako mwananyamala hospitali.......sasa unajiuliza unaishi large ukatibiwe mwananyamala?
Halafu how do we define kuishi large Bongo?
Kutesa kwa sana? Kuwa maarufu? Or what?
Mfano, unaweza kuwaambia Wabongo kuwa wakati Robbie Fowler akicheza mpira, he was the richest footballer in the Premiership na wakakubishia simply bse hakuwa popular kama akina Beckham, au hakuwa na list ya magari mengi kama El Hadji Diof.
Kwahiyo utetezi wa Msando unaishia Insta tu?
They haven't registered their brand names,nixpensive kwao kuliko kununua lace wig ya laki tisa..
Kwahiyo utetezi wa Msando unaishia Insta tu?
They haven't registered their brand names,nixpensive kwao kuliko kununua lace wig ya laki tisa..
hivi wewe msukuma?
Hahaha. Kusue inabidi uwe na hoja ya kisheria na siyo hoja za maigizo.
Hata Mengi alijaribu kumsue yule mwanamke wa Uingereza ikala kwake hata magazeti yake hayakuripoti ile kesi tena.
Tz kwenda restaurant na kunywa Jack Daniel na kupost Instagram ndo kuishi 'large'
Pasco si ni lawyer pia, is he that expensive?
Unajuwa tofauti ya wakili na mwanasheria?